Dada wa mjini kimeumana Uturuki

Dada wa mjini kimeumana Uturuki

Muongo ni wewe nilikupuuzia tu. Hii habari imejaa insta nenda kwa baby-ake tangu muda unaipost ipo ndo maana masha kajitokeza kujibu tuhuma
Muongo mwaya.
Huoni nilivyo m-confront akakosa jibu.
 
Ma punda yamerudi kwa kasi siku hizi njia ni uturuki watu wanatengeneza kiki za kijinga ili akirudi na matiti yake kama yalivyo aseme aliumwa wakati wa operesheni kumbe mzigo ulishaenda
 
Muongo ni wewe nilikupuuzia tu. Hii habari imejaa insta nenda kwa baby-ake tangu muda unaipost ipo ndo maana masha kajitokeza kujibu tuhuma
Shida nini jamani

Kuna memba hatupo insta huko
 
Hee kumbe kuna mchuano? Me sikujua.
Asee how on earth utake kuwa mtu fulani? Kila mtu ashinde mechi zake na warumi aachwe apumzike hadi siku ya ufufuo wa kwanza au wa pili kutegemeana na matendo yake (hii ni kulingana na imani yangu).
Kuna walio miss umbea wa warumi hivyo tunatafuta mrithi ambaye ataleta nyuzi the same kama warumi.
 
Code ngumu kuliko maisha yangu
IMG_20211002_070854.jpg


Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Mambo yamemchachia na hali ya kiafya kubadilika baada ya balozi wa bidhaa flani ya kuogea kuingia theatre nchini uturuki hapo juzi kwa ajili ya sajari ya kurekebisha matiti na baadhi ya sehemu za mwili.

Safari ya uturuki ilidhaminiwa na boss wake ambaye ni dada ya mjini (ambaye jina lake la kwanza linafanana na malkia mmoja ambaye aliingia kwa mfalme akiwa natural yaani bila kujipodoa na mfalme akavutiwa naye. Jina la pili la sponsa aliyesimamia gharama ya safari hii ni broker).

Watu wako kwenye maombi ili Mungu amsaidie mambo yabadilike maana hali si hali kwa mdhamini (anawaza atapeleka wapi mtoto wa watu kama likimpata baya) na mdhaminiwa (ambaye inqvyosemekana yuko icu).

Huyu balozi wa bidhaa pia ni mzazi mwenzake na MC mmoja maarufu sana na mwenye maneno ya kukera. Ila jamani tuacheni kumkosoa Mungu...kama Mungu amekuumba na pasi ridhika, kama Mungu amekuumba na sura ya baba ridhika.
Surgery imeenda vizuri sema ile video alikuwa bado na maumivu!! Esther na Mashalove. Esther boss Masha love ambassador
 
Akili yangu inanituma baada ya goli la China kuwa gumu inaonekana Uturuki ndio upenyo mpya wa wasafirisha unga.

Subirini tu siku si nyingi mtaniambia, kwamba sasa hivi hospitali za India hazifai tena?
Very logical mkuu
Nakuunga mkono 100%
 
Back
Top Bottom