Msingi wa hilo swali, jinsi utakavyojobu ndiyo kipimo cha confidence yako as a man ... inaonesha kabisa uliyumba wewe😂😂Nimejitambulisha akanikumbuka vizuri ila akakomalia ajue aliyenipa namba. Cariha jamani [emoji1][emoji1]
Mkuu sasa kama mleta mada ana miaka 18, huoni kama mdada wa 28 kwake ni mkubwa zaidi? 😄😄I think huyo dada ni politee.. mimi ndo kabisaaa...
Think like a man. Dunia ya sasa ilivyoharibika? Nani anajua una kisa gani na mimi? Kama unanistalk je? Hayo majibu ningekupa ungefurahi.. kiwa na 28+ ndo nafasi ya kudate wavulana?
Kama ujasiri wa kumuimba namba tuu huna utapata wapi ujasiri wa kumuuliza hata age yake? Halafu ni boys only wanaoblast ladies juu ya age. Real respect... akili za kivulana zinawatesa sana vijana. Hata angekua na 60 years ndo awe na maswekeni? [emoji706][emoji706]
Yaan bongo bana!!?? Maskin mtoa mada amekuja na swali na mada ya kueleweka kabisa lakini haya mawazo mengine yalipotoka cjui ni wap!!Yes dear MDA kidogo.
[emoji3][emoji3][emoji3] Huwa nawanyoosha wavulana wa jf kidogo aisee eti kwa vile mwanamke ana age flani basi awe ka jalala la jiji kupokea kila mwanaume tu pia umri ni baraka ni wengi hawajafikia huo umri, why judge someone kwa sababu hataki utakalo inasikitisha Sana.
We jamaa najuwa utakuwa unajipitisha pitisha hapo kwenye ki grocery unajiuzisha sura ,eneo la kazi la huyo du[emoji23][emoji23]...
Kwanini hukumuomba namba sasa kama hiwa unaongea nae?
Kwanza ulitakiwa uanze kuyonhoza kabla ya namba hapo hapo face to face ..
Kijana unashindwa hata ku flirt [emoji23][emoji23][emoji23]
Yaan kuomba namba nako kazi ? Asee
Yaan bongo bana!!?? Maskin mtoa mada amekuja na swali na mada ya kueleweka kabisa lakini haya mawazo mengine yalipotoka cjui ni wap!!
Eti "Amkubalie tu kwasababu ni 28+ (wakat mtoa mada hakusema kwamba alimtongoza) Yaan mtu ukihemka tu unaanza kupayuka ujinga.
"Fungua ufahamu wako kabla ya kufungua kinywa chako"
Sent from my TECNO-Y3+ using JamiiForums mobile app
Hahahah we jamaa lazima utakuwa 21~24yrs
Ila siku nyingine mkuu usipende kuzunguka mbuyu!
[emoji23][emoji23] hebu rudi uwape dozi hawa wajinga wajinga.
Halaf kwa uanaume gani alio nao hadi awe na mwanamke. Kwanza huyu bia alizokunywa amejaza kwenye daftari la Manka la madeni
Ndo nimerudi hivo huku kwa Sasa, mwanaume anayedharau mtu kisa umri ana matatizo Sana honestly[emoji23][emoji23] hebu rudi uwape dozi hawa wajinga wajinga.
Halaf kwa uanaume gani alio nao hadi awe na mwanamke. Kwanza huyu bia alizokunywa amejaza kwenye daftari la Manka la madeni
[emoji23][emoji23][emoji23] na kweli... kelele miingi. Tumuone hodari wa kutongozaMkuu sasa kama mleta mada ana miaka 18, huoni kama mdada wa 28 kwake ni mkubwa zaidi? [emoji1][emoji1]
Huyu lazima tumchambe swala lake halijaeleweka kabisa Lengo ni kumzalilisha huyo dada kisa kaulizwa swali Sasa yeye kaja huku kuandika umri ili apate support, kiukweli Mimi umepata number yangu husemi ulikoipata unataka nikukubalie kiurahisi tu jinsi Dunia ya Sasa ilivoharibika kiasi hicho.Yaan bongo bana!!?? Maskin mtoa mada amekuja na swali na mada ya kueleweka kabisa lakini haya mawazo mengine yalipotoka cjui ni wap!!
Eti "Amkubalie tu kwasababu ni 28+ (wakat mtoa mada hakusema kwamba alimtongoza) Yaan mtu ukihemka tu unaanza kupayuka ujinga.
"Fungua ufahamu wako kabla ya kufungua kinywa chako"
Sent from my TECNO-Y3+ using JamiiForums mobile app
Wasimbe ni mama zako dogo... kuwa na adabu..kila siku kujaza server tu kwa ufala. Ama ndo mnataka igeuza jf twitter. Sasa unajua maana ya msimbe? Mbona na wewe ni msimbe..Wasimbe bado wanaitana kuja kushambulia …! Daaah [emoji28][emoji28][emoji28]
Halaf ndo vidangaji haswaaa.. vimejaa maziwaaa... home kwao dada zake na mama zake kibao wamejaaa.. ndo the kind of men watataka na wao binti zao siku moja waolewe na gentlemen wakati kutwa kubully dada zao kisa age..Ndo nimerudi hivo huku kwa Sasa, mwanaume anayedharau mtu kisa umri ana matatizo Sana honestly
Hahaaaa utoto huo kwahyo kuwa na umri mkubwa huruhusiwi kutoa mawazo, dah wewe utakuwa uzalilisha wazee kisa umri, kufika age flani ni neema za Mungu Tena ni heri na wewe utafikia tu umri huo au usifike maana ni mjinga flani, and you have nothing to show ka kutongoza Kuna kushinda ungekuwa na mafezwa usingekuja kulia lia si waona kina diamond hawatongozi wanajulikanaMkuu hawa wote unaowaona wanakomaa kutetea sijui umri wake umeenda isiwe kigezo sijui imeenda sijui imerudi hivi…! Hawa ni wasimbe yaani wale 35+ . Washakuwa makonki full of ego…! Waache waendelee kuuliza nani kakupa namba ili hali tayari ameshakujua unayempigia simu. Waaache hawa wasimbe waongeze idadi yao mtaani
Hawa hawana hela ndo vinara wakutukana humu jf ndo wanakua humu jf Kuna watu wazito hawana huu ujingaHalaf ndo vidangaji haswaaa.. vimejaa maziwaaa... home kwao dada zake na mama zake kibao wamejaaa.. ndo the kind of men watataka na wao binti zao siku moja waolewe na gentlemen wakati kutwa kubully dada zao kisa age..
Yaan hivi ndo aina ya vivulana vikifika age ya uzee vinakufa na depression kwa kutokua na mbele wala nyuma. Kwa mawazo kama haya huyu ana akili gani kichwani.Hahaaaa utoto huo kwahyo kuwa na umri mkubwa huruhusiwi kutoa mawazo, dah wewe utakuwa uzalilisha wazee kisa umri, kufika age flani ni neema za Mungu Tena ni heri na wewe utafikia tu umri huo au usifike maana ni mjinga flani, and you have nothing to show ka kutongoza Kuna kushinda ungekuwa na mafezwa usingekuja kulia lia si waona kina diamond hawatongozi wanajulikana
One day i said this kwa mtu. Threads unazoona zinafunguliwa kushit wanawake mostly ni vibroke boys with no future. Real men wametulia kimyaaa mahali wanawashangaa hawa wavulana badala wajijenge kimaisha kutwa kusutana na dada zaoHawa hawana hela ndo vinara wakutukana humu jf ndo wanakua humu jf Kuna watu wazito hawana huu ujinga