Dada yangu anakaribia kuolewa na Tapeli, Nichukue hatua gani?

Dada yangu anakaribia kuolewa na Tapeli, Nichukue hatua gani?

SULUHISHO NI KUMUACHA AFUNZWE NA DUNIA,MTU MZIMA above 18yrs ANAYEJIITA ana akili timamu.LEAVE Her ALONE ..ni haki yake ana haki ya kuamua mambo yake .Mimi ata aniombe hela siwezi kumpa HELA akahonge mwanaume ni bora nikatoe sadaka kanisani au nipeleke watoto yatima...NI BORA APATE SHIDA ili shida imfundishe apate akili..
TATIZO LIPO KWENYE UBONGO WAKE sasa huwezi kumbadilishia ubongo mpya umuumbe upya wewe sio Mungu.
 
Niunganishe Na Dada Yako Nimtoe Wenge a.k.a Umbwichichi Umsumbuao
 
Poleni na pilika na mbio mbio za maandalizi ya uchaguzi,vita ya congo na changamoto binafsi za maisha.

Mimi Mbwichichi katika kuhangaika kwangu kuyatafuta maisha nimebahatika kukutana na watu mbalimbali wa kila aina,zaidi nimejifunza sana kutambua saikolojia za watu baada tu ya kuona matendo yake kwa muda mfupi au baada ya kuongea kauli chache tu.Kwahiyo niko makini sana kwenye kujua nani ni nani na ninavyodeal naye nideal naye kwa angle gani.

Basi bhana…Nina dada yangu ambaye kiumri ni kama tunalingana tu,kwa umri alionao sasa hivi anatosha kabisa kuitwa “shangazi” na bado hajaolewa ila ndio vile watoto wa mjini walishamuwahi wakatia mimba na ana mtoto “single mother” Ninaandika uzi huu baada ya kurudi nyumbani kwa ajili ya kumjulia hali mzee ambaye hali yake ya kiafya sababu ya umri siyo nzuri sana.

Bahati nzuri katika kurudi tukacollide na sister nyumbani,lakini mara hii akiwa kaambatana na kijana mmoja ambaye nyumbani alimtambulisha “rafiki yake” ,rafiki huyu wanafanya naye kazi na kamuomba amuendeshe kwenda nyumbani sababu yeye sister hakua kwenye hali nzuri ya kuendesha gari lake.

Sababu ilibidi alale basi alimtafutia lodge ya karibu hapo na yeye sister alilala home na kuendelea na ratiba za kawaida za nyumbani kama ilivyo desturi zetu.

Kwa sababu ya ukaribu wa umri kati yetu ilikua rahisi kunitambulisha “privatelly” kwamba huyo ni shemeji yangu na wako kwenye michakato ya kutambulishana siku moja wawe rasmi mke na mume.

Lakini pia alinitambulisha kamba huyo bwana anafanya kazi “nyeti” na ilibaki hivyo tu,kwa akili ya kawaida nilijiongeza kwamba huyu bwana ni kitengo maalumu hawa wanaojiita watu wa mama,vijana wa dodoma na kizimkazi.

Unajua tena wanawake wakipata bwana…akawa free kuniambia jinsi gani kapata mtu wa maana,kwamba hatumii pombe na ni mtu wa sala sana,siyo kama wanaume wengine ambao ameshawahi kutana nao wakaishia kumuumiza moyo….jamaa kwa wakati niko naye pale muda wote kambeba mtoto wa sister na kila akichafuka anamfuta vumbi na zile care zote anafanya dingi mwenye mapenzi makubwa sana na mtoto wake…..mi machale yakaanza😇🔊

Basi nikasema haya….lakini nikaanza kushtuka baadhi ya mambo kutoka kwa yule bwana,kama nilivyosema ni mtaalamu sana wa kuona vitu kwa watu ambavyo wengine hawaoni.

1. wakati tunaondoka nyumbani tumeshaagana jamaa alimtonya sister kijanja wakaenda pembeni kidogo,wakati wakijua hakuna anayewacheki basi mimi jicho langu lilikua active…alitoa ishara kwamba hana pesa,sister alifungua pochi akampatia pesa ya kutosha hivi,mwana anaikunja akaiweka mfuko wa tako chap….nikapata kitu hapo💥

2. huyu jamaa alivaa suti ya kaunda ya damu ya mzee akiwa na kilabel cha bendera ya taifa kifuani kushoto,muda wote alikua kapiga tinted nyeusi na mkimya sana sana…nikasema haya sawa😃

3. tukaondoka zetu kwenda walikokubaliana atalala,tulifika kufanya booking na malipo,mi nikakausha nione atafanya nini,alichukua simu kapiga kwa namba ambayo namna ya maongezi yao yaliniambia ni sister…mwisho wa maongezi ilikua ni kutumwa lipa namba ili sister afanye muamala kwa ajili ya chumba…nikasema huyu mbona ana mashaka?!!…kama mtu kweli (a) hawezi kuomba pesa ya kulipia chumba (b) alipewa pesa tunavyotoka,kama yuko timamu alitakiwa lipia ile pesa alipewa kiungwana.

3. tukakaa zetu mara akaniambia anapata wapi m-pesa,alienda kuweka pesa pale akafanya muamala fulani wa kutuma pesa ambao sikutambua ni kwenda kwa nani ila nina uhakika haikua kwenda kwa sister…hii siyo issue sana,lakini iliacha pia alarm kichwani mwangu.

4. niliagiza pombe zangu “tusker lager” baridi tano…yeye akaagiza “red bull” nikamtania kiongozi hupigi vitu????😂😂😂😂😂 akasema yeye hapigi labda kwa dharura sanaaa na anapigaga tu pombe kali ile kistar siyo hizi kama nazopiga mimi….nikasema sawa kiongozi.

Kikweli sura yake anaonekana ni mlevi aliyetopea…nikasema huyu muache tu avunge….haikupita muda akasema wacha nijiboost kidogo akapmba k-vant

😅😅😅 ikawa sasa kafungilia mbwa….yule bwana kitengo ni mlevi mtepetevu….wale watu konki,alikunywa ile na kuchanganya kila pombe…bila kujali sare zake za “kazi” na nembo ya bendera alianza kukatika hadharani pale huku akiimba kila wimbo kwa kumuita DJ na kila fujo inayofanywa na mlevi mzoefu.

Alitoa miwani mpaka viatu….mimi nilichofanya cha “kinoko” ni kumrekodi tu video kwa ajili ya masuala yangu ya “ujasusi” ili kuweka kumbukumbu sawa mbeleni.

Basi bhana…:sababu ya hali yake wakati wa bili alishindwa kulipa nikaingia mfukoni nikalipa,nikahakikisha kaingia chumbani kwake na kalala….nikachukua zangu boda nikarudi kulala nyumbani.

Kesho yake asubuhi ilibidi nikamfate kwa ajili ya wao kuja kuaga na kuondoka…..

Ebwanaaaa eehh…..yule bwege nilimkuta kapiga vitu vyake saaaafi sana,smart na makini kama ambavyo alikua hajalewa jana,ukiambiwa alilewa hadi kusahau viatu na miwani huwezi amini….karudi kwenye “default” setting za kumdanganyia sisiter kwamba yeye ni mtu mwema sana.

Ndio kwabza akauliza kama jana alifanya kitu chochote kilichoacha alama mbaya,nikamuambia hakuna kitu blaza…akaomba malimao,tangawizi nk kwa ajili ya kukata harufu.


All i all…..kwa uzoefu wangu huyu jamaa nimeconclude ni TAPELI….yuko kwa sister kimkakati kwa hiyo hata akifanikiwa kumuoa basi ni kwa mkakati,kutumia advantage ya umri na usingo maza wa sister kaona fursa ya kuishi pale kwa kitonga.

Sasa kuna haja ya kuanza kumpanga sister au niache nione mwisho itakuaje? sababu hata mimi baada ya kupata changamoto kwenye utafutaji bado nasubiria wakati wa kuoa nioe ila home naonekana miyeyusho sana na mtu wa ovyo….lakini suala ni woga wa kurudia tena makosa.
mchukue rafiki yake na sister
 
Nikiwa kama mtoto wa Manzese kuna wanangu ni matapeli na wana wake na watoto acha u snitch mtoto wa kiume

Tukioa mnapiga makelele unataka tutie mimba tukimbie ?
 
Kama unapenda Dada yako kweli nakuomba msanue mwambie kweli yote
Mwaleze tu ukweli kuwa wewe ni mwanaume na kama mwanamume,
Wanaume wote matapeli unawajua

Kama atakuelewa sawa asipokuelewa pia sawa , wewe utakuwa umefikisha ujumbe
Jitaid umuokoe dada yako mtumish

Msema kweli mpenz wa MUNGU

Asante
Nashangaa muda wote hajmuambia
 
Mwambie dada ukweli wote,
Kisha muache yeye aamue cha kufanya
 
Ni simple
Tafuta kesi ya mchongo
Apelekwe polisi
Ukweli utajulikana
 
Mpatie taarifa, siyo maelekezo ya unachotaka sister afanye.
 
Poleni na pilika na mbio mbio za maandalizi ya uchaguzi,vita ya congo na changamoto binafsi za maisha.

Mimi Mbwichichi katika kuhangaika kwangu kuyatafuta maisha nimebahatika kukutana na watu mbalimbali wa kila aina,zaidi nimejifunza sana kutambua saikolojia za watu baada tu ya kuona matendo yake kwa muda mfupi au baada ya kuongea kauli chache tu.Kwahiyo niko makini sana kwenye kujua nani ni nani na ninavyodeal naye nideal naye kwa angle gani.

Basi bhana…Nina dada yangu ambaye kiumri ni kama tunalingana tu,kwa umri alionao sasa hivi anatosha kabisa kuitwa “shangazi” na bado hajaolewa ila ndio vile watoto wa mjini walishamuwahi wakatia mimba na ana mtoto “single mother” Ninaandika uzi huu baada ya kurudi nyumbani kwa ajili ya kumjulia hali mzee ambaye hali yake ya kiafya sababu ya umri siyo nzuri sana.

Bahati nzuri katika kurudi tukacollide na sister nyumbani,lakini mara hii akiwa kaambatana na kijana mmoja ambaye nyumbani alimtambulisha “rafiki yake” ,rafiki huyu wanafanya naye kazi na kamuomba amuendeshe kwenda nyumbani sababu yeye sister hakua kwenye hali nzuri ya kuendesha gari lake.

Sababu ilibidi alale basi alimtafutia lodge ya karibu hapo na yeye sister alilala home na kuendelea na ratiba za kawaida za nyumbani kama ilivyo desturi zetu.

Kwa sababu ya ukaribu wa umri kati yetu ilikua rahisi kunitambulisha “privatelly” kwamba huyo ni shemeji yangu na wako kwenye michakato ya kutambulishana siku moja wawe rasmi mke na mume.

Lakini pia alinitambulisha kamba huyo bwana anafanya kazi “nyeti” na ilibaki hivyo tu,kwa akili ya kawaida nilijiongeza kwamba huyu bwana ni kitengo maalumu hawa wanaojiita watu wa mama,vijana wa dodoma na kizimkazi.

Unajua tena wanawake wakipata bwana…akawa free kuniambia jinsi gani kapata mtu wa maana,kwamba hatumii pombe na ni mtu wa sala sana,siyo kama wanaume wengine ambao ameshawahi kutana nao wakaishia kumuumiza moyo….jamaa kwa wakati niko naye pale muda wote kambeba mtoto wa sister na kila akichafuka anamfuta vumbi na zile care zote anafanya dingi mwenye mapenzi makubwa sana na mtoto wake…..mi machale yakaanza😇🔊

Basi nikasema haya….lakini nikaanza kushtuka baadhi ya mambo kutoka kwa yule bwana,kama nilivyosema ni mtaalamu sana wa kuona vitu kwa watu ambavyo wengine hawaoni.

1. wakati tunaondoka nyumbani tumeshaagana jamaa alimtonya sister kijanja wakaenda pembeni kidogo,wakati wakijua hakuna anayewacheki basi mimi jicho langu lilikua active…alitoa ishara kwamba hana pesa,sister alifungua pochi akampatia pesa ya kutosha hivi,mwana anaikunja akaiweka mfuko wa tako chap….nikapata kitu hapo💥

2. huyu jamaa alivaa suti ya kaunda ya damu ya mzee akiwa na kilabel cha bendera ya taifa kifuani kushoto,muda wote alikua kapiga tinted nyeusi na mkimya sana sana…nikasema haya sawa😃

3. tukaondoka zetu kwenda walikokubaliana atalala,tulifika kufanya booking na malipo,mi nikakausha nione atafanya nini,alichukua simu kapiga kwa namba ambayo namna ya maongezi yao yaliniambia ni sister…mwisho wa maongezi ilikua ni kutumwa lipa namba ili sister afanye muamala kwa ajili ya chumba…nikasema huyu mbona ana mashaka?!!…kama mtu kweli (a) hawezi kuomba pesa ya kulipia chumba (b) alipewa pesa tunavyotoka,kama yuko timamu alitakiwa lipia ile pesa alipewa kiungwana.

3. tukakaa zetu mara akaniambia anapata wapi m-pesa,alienda kuweka pesa pale akafanya muamala fulani wa kutuma pesa ambao sikutambua ni kwenda kwa nani ila nina uhakika haikua kwenda kwa sister…hii siyo issue sana,lakini iliacha pia alarm kichwani mwangu.

4. niliagiza pombe zangu “tusker lager” baridi tano…yeye akaagiza “red bull” nikamtania kiongozi hupigi vitu????😂😂😂😂😂 akasema yeye hapigi labda kwa dharura sanaaa na anapigaga tu pombe kali ile kistar siyo hizi kama nazopiga mimi….nikasema sawa kiongozi.

Kikweli sura yake anaonekana ni mlevi aliyetopea…nikasema huyu muache tu avunge….haikupita muda akasema wacha nijiboost kidogo akapmba k-vant

😅😅😅 ikawa sasa kafungilia mbwa….yule bwana kitengo ni mlevi mtepetevu….wale watu konki,alikunywa ile na kuchanganya kila pombe…bila kujali sare zake za “kazi” na nembo ya bendera alianza kukatika hadharani pale huku akiimba kila wimbo kwa kumuita DJ na kila fujo inayofanywa na mlevi mzoefu.

Alitoa miwani mpaka viatu….mimi nilichofanya cha “kinoko” ni kumrekodi tu video kwa ajili ya masuala yangu ya “ujasusi” ili kuweka kumbukumbu sawa mbeleni.

Basi bhana…:sababu ya hali yake wakati wa bili alishindwa kulipa nikaingia mfukoni nikalipa,nikahakikisha kaingia chumbani kwake na kalala….nikachukua zangu boda nikarudi kulala nyumbani.

Kesho yake asubuhi ilibidi nikamfate kwa ajili ya wao kuja kuaga na kuondoka…..

Ebwanaaaa eehh…..yule bwege nilimkuta kapiga vitu vyake saaaafi sana,smart na makini kama ambavyo alikua hajalewa jana,ukiambiwa alilewa hadi kusahau viatu na miwani huwezi amini….karudi kwenye “default” setting za kumdanganyia sisiter kwamba yeye ni mtu mwema sana.

Ndio kwabza akauliza kama jana alifanya kitu chochote kilichoacha alama mbaya,nikamuambia hakuna kitu blaza…akaomba malimao,tangawizi nk kwa ajili ya kukata harufu.


All i all…..kwa uzoefu wangu huyu jamaa nimeconclude ni TAPELI….yuko kwa sister kimkakati kwa hiyo hata akifanikiwa kumuoa basi ni kwa mkakati,kutumia advantage ya umri na usingo maza wa sister kaona fursa ya kuishi pale kwa kitonga.

Sasa kuna haja ya kuanza kumpanga sister au niache nione mwisho itakuaje? sababu hata mimi baada ya kupata changamoto kwenye utafutaji bado nasubiria wakati wa kuoa nioe ila home naonekana miyeyusho sana na mtu wa ovyo….lakini suala ni woga wa kurudia tena makosa.
 
MAGONJWA NI MENGI lijamaa likimiambikiza magonjwa linapotea ndugu ndio watakao muuguza.

SIJUI KWA NINI BAADHI YA WANAWAKE hawana akili hata kidogo hata chembe ..ni kama nyumbu unajua kabisa kwamba unatapeliwa unadanganywa lakini bado unaenda unaelekea kibla uchinjwe vizuri.

NI HERI UKOSE MALI KULIKO KIKOSA AKILI.
muheshimu shemeji yako mkuu sio unamuita majina ya ajabu

halafu unazijua mali kweli wewe

no way.!
 
muheshimu shemeji yako mkuu sio unamuita majina ya ajabu

halafu unazijua mali kweli wewe

no way.!
Lijamaa kwa sababu ni litapeli (kumdanganya sista alipe pesa limalizie kujenga nyumba ili ikikamilika kwa wakati wahamie na sista ni kosa KUJIPATIA Fedha/pesa kwa njia ya udanganyifu ni kosa hata kisheria ni utapeli...uongo kutumika kupata pesa,ili hali ile site aliyokuwa anampeleka sista kumuonyesha ujenzi unavyoendelea si yake ,na sista akawa anampanga mama anachota hela kwa mama analipelekea lijamaa ili ujenzi uendelee (UJENZI HEWA).

NI USEMI WA SIKU NYINGI...ni heri ukose mali lakini upate akili...aliimba msanii banza stone...ni usemi nimetumia kuonyesha ...NI HERI UKOSE ukose kitu kingine lakini si kukosa akili....MAANA WATU WENGI WANAANGAMIA KWA KUKOSA MAARIFA/AKILI...ukikosa akili ni rahisi kuangamia hata kupoteza kila kitu....kuna usemi mwingine unasema..

a fool can make money but it take for a wise to use IT

au kifupi WAJINGA NDIO WALIWAO.

SIWEZI KUMUHESHUMU ,heshima ni kitu ambacho value mtu anayoipata anagain baada ya kufanya jambo linalostahili heshima,mf.kwa zile good morals values alizonazo zinaimpatia au zinampotezea HESHIMA automatically kadiri ya matendo yake.
Kuna namna ukitenda uki behave unajipatia heshima au unaipoteza.

HUWEZI KUFANYA maujinga halafu ukategemea uheshimiwe.

HESHIMA UNAIJENGA au unaibomoa MWENYEWE
na inakuja yenyewe sio kwa kuivuta kwa kamba au kwa kulazimisha uheshimiwe.
 
Poleni na pilika na mbio mbio za maandalizi ya uchaguzi,vita ya congo na changamoto binafsi za maisha.

Mimi Mbwichichi katika kuhangaika kwangu kuyatafuta maisha nimebahatika kukutana na watu mbalimbali wa kila aina,zaidi nimejifunza sana kutambua saikolojia za watu baada tu ya kuona matendo yake kwa muda mfupi au baada ya kuongea kauli chache tu.Kwahiyo niko makini sana kwenye kujua nani ni nani na ninavyodeal naye nideal naye kwa angle gani.

Basi bhana…Nina dada yangu ambaye kiumri ni kama tunalingana tu,kwa umri alionao sasa hivi anatosha kabisa kuitwa “shangazi” na bado hajaolewa ila ndio vile watoto wa mjini walishamuwahi wakatia mimba na ana mtoto “single mother” Ninaandika uzi huu baada ya kurudi nyumbani kwa ajili ya kumjulia hali mzee ambaye hali yake ya kiafya sababu ya umri siyo nzuri sana.

Bahati nzuri katika kurudi tukacollide na sister nyumbani,lakini mara hii akiwa kaambatana na kijana mmoja ambaye nyumbani alimtambulisha “rafiki yake” ,rafiki huyu wanafanya naye kazi na kamuomba amuendeshe kwenda nyumbani sababu yeye sister hakua kwenye hali nzuri ya kuendesha gari lake.

Sababu ilibidi alale basi alimtafutia lodge ya karibu hapo na yeye sister alilala home na kuendelea na ratiba za kawaida za nyumbani kama ilivyo desturi zetu.

Kwa sababu ya ukaribu wa umri kati yetu ilikua rahisi kunitambulisha “privatelly” kwamba huyo ni shemeji yangu na wako kwenye michakato ya kutambulishana siku moja wawe rasmi mke na mume.

Lakini pia alinitambulisha kamba huyo bwana anafanya kazi “nyeti” na ilibaki hivyo tu,kwa akili ya kawaida nilijiongeza kwamba huyu bwana ni kitengo maalumu hawa wanaojiita watu wa mama,vijana wa dodoma na kizimkazi.

Unajua tena wanawake wakipata bwana…akawa free kuniambia jinsi gani kapata mtu wa maana,kwamba hatumii pombe na ni mtu wa sala sana,siyo kama wanaume wengine ambao ameshawahi kutana nao wakaishia kumuumiza moyo….jamaa kwa wakati niko naye pale muda wote kambeba mtoto wa sister na kila akichafuka anamfuta vumbi na zile care zote anafanya dingi mwenye mapenzi makubwa sana na mtoto wake…..mi machale yakaanza😇🔊

Basi nikasema haya….lakini nikaanza kushtuka baadhi ya mambo kutoka kwa yule bwana,kama nilivyosema ni mtaalamu sana wa kuona vitu kwa watu ambavyo wengine hawaoni.

1. wakati tunaondoka nyumbani tumeshaagana jamaa alimtonya sister kijanja wakaenda pembeni kidogo,wakati wakijua hakuna anayewacheki basi mimi jicho langu lilikua active…alitoa ishara kwamba hana pesa,sister alifungua pochi akampatia pesa ya kutosha hivi,mwana anaikunja akaiweka mfuko wa tako chap….nikapata kitu hapo💥

2. huyu jamaa alivaa suti ya kaunda ya damu ya mzee akiwa na kilabel cha bendera ya taifa kifuani kushoto,muda wote alikua kapiga tinted nyeusi na mkimya sana sana…nikasema haya sawa😃

3. tukaondoka zetu kwenda walikokubaliana atalala,tulifika kufanya booking na malipo,mi nikakausha nione atafanya nini,alichukua simu kapiga kwa namba ambayo namna ya maongezi yao yaliniambia ni sister…mwisho wa maongezi ilikua ni kutumwa lipa namba ili sister afanye muamala kwa ajili ya chumba…nikasema huyu mbona ana mashaka?!!…kama mtu kweli (a) hawezi kuomba pesa ya kulipia chumba (b) alipewa pesa tunavyotoka,kama yuko timamu alitakiwa lipia ile pesa alipewa kiungwana.

3. tukakaa zetu mara akaniambia anapata wapi m-pesa,alienda kuweka pesa pale akafanya muamala fulani wa kutuma pesa ambao sikutambua ni kwenda kwa nani ila nina uhakika haikua kwenda kwa sister…hii siyo issue sana,lakini iliacha pia alarm kichwani mwangu.

4. niliagiza pombe zangu “tusker lager” baridi tano…yeye akaagiza “red bull” nikamtania kiongozi hupigi vitu????😂😂😂😂😂 akasema yeye hapigi labda kwa dharura sanaaa na anapigaga tu pombe kali ile kistar siyo hizi kama nazopiga mimi….nikasema sawa kiongozi.

Kikweli sura yake anaonekana ni mlevi aliyetopea…nikasema huyu muache tu avunge….haikupita muda akasema wacha nijiboost kidogo akapmba k-vant

😅😅😅 ikawa sasa kafungilia mbwa….yule bwana kitengo ni mlevi mtepetevu….wale watu konki,alikunywa ile na kuchanganya kila pombe…bila kujali sare zake za “kazi” na nembo ya bendera alianza kukatika hadharani pale huku akiimba kila wimbo kwa kumuita DJ na kila fujo inayofanywa na mlevi mzoefu.

Alitoa miwani mpaka viatu….mimi nilichofanya cha “kinoko” ni kumrekodi tu video kwa ajili ya masuala yangu ya “ujasusi” ili kuweka kumbukumbu sawa mbeleni.

Basi bhana…:sababu ya hali yake wakati wa bili alishindwa kulipa nikaingia mfukoni nikalipa,nikahakikisha kaingia chumbani kwake na kalala….nikachukua zangu boda nikarudi kulala nyumbani.

Kesho yake asubuhi ilibidi nikamfate kwa ajili ya wao kuja kuaga na kuondoka…..

Ebwanaaaa eehh…..yule bwege nilimkuta kapiga vitu vyake saaaafi sana,smart na makini kama ambavyo alikua hajalewa jana,ukiambiwa alilewa hadi kusahau viatu na miwani huwezi amini….karudi kwenye “default” setting za kumdanganyia sisiter kwamba yeye ni mtu mwema sana.

Ndio kwabza akauliza kama jana alifanya kitu chochote kilichoacha alama mbaya,nikamuambia hakuna kitu blaza…akaomba malimao,tangawizi nk kwa ajili ya kukata harufu.


All i all…..kwa uzoefu wangu huyu jamaa nimeconclude ni TAPELI….yuko kwa sister kimkakati kwa hiyo hata akifanikiwa kumuoa basi ni kwa mkakati,kutumia advantage ya umri na usingo maza wa sister kaona fursa ya kuishi pale kwa kitonga.

Sasa kuna haja ya kuanza kumpanga sister au niache nione mwisho itakuaje? sababu hata mimi baada ya kupata changamoto kwenye utafutaji bado nasubiria wakati wa kuoa nioe ila home naonekana miyeyusho sana na mtu wa ovyo….lakini suala ni woga wa kurudia tena makosa.
Mkuu mbona bia za Tusker hazipo.
 
PESA ZA MAMA mama yetu mzee anatafuta pesa zake kwa shida kwa biashara ndogondogo halafu sista anakuja kumlaghai mama anampa pesa hizi milioni mbili mbili tatu,mara kadhaa anapewa na mama HALAFU dada Jack analipelekea lijamaa.
Bado lijamaa limekula mgao wa dada ile milioni 10 ya baba alivyogawa kwa wototo baada ya kustaafu,na ile milioni 10 ya mama alivyovunja kikoba kwa wakati tofauti.
Na bado mtoto wao waliozaa wamemleta kwa mama amlee.
Na bado hela za matumizi wanachukua kwa mama ,yani mizinga mingi dada jack anaomba kwa mama na baba kwa ajili ya kilipa lijamaa.
Biashara aliyofunguliwa wamekula mtaji na lijamaa lake dada jack hana biashara wamekula mtaji.
Bado na nyumba ya baba linakaa humo humo wanzalia mtoto humo humo kwe nyumba ya baba.
Bado linamdanganya mauongo kuwa linajenga ili na kwwnda kumuonyesha SITE HEWA kwamba nyumba inakaribia kuisha wahamie akazane kutafuta hela wamalizie nyumba kumbe site sio yake .
Bado lina familia huko Arusha na hapo mkoani limezalisha wanawake wengine kadhaa likiwatapeli kwa .
Halifanyi kazi yoyote lilitumbukiwa vyeti feki sawa lakini halijushughulishi na kazi yoyote zaidi ya kutapeli wanawake .
BADO DADA JACK analingangania NA KUONYWA KABLA HAJAZAA NALO na alionywa na binamu zake wa kike na marafiki zake wa kike ila dada jack akawachukia wote waliomshauri.
HANA AKILI KWA SABABU HAJIFUNZI
Mtoto wa kwanza pia alizalishwa nyumbani na mwaru koko ,analelewa nyumbani,mara ya pili kakutana na hili tapeli tena hajifunzi anazidi kurundika watoto nyumbani mama awalee na kumtia hasara mama awahidumie yeye na lijamaa lake

MAGONJWA NI MENGI lijamaa likimiambikiza magonjwa linapotea ndugu ndio watakao muuguza.

SIJUI KWA NINI BAADHI YA WANAWAKE hawana akili hata kidogo hata chembe ..ni kama nyumbu unajua kabisa kwamba unatapeliwa unadanganywa lakini bado unaenda unaelekea kibla uchinjwe vizuri.

NI HERI UKOSE MALI KULIKO KIKOSA AKILI.
Mwamba umeandika kwa uchungu
 
Kama unapenda Dada yako kweli nakuomba msanue mwambie kweli yote
Mwaleze tu ukweli kuwa wewe ni mwanaume na kama mwanamume,
Wanaume wote matapeli unawajua

Kama atakuelewa sawa asipokuelewa pia sawa , wewe utakuwa umefikisha ujumbe
Jitaid umuokoe dada yako mtumish

Msema kweli mpenz wa MUNGU

Asante
Nakazia
 
Back
Top Bottom