Dada yangu ameniambukiza UKIMWI na hataki tena kunisaidia

Pumbauu kweli wewe!! Ndio mambo ya kengeza kuita chongo kisa umependa? Kafie mbele huko.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Uliliwa kimasihara.
Angalizo:wadogo wa wake zetu rahisi sana ku date nao.
 
Hii ndiyo mshahara wa kutembea na mume wa Dada yako ako. Umejiambukiza mwenyewe wala siyo dada yako.
 
Ulijua unamkomoa dada yako eeghh? Tamaa mbele mauti nyuma. Mtu mmezaliwa na kukua pamoja, huo uchawi kautoa wapi?? University Student? Naomba supu ya konglo nongeze nguvu
 
Nilidhani ni mimi tu nikiyechanganywa na hizi kaka, dada, kumbe ni wengi

Mwaka wa pili/tatu chuo kikuu huyo
Mara dada mara kaka mara shemeji..yaani full mvurugano..A university student!! Jesus christ

Anyway,stori inafundisha kuwa usipende kulindwa wakati wewe kulinda hupendi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jinga sana sana kwa nini huutaki ukimwi sasa?
 
virusi vinamchanganya mtima
Mara dada mara kaka mara shemeji..yaani full mvurugano..A university student!! Jesus christ

Anyway,stori inafundisha kuwa usipende kulindwa wakati wewe kulinda hupendi
 
Dada ndio kakuambukiza? Acha iendelee tu kuwa ni hadithi....
 
Dada yako hajakuua... we si umesema kua ukikua na mahusiano kisiri siri then mkaweka wazi... so may be hata angekuambia angekua kachelewa.....


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…