Redpanther
JF-Expert Member
- Feb 23, 2019
- 2,823
- 3,816
- Thread starter
-
- #81
Namshangaaa afu anakuja kujitapa kwenye jukwaa kwani ukiwa na miaka 28 ndo uwe kama jalala,na suala la miaka linakuhusu nini maana hapa mjini kila mtu anamipango yake.
Nothing kills a conversation real quick than a dishonest person...
and u still expect her to be honest wth u?..FU!
Mimi sa hivi niko 35 +huko sema nimeona kama miaka imekuwa shida binafsi niliolewa nikiwa na 30Punguza povu mama [emoji1787][emoji1787], nisamehe nimetaja Umri wako jamani
Mzee mwenzangu nimeamka poa, hofu kwako ww ulie mbali na upeo wa macho yangu,[emoji1787][emoji1787]...Nimekuja mzee mwanzangu, hawa vijana wa siku hizi ni wazembe sana sasa kuomba no tu mtihani kweli[emoji849][emoji23] umeamkaje lkn
Sio wewe ndo hauko serious?Habari gani wadau na wanajamvi wenzangu wa jamvi pendwa la MMU?
Eti mtu nimekuwa napiga naye stori kila mara kwenye ki glosari kimoja hivi. Sasa nikawa nimemuelewa, huyu dada ni mzuri kusema ukweli halafu anakamwili fulani portable sana yaani [emoji39][emoji39][emoji39][emoji39].
Nikawa namvutia muda tu, basi akawa ananipigisha stori za hapa na pale. Sikumuomba namba, juzi nikaomba namba yake kwa rafiki yake. Daah yule dada bila hiyana hakuninyima maana nikimwambia nimempenda rafiki yako kusema ukweli.
Sasa nimemtafuta huyu dada, nakwambia kakomalia eti nimwambie nani kanipa namba yake. Swali ni kwamba, una miaka 28+ hujaolewa, uko single unapata wapi jeuri ya kumkomalia mwanaume akuambie amepewa na nani namba yake?
Seriously [emoji15] [emoji23]
Kuweni serious basi dada zetu.
Naunga mkono hoja. Kwan hata angemtajia jina la aliyempatia namba si angetoa maamuz yale yale tu(kuendelea kuwasiliana nae au la?)Kwani anashindwa kujiongeza? Mpaka anatafutwa na mwanaume, bado hajui tu?
Mimi sa hivi niko 35 +huko sema nimeona kama miaka imekuwa shida binafsi niliolewa nikiwa na 30
Naunga mkono hoja. Kwan hata angemtajia jina la aliyempatia namba si angetoa maamuz yale yale tu(kuendelea kuwasiliana nae au la?)
Halaf kingine huyo dada alifikiria aliyetoa namba yake alikuwa ni mtu asiyemfaham? Lakini hata alipoongea naye si alishamfahamu?(hayo mambo huwa yanakuja baadae)
Dada zang eeee!!!??? Acheni ushamba bana mtu unamfaham( ameshajitambulisha) still unamuulza namba ameipata wap? that's f*cking bulshit+Average mind.
Malaya huyo. Achana naye
Sio wewe ndo hauko serious?
Ungeomba namba muda huo huo mnaopiga stori
Dadeki.[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Dadeki.
Malaya wakimwona mkaka aliyetulia hujifanya kama mabikira.
Nawe unamakosa sana. Umeshindwaje kumfuata mwenyewe ukamuombe namba.Habari gani wadau na wanajamvi wenzangu wa jamvi pendwa la MMU?
Eti mtu nimekuwa napiga naye stori kila mara kwenye ki glosari kimoja hivi. Sasa nikawa nimemuelewa, huyu dada ni mzuri kusema ukweli halafu anakamwili fulani portable sana yaani [emoji39][emoji39][emoji39][emoji39].
Nikawa namvutia muda tu, basi akawa ananipigisha stori za hapa na pale. Sikumuomba namba, juzi nikaomba namba yake kwa rafiki yake. Daah yule dada bila hiyana hakuninyima maana nikimwambia nimempenda rafiki yako kusema ukweli.
Sasa nimemtafuta huyu dada, nakwambia kakomalia eti nimwambie nani kanipa namba yake. Swali ni kwamba, una miaka 28+ hujaolewa, uko single unapata wapi jeuri ya kumkomalia mwanaume akuambie amepewa na nani namba yake?
Seriously [emoji15] [emoji23]
Kuweni serious basi dada zetu.
[emoji28][emoji28][emoji28]Huyu jamaa atakuwa domo zege. Mtu unapiga naye stori kila mara! Unakuja kuomba namba kwa rafiki yake? Na lengo la kuomba namba ni kutongoza? Umetuabisha sana sisi mabaharia.
Acha uoga kijana,kama unaoiga nae stori unashindwaje kumuomba mwenyewe namba?Habari gani wadau na wanajamvi wenzangu wa jamvi pendwa la MMU?
Eti mtu nimekuwa napiga naye stori kila mara kwenye ki glosari kimoja hivi. Sasa nikawa nimemuelewa, huyu dada ni mzuri kusema ukweli halafu anakamwili fulani portable sana yaani [emoji39][emoji39][emoji39][emoji39].
Nikawa namvutia muda tu, basi akawa ananipigisha stori za hapa na pale. Sikumuomba namba, juzi nikaomba namba yake kwa rafiki yake. Daah yule dada bila hiyana hakuninyima maana nikimwambia nimempenda rafiki yako kusema ukweli.
Sasa nimemtafuta huyu dada, nakwambia kakomalia eti nimwambie nani kanipa namba yake. Swali ni kwamba, una miaka 28+ hujaolewa, uko single unapata wapi jeuri ya kumkomalia mwanaume akuambie amepewa na nani namba yake?
Seriously [emoji15] [emoji23]
Kuweni serious basi dada zetu.
Nawe unamakosa sana. Umeshindwaje kumfuata mwenyewe ukamuombe namba.
Inaonekana wewe ni muoga sana. Haya mueleze ulipoitoa namba.
Wewe ndio unayemtaka, alikulilia shida hiyo? Ukiwa na umri mkubwa ndio uwe shamba la bibi?Habari gani wadau na wanajamvi wenzangu wa jamvi pendwa la MMU?
Eti mtu nimekuwa napiga naye stori kila mara kwenye ki glosari kimoja hivi. Sasa nikawa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ilikuwa ni suala la kumjibu ulipoitoa namba yake,ni jeuri kuuliza hilo swali? Kwanza we jamaa ni mzembe kama umeshindwa kumface mwanamke ukaomba namba
Wavulana kwanini mna ujinga mwingi namna hii?