Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Funga heater bafuni,acha mambo ya kumwambia beki 3 nitayarishie maji.
Upo sahihi. Heater maeneo ya bafuni ni muhimu sana katika nyumba tunazoishi. Mpaka lini mkeo natakiwa kuamka saa 10 alfajiri kubandika maji ya kuoga kwenye jiko la gesi?? Uzee ndio huu unatunyemelea Baba Chanja.😂😅😂Habari za weekend!
Kama ilivyoa ada. Mimi ni mtu mzima kiasi nina mke na watoto wawili . Nyumbani mke wangu anajituma si kwamba no mvivu la hasha. Anafanya
Huyo kweli hafai, mkuu!Nikamuambia asiwe anaamka mapema sasa akawa anaamka saa moja.
Kisha nikaja kugundua binti ni kicheche hatari she is 19 na ana 1 year kid nikamuweka chini nikamuambia kuhusu hiyo tabia na risk ya mwanae kukosa mama.
Akanijibu 'Sasa tatizo mi mzuri' nikacheka nikamuambia 'Kwa level ya hapa of course wewe siyo mbaya lakini nilipotokea wewe ni wa kawaida, ila pia wanaume wote hawakufuati kwakua we mzuri wanakufuat kwakua ni easy target'
Hakunielewa. Yaani naweza kua namtafuta kwenye simu for an hour na simu iko bize utamuambia ila wapi.
Nikaona isiwe kesi. Nikaweka kando.
Sina lakusema sijalalamika nimesema tuu maoni yangi lakini nimeshambuliwaKwahiyo unataka kusemaje?????
Tatizo anajisahau
Tafuta pesa wewe acha ubishi, huwa hakuna mwisho wa kutafuta pesa...
Tafuta pesa uweke solar/electric heater maji ya kuoga yatoke kwenye shower rose na sio kuanza sumbua watu wachemshe maji na kuwekewa maji ya kuoga kwenye ndoo za sadolin...
Sasa hapa unataka ushauriwe nini? Kwamba tumsifie house maid wako ni mchapa kazi na tumponde mke wako?
We kula ty buddha.Sina nia ya kugonga nitavuruga nyumba lakini naona ana care zaidi ya mama watoto.
Ila mi niliwahi kuchagua Mtani ..Tafuta pesa wewe acha ubishi, huwa hakuna mwisho wa kutafuta pesa...
Tafuta pesa uweke solar/electric heater maji ya kuoga yatoke kwenye shower rose na sio kuanza sumbua watu wachemshe maji na kuwekewa maji ya kuoga kwenye ndoo za sadolin...
Sasa hapa unataka ushauriwe nini? Kwamba tumsifie house maid wako ni mchapa kazi na tumponde mke wako?
Ila mi niliwahi kuchagua Mtani ..
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Nitake nn tena?.
Jiandae kwa majuto huyo Dada wa kazi anakusogeza karb ili uingie mkenge. Na ukiingia familia lazm aisambaratishe maana wadad wa kazi wanakuja na mambo yao kama machangudoa ukitak kulinda familia yako mambo ya vitu vyakuandaliwa unapaswa ukae namkeo kwan mfanyakaz hatakiw kufany hayo yoteHabari za weekend!
Kama ilivyoa ada. Mimi ni mtu mzima kiasi nina mke na watoto wawili . Nyumbani mke wangu anajituma si kwamba ni mvivu la hasha. Anafanya mambo yote kama mke . Lakini kuna jambo moja linanishangaza, hivi karibuni tumepata msichana wa kazi hana muda mrefu ni kama miezi miwili lakini tangu
Kwel usemayo na huenda mkewe ndio huwa anamlalamikia matatz yake Dada wakaz.Huyo anaelekea kufahamu mengine zaidi ya mkeo.
Kuwa makini pia ila mkeo muamshe toka usingizini.
Kwel kaka anatakiwa amchukulie kama mfanyakaz wa nyumban na anaelipwa hivyo anapaswa afuate sheria za kazi na asimuogope pindi anapokosea amkanye na amkosoe hiyo ndio jukumu la bosi kwa mfanyakaz wake na asisite kuweka tahadhari kwa mfanyakaz wake hapo Nyumba itakuwa na heshimaKunakila dalili house girl kusomwa kitabu. Ikiwa ww ni mwanaume never ever kula hg. Ameajiriwa kwa kazi hiyo mpe ujira wake kwa kuyafahamu majukumu sio kufanya comparison na mkeo.
Unamiaka mingapi kweny ndoa yako? Hakuwahi kukufanyia mengi mazur mkeo mbali na hivyo unavyoviona Leo? Hakuwahi kukuheshimu, kukujali na kukufanyia huduma ndogondog kama kupik, kufua n.k?Sina nia ya kugonga nitavuruga nyumba lakini naona ana care zaidi ya mama watoto.