Dada wa kazi anajua ratiba zangu kuliko Mke wangu!

Dada wa kazi anajua ratiba zangu kuliko Mke wangu!

Funga heater bafuni,acha mambo ya kumwambia beki 3 nitayarishie maji.
Habari za weekend!
Kama ilivyoa ada. Mimi ni mtu mzima kiasi nina mke na watoto wawili . Nyumbani mke wangu anajituma si kwamba no mvivu la hasha. Anafanya
Upo sahihi. Heater maeneo ya bafuni ni muhimu sana katika nyumba tunazoishi. Mpaka lini mkeo natakiwa kuamka saa 10 alfajiri kubandika maji ya kuoga kwenye jiko la gesi?? Uzee ndio huu unatunyemelea Baba Chanja.😂😅😂
 
Nikamuambia asiwe anaamka mapema sasa akawa anaamka saa moja.

Kisha nikaja kugundua binti ni kicheche hatari she is 19 na ana 1 year kid nikamuweka chini nikamuambia kuhusu hiyo tabia na risk ya mwanae kukosa mama.

Akanijibu 'Sasa tatizo mi mzuri' nikacheka nikamuambia 'Kwa level ya hapa of course wewe siyo mbaya lakini nilipotokea wewe ni wa kawaida, ila pia wanaume wote hawakufuati kwakua we mzuri wanakufuat kwakua ni easy target'

Hakunielewa. Yaani naweza kua namtafuta kwenye simu for an hour na simu iko bize utamuambia ila wapi.

Nikaona isiwe kesi. Nikaweka kando.
Huyo kweli hafai, mkuu!
 
Tafuta pesa wewe acha ubishi, huwa hakuna mwisho wa kutafuta pesa...

Tafuta pesa uweke solar/electric heater maji ya kuoga yatoke kwenye shower rose na sio kuanza sumbua watu wachemshe maji na kuwekewa maji ya kuoga kwenye ndoo za sadolin...

Sasa hapa unataka ushauriwe nini? Kwamba tumsifie house maid wako ni mchapa kazi na tumponde mke wako?

[emoji1319][emoji1319][emoji1319][emoji1319][emoji1319][emoji1319][emoji1319]
Mto mada hana hamu
 
Tafuta pesa wewe acha ubishi, huwa hakuna mwisho wa kutafuta pesa...

Tafuta pesa uweke solar/electric heater maji ya kuoga yatoke kwenye shower rose na sio kuanza sumbua watu wachemshe maji na kuwekewa maji ya kuoga kwenye ndoo za sadolin...

Sasa hapa unataka ushauriwe nini? Kwamba tumsifie house maid wako ni mchapa kazi na tumponde mke wako?
Ila mi niliwahi kuchagua Mtani ..
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Nitake nn tena?.
 
Habari za weekend!

Kama ilivyoa ada. Mimi ni mtu mzima kiasi nina mke na watoto wawili . Nyumbani mke wangu anajituma si kwamba ni mvivu la hasha. Anafanya mambo yote kama mke . Lakini kuna jambo moja linanishangaza, hivi karibuni tumepata msichana wa kazi hana muda mrefu ni kama miezi miwili lakini tangu
Jiandae kwa majuto huyo Dada wa kazi anakusogeza karb ili uingie mkenge. Na ukiingia familia lazm aisambaratishe maana wadad wa kazi wanakuja na mambo yao kama machangudoa ukitak kulinda familia yako mambo ya vitu vyakuandaliwa unapaswa ukae namkeo kwan mfanyakaz hatakiw kufany hayo yote
 
Huyo anaelekea kufahamu mengine zaidi ya mkeo.

Kuwa makini pia ila mkeo muamshe toka usingizini.
Kwel usemayo na huenda mkewe ndio huwa anamlalamikia matatz yake Dada wakaz.
Ajiandae tu akisha jua udhaifu mkubwa wa yeye bac atakuwa anamilik wake 2
 
Kunakila dalili house girl kusomwa kitabu. Ikiwa ww ni mwanaume never ever kula hg. Ameajiriwa kwa kazi hiyo mpe ujira wake kwa kuyafahamu majukumu sio kufanya comparison na mkeo.
Kwel kaka anatakiwa amchukulie kama mfanyakaz wa nyumban na anaelipwa hivyo anapaswa afuate sheria za kazi na asimuogope pindi anapokosea amkanye na amkosoe hiyo ndio jukumu la bosi kwa mfanyakaz wake na asisite kuweka tahadhari kwa mfanyakaz wake hapo Nyumba itakuwa na heshima
 
Sina nia ya kugonga nitavuruga nyumba lakini naona ana care zaidi ya mama watoto.
Unamiaka mingapi kweny ndoa yako? Hakuwahi kukufanyia mengi mazur mkeo mbali na hivyo unavyoviona Leo? Hakuwahi kukuheshimu, kukujali na kukufanyia huduma ndogondog kama kupik, kufua n.k?
Au sabb umeshamzoea umemuona kama kazeeka ndio unaona beki Tatu anajuhud?
 
Back
Top Bottom