๐๐๐kiruuMimi ndio mbaya kabisa ukiniletea drama.
Narudia, kwenye drama mimi sifai hata kunijua๐๐๐
Nachukia dharau na drama haina mfano.
1. Mwanamke mropokaji
2. Mwenye drama
3. Anayejijali yeye tu
Hawa ni adui zangu.
Ukiwa muelewa mimi ni falla wako kabisa๐๐
Kumbe Mwanza inaendeleaZipo nyingi tu.
Daaah.... Mmeishia naye wapi? Anasema akiwa tayari atakufuata? Aliomba nauli? Usimkasirikie. Kuwa mpole ataingia kwenye mfumo. Hapo ndo unakuja unamfumua sasa. Sema tu kakukuta mpole umemsamehe. Mimi huwa naumia sana.Wakuu hizi mambo zipo na tushakutana nazo huku.
Hii kesi bado yamoto.
Tatizo wanakuwa na matarajio ya kupiga pesa akizinduka kapigwa yeye View attachment 2934324
๐ ๐ ๐คฃ๐๐tatizo hawana utaratibu maalumu kwenye kuombaaNdiyo ufungue wallet, wenyewe wanasema Mwanaume anayetoa hela anavutia ๐ ๐
Alishanitia hasara sana. Mara zote napoenda lazima kwanza nihakikishe. Ananihakikishia kabisa mambo yatakuwa mazuri. Napoteza muda wangu kumbe ana mambo ya kiswahili. Acha tu tuwekeane visasi.Ulilazimisha sana!
Safari ya kwanza ingetosha kabisa kukukatisha tamaa na kutoendelea!!
ungeepuka visasi visivyo na maana!! Wahivyo una mwacha kama alivyo!!
Mimi naamini first impression Kwa mtu yeyote kwangu,hiyo ndio Ina define future kwenye mahusiano yenu yajayo!!
akikudharau TU,usije jaribu Tena kuwa nae hata kama akirudisha moyo tena!!
first impression speaks volumes !!
siku nyungine usirudie hiyo coz unaongeza idadi ya maadui kiroho ambao roho zao zikikulilia zitaathiri hatma yako somewhere in universe!!
Mkuu,Sikusoma kwanza, niliona kaandika maelezo mengi nikajua huyu kafunguka kweli
Kumbe chai, isingekuwa hapo kwenye tigo ningeamini
Nina kaushamba hivi
Hapana, hizo za kumtafta ni zangu.Daaah.... Mmeishia naye wapi? Anasema akiwa tayari atakufuata? Aliomba nauli? Usimkasirikie. Kuwa mpole ataingia kwenye mfumo. Hapo ndo unakuja unamfumua sasa. Sema tu kakukuta mpole umemsamehe. Mimi huwa naumia sana.
Yeah ananidai aisee, alisumbua sana so nikampiga tukio la papuchi na pesa nikalaMkuu huyu demu anakudai?
Kwa mdomo huu usimuache kizbe
Kuna Pisi enzi za Ujana niliwahi kudate naye๐ ๐ ๐คฃ๐๐tatizo hawana utaratibu maalumu kwenye kuombaa
kirahisi hivyo?Mkuu,
Kwamba ni ajabu huyo mdada mwenye shida ya 5m kuliwa tigo? Hii dunia ione ilivyo, I believe she was desperate, angefanya lolote ili apate hiyo 5m...
Mmh,kirahisi hivyo?
kuna vitu hata kausha damu wanaogopa mkuu
Hahaha.....hajui mambo yalivyo Kwa ground huyo ๐Mmh,
Mbona hizo tigo zinatolewa kwa mkopo, yaani huyo aliyeahidi 5m yuko mbali sana, bure watu wanapewa.
Hata mimi huwa nashangaa mtu anabong'oa nyuma kisa kitu!kirahisi hivyo?
kuna vitu hata kausha damu wanaogopa mkuu
Unadhani Kuna jipya nowadaysHata mimi huwa nashangaa mtu anabong'oa nyuma kisa kitu!
Sidhani watu hawa kama wana furaha
Kuna watu wapo serious Mbinguni hawapataki!
Jamani mnatuona Mang'ombe kabisa๐Ni ukweli labda uwe hujamuelewa ndio utamuona kama ngombe pamoja na hela zake
wadau wanatoa burebure watu wanapewa.