Deeboyfrexh
JF-Expert Member
- Apr 3, 2015
- 3,417
- 5,579
Na Tanga kunani paleeeKwan dar peke yake ndio kuna joto [emoji16]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na Tanga kunani paleeeKwan dar peke yake ndio kuna joto [emoji16]
Mtuombee jamani, tumejisacrifice kwa ajili ya familia.😅Raha nazipenda tena sanaaa
Na mkiacha kutamani hizo posho yatakua matamu zaidiiii😂😂😂
Wanataka ufalme tuHawajui tu mbaya zaid ukute anamtot mdogo uck hajalal kakesha kum'bembeleza halafu asubuh akufanyie yote hayo. Duh wanaume kuweni na huruma kwani kujiandalia maji asbh na kujiandalia chai asbh tena siku hzi maisha rahc jagi la umem lipo viungo vya chai vipo nikujiandalia tu chukua mkate kunywa hubadilik chochote jaman
Tunaongelea maji ya kuoga kwenye pesa hatujafikaMbona kupiga mizinga hamchoki😅
Morogoro napoNa Tanga kunani paleee
Sawa mama .tutaacha ni ka udhaifu chetu tu wanaume tumeumbiwa hata sisi hatupendi iwe hivyoWengine wanamaradh yao halafu haipendez kuwanyanyasa kingono hao mabeki Tatu wakipata mimba mnawatimua achen kuwa wabinafs na msiwatendee wengine ubaya
😂😂😂 yaani weweMtuombee jamani, tumejisacrifice kwa ajili ya familia.😅
Hamna wife anajisahau
Sawasawa mke wa mtuTunaongelea maji ya kuoga kwenye pesa hatujafika
Tupende wake wavivu😅 hebu acheni hizo bana unakuta watoto washakuwa ila still uvivu unakutawala😅 hivi unajua hata wenzio kupika wanaona adhabu😅Mi nawaambiaga wanaume oeni hao ambao maybe unamuona anafaa kuliko mkeo.once umemuoa huyo akazaa mtt mmoja au wawili atakua kama yule yule ulienuacha mybe hata zaidi. Jamani nyie tupendeni tuu hivyo kama mlivyotumwa huku duniani na sisi tukiwatii inatosha hayo mengine ni ya ziada.
Hahahaha Moro kumbe kuna joto sikuhizMorogoro napo
Kuna uvivu na kuchoka, mwanamke pia anachoka shemeji.Tupende wake wavivu😅 hebu acheni hizo bana unakuta watoto washakuwa ila still uvivu unakutawala😅 hivi unajua hata wenzio kupika wanaona adhabu😅
Sawa kabisa kama kuchoka naelewa! Ila huchoki 7 days in a row!Kuna uvivu na kuchoka, mwanamke pia anachoka shemeji.
Ila cariha [emoji23][emoji23][emoji23]Wewe bado maskini tafuta nyumba lenye shower humo ndani kubebewa maji na kuwekewa maji kumepitwa na wakati, pia uache uvivu Yani kujikorogea chai Iko mezani mpaka uletewe acha uvivu aisee