Dada yangu anakaribia kuolewa na Tapeli, Nichukue hatua gani?

Dada yangu anakaribia kuolewa na Tapeli, Nichukue hatua gani?

Poleni na pilika na mbio mbio za maandalizi ya uchaguzi,vita ya congo na changamoto binafsi za maisha.

Mimi Mbwichichi katika kuhangaika kwangu kuyatafuta maisha nimebahatika kukutana na watu mbalimbali wa kila aina,zaidi nimejifunza sana kutambua saikolojia za watu baada tu ya kuona matendo yake kwa muda mfupi au baada ya kuongea kauli chache tu.Kwahiyo niko makini sana kwenye kujua nani ni nani na ninavyodeal naye nideal naye kwa angle gani.

Basi bhana…Nina dada yangu ambaye kiumri ni kama tunalingana tu,kwa umri alionao sasa hivi anatosha kabisa kuitwa “shangazi” na bado hajaolewa ila ndio vile watoto wa mjini walishamuwahi wakatia mimba na ana mtoto “single mother” Ninaandika uzi huu baada ya kurudi nyumbani kwa ajili ya kumjulia hali mzee ambaye hali yake ya kiafya sababu ya umri siyo nzuri sana.

Bahati nzuri katika kurudi tukacollide na sister nyumbani,lakini mara hii akiwa kaambatana na kijana mmoja ambaye nyumbani alimtambulisha “rafiki yake” ,rafiki huyu wanafanya naye kazi na kamuomba amuendeshe kwenda nyumbani sababu yeye sister hakua kwenye hali nzuri ya kuendesha gari lake.

Sababu ilibidi alale basi alimtafutia lodge ya karibu hapo na yeye sister alilala home na kuendelea na ratiba za kawaida za nyumbani kama ilivyo desturi zetu.

Kwa sababu ya ukaribu wa umri kati yetu ilikua rahisi kunitambulisha “privatelly” kwamba huyo ni shemeji yangu na wako kwenye michakato ya kutambulishana siku moja wawe rasmi mke na mume.

Lakini pia alinitambulisha kamba huyo bwana anafanya kazi “nyeti” na ilibaki hivyo tu,kwa akili ya kawaida nilijiongeza kwamba huyu bwana ni kitengo maalumu hawa wanaojiita watu wa mama,vijana wa dodoma na kizimkazi.

Unajua tena wanawake wakipata bwana…akawa free kuniambia jinsi gani kapata mtu wa maana,kwamba hatumii pombe na ni mtu wa sala sana,siyo kama wanaume wengine ambao ameshawahi kutana nao wakaishia kumuumiza moyo….jamaa kwa wakati niko naye pale muda wote kambeba mtoto wa sister na kila akichafuka anamfuta vumbi na zile care zote anafanya dingi mwenye mapenzi makubwa sana na mtoto wake…..mi machale yakaanza😇🔊

Basi nikasema haya….lakini nikaanza kushtuka baadhi ya mambo kutoka kwa yule bwana,kama nilivyosema ni mtaalamu sana wa kuona vitu kwa watu ambavyo wengine hawaoni.

1. wakati tunaondoka nyumbani tumeshaagana jamaa alimtonya sister kijanja wakaenda pembeni kidogo,wakati wakijua hakuna anayewacheki basi mimi jicho langu lilikua active…alitoa ishara kwamba hana pesa,sister alifungua pochi akampatia pesa ya kutosha hivi,mwana anaikunja akaiweka mfuko wa tako chap….nikapata kitu hapo💥

2. huyu jamaa alivaa suti ya kaunda ya damu ya mzee akiwa na kilabel cha bendera ya taifa kifuani kushoto,muda wote alikua kapiga tinted nyeusi na mkimya sana sana…nikasema haya sawa😃

3. tukaondoka zetu kwenda walikokubaliana atalala,tulifika kufanya booking na malipo,mi nikakausha nione atafanya nini,alichukua simu kapiga kwa namba ambayo namna ya maongezi yao yaliniambia ni sister…mwisho wa maongezi ilikua ni kutumwa lipa namba ili sister afanye muamala kwa ajili ya chumba…nikasema huyu mbona ana mashaka?!!…kama mtu kweli (a) hawezi kuomba pesa ya kulipia chumba (b) alipewa pesa tunavyotoka,kama yuko timamu alitakiwa lipia ile pesa alipewa kiungwana.

3. tukakaa zetu mara akaniambia anapata wapi m-pesa,alienda kuweka pesa pale akafanya muamala fulani wa kutuma pesa ambao sikutambua ni kwenda kwa nani ila nina uhakika haikua kwenda kwa sister…hii siyo issue sana,lakini iliacha pia alarm kichwani mwangu.

4. niliagiza pombe zangu “tusker lager” baridi tano…yeye akaagiza “red bull” nikamtania kiongozi hupigi vitu????😂😂😂😂😂 akasema yeye hapigi labda kwa dharura sanaaa na anapigaga tu pombe kali ile kistar siyo hizi kama nazopiga mimi….nikasema sawa kiongozi.

Kikweli sura yake anaonekana ni mlevi aliyetopea…nikasema huyu muache tu avunge….haikupita muda akasema wacha nijiboost kidogo akapmba k-vant

😅😅😅 ikawa sasa kafungilia mbwa….yule bwana kitengo ni mlevi mtepetevu….wale watu konki,alikunywa ile na kuchanganya kila pombe…bila kujali sare zake za “kazi” na nembo ya bendera alianza kukatika hadharani pale huku akiimba kila wimbo kwa kumuita DJ na kila fujo inayofanywa na mlevi mzoefu.

Alitoa miwani mpaka viatu….mimi nilichofanya cha “kinoko” ni kumrekodi tu video kwa ajili ya masuala yangu ya “ujasusi” ili kuweka kumbukumbu sawa mbeleni.

Basi bhana…:sababu ya hali yake wakati wa bili alishindwa kulipa nikaingia mfukoni nikalipa,nikahakikisha kaingia chumbani kwake na kalala….nikachukua zangu boda nikarudi kulala nyumbani.

Kesho yake asubuhi ilibidi nikamfate kwa ajili ya wao kuja kuaga na kuondoka…..

Ebwanaaaa eehh…..yule bwege nilimkuta kapiga vitu vyake saaaafi sana,smart na makini kama ambavyo alikua hajalewa jana,ukiambiwa alilewa hadi kusahau viatu na miwani huwezi amini….karudi kwenye “default” setting za kumdanganyia sisiter kwamba yeye ni mtu mwema sana.

Ndio kwabza akauliza kama jana alifanya kitu chochote kilichoacha alama mbaya,nikamuambia hakuna kitu blaza…akaomba malimao,tangawizi nk kwa ajili ya kukata harufu.


All i all…..kwa uzoefu wangu huyu jamaa nimeconclude ni TAPELI….yuko kwa sister kimkakati kwa hiyo hata akifanikiwa kumuoa basi ni kwa mkakati,kutumia advantage ya umri na usingo maza wa sister kaona fursa ya kuishi pale kwa kitonga.

Sasa kuna haja ya kuanza kumpanga sister au niache nione mwisho itakuaje? sababu hata mimi baada ya kupata changamoto kwenye utafutaji bado nasubiria wakati wa kuoa nioe ila home naonekana miyeyusho sana na mtu wa ovyo….lakini suala ni woga wa kurudia tena makosa.
Hivi huyu ndio wewe au.
IMG_0567.jpeg
 
Ulizingua tu kumrekodi mzee, sio poa kumrekodi mtu akilewa. Ni umbea sa kishamba sana.

Mwisho wa siku ili kuendelea kua sawa na sister wako muache bila kumwambia kitu, ajionee mwenyewe.
 
Kisa chako kinafanana na cha dada yangu ya kwanza ,naye alikutana na tapeli ambaye alionywa kabla ya kujiingiza kwenye mahusiano deep na kuzaa naye ,tena alionywa na binamu yetu wa kike,alionywa na marafiki zake wa kike kuwa huyo mtu aliyenaye ni tapeli lakini hakusikia,badala yake aliwaona wanaomshauri na kumuonya kama ni maadui na hawamtakii mema.

1)uongo wa kwanza ni kumdanganya hana familia hana mke hana watoto..kumbe ana watoto amezaa na wanawake wengi mbali mbali na kuwatelekeza na pia ana famili mke na watoto mkoa mwingine.

2)uongo wa pili ni kumdanganya anafanya kazi ,kumbe alitumbuliwa vyeti feki hana kazi

3)uongo mwingine ni kuazima gari kwa watu wake na kumleta nalo nyumbani kujifanya ni gari lake.
b) kwenda kumuonyesha site nyumba ya mtu akimuaminisha ni site yake nyumba yake anajenga ikiisha wahamie .

4)KIMTAPELI PESA yani dada JACK kweli unachukua hela kwa mama,unamuomba mama hela aliyovunja vikoba akakupa MILIONI KUMI na hela nyingine mbali mbali mama anakupa unaenda kuhonga mwanaume,badala mwanaume akuhonge wewe wewe unahonga mwanaume????
Jamaa linamdanganya sista alipe hela wamalizie kujenga hiyo site wahamie kumbe site hewa kumbe kiwanja cha mtu mjengo sio wake HUYU JAMAA TAPELI anamwambia dada ampe hela washirikiane kujenga hiyi nyumba site ili wahamie na dada jack anaenda kumpanga mama ampe hela kwa ajili ya kufanya biasahara mama anakomaa anampa hela dada jack,kumbe dada jack analipekekea lijamaa.

5)Baba alivyostaafu alinunua nyumba kadhaa nyumba moja alimpa dada jack akae na hakumwambia kwamba amempa ila alimwambia amempangisha alipe kodi,pia nyumba imepakana na barabara ya mtaa na nyumba mbele ina fremu dada jack alifungiliwa biashara ,JAMAA LIKAHAMIA kwa dada jack yani mwanaume anakaa na kuishi nyumba ya ukweni nyumba na wakala mtajibwa biashara ikafa.

6)Pamoja na hayo maujinga yote ila dada Jack ndio akawa hasikii anashauriwa na wanawake wenzake binamu na marafiki zake hasikii badala yake akawachukia wote wanaomshauri akabeba na mimba akazaa jamaa hana msaada anategemea dada jack aombe hela nyumbani kutoka kwa biashara za mama na baba ndio amuhudumie mwanaume wake aliyemfuga ndani.

7)Jamaa kazi yake ni kupiga picha akiwa ndani ya ndege anampanga sista kuna mchongo anausikilizia sista anaposti picha za jamaa yake eti kapanda ndege ana mishe mishe sijui picha za photos studio?mara jamaa liseme linataka kuinunua nyumba ya baba hiyo anayokaa jack amrudishie baba hela aliyoinunulia linunue na sista kama nyumbu ana amini kila uongo anaoambiwa na lijamaa,
MWISHO WA SIKU mtoto waliozaa na lijamaa ikabidi dada jack ampeleke nyumbani kwa mama ,yani wanazaa huko nje WANAENDA KUMRUNDIKIA MAMA watoto awalee.Na baba alivyostaafu aliwapa masista wote mitaji kama milion 10 kumi ila hakuna walichofanya zaidi ya kwenda kuhonga wanaume.Na bado wao na waume zao na watoto wao wanategemea mama na baba ndio awalee...na bado wanazidi kuzaa na kuleta watoto kwa mama awalelee.

Mwisho wa siku ilibidi baba aende kumfukuza yuke jamaa amtoe kwenye nyumba yake akimwambia JACK kama hutamuondoa hapo kwenye nyumba yangu huyo jamaa yako KESHO NAKUJA KUMTOA NIFUNGE nyumba yangu ,ndio jamaa likaondoka baada ya kumtapeli sista pesa nyingi.

NA BADO DADA JACK anliposti yani bado anlipenda .

CONCLUSION
Nilichojifunza WANAWAKE wamegawanyika katika MAKUNDI MAWILI kuna WENYE AKILI na KUNA WASIO KUWA NA AKILI.Wasiokuwa na akili ndio wengi kuliko wenye akili(nikisema wasiokuwa na akili namaanisha wanaofanya mambo yao kwa kifuata HISIA ZAO NYEGE KULIKO AKILI kuna wenye uwezo wa kufanya maamuzi yako kwa kuongozwa na akili sio hisia (YANI wapo wanawake wenye akili hawa ni wachache sana sana)na kama mwanamke hana akili HUWEZI KUMBADILISHA hata umshauri nini hawezi kubadilika kwa sababu HUO NI UGONJWA WA AKILI(TATIZO LIPO kwenye ubongo wake ,huwezi kumuumba upya wewe sio Mungu.
DAWA NI KUMUACHA AFUNZWE NA DUNIA.
Mkuu sasa kama wewe kijana wa kiume kwanini uliendelea kufumbia macho mambo yote hayo, ulitakiwa wewe kijana ndiyo uwasaidie Wazazi wako kwa kuanza kuwatimua nyumbani hao Wajomba zako.
 
Kisa chako kinafanana na cha dada yangu ya kwanza ,naye alikutana na tapeli ambaye alionywa kabla ya kujiingiza kwenye mahusiano deep na kuzaa naye ,tena alionywa na binamu yetu wa kike,alionywa na marafiki zake wa kike kuwa huyo mtu aliyenaye ni tapeli lakini hakusikia,badala yake aliwaona wanaomshauri na kumuonya kama ni maadui na hawamtakii mema.

1)uongo wa kwanza ni kumdanganya hana familia hana mke hana watoto..kumbe ana watoto amezaa na wanawake wengi mbali mbali na kuwatelekeza na pia ana famili mke na watoto mkoa mwingine.

2)uongo wa pili ni kumdanganya anafanya kazi ,kumbe alitumbuliwa vyeti feki hana kazi

3)uongo mwingine ni kuazima gari kwa watu wake na kumleta nalo nyumbani kujifanya ni gari lake.
b) kwenda kumuonyesha site nyumba ya mtu akimuaminisha ni site yake nyumba yake anajenga ikiisha wahamie .

4)KIMTAPELI PESA yani dada JACK kweli unachukua hela kwa mama,unamuomba mama hela aliyovunja vikoba akakupa MILIONI KUMI na hela nyingine mbali mbali mama anakupa unaenda kuhonga mwanaume,badala mwanaume akuhonge wewe wewe unahonga mwanaume????
Jamaa linamdanganya sista alipe hela wamalizie kujenga hiyo site wahamie kumbe site hewa kumbe kiwanja cha mtu mjengo sio wake HUYU JAMAA TAPELI anamwambia dada ampe hela washirikiane kujenga hiyi nyumba site ili wahamie na dada jack anaenda kumpanga mama ampe hela kwa ajili ya kufanya biasahara mama anakomaa anampa hela dada jack,kumbe dada jack analipekekea lijamaa.

5)Baba alivyostaafu alinunua nyumba kadhaa nyumba moja alimpa dada jack akae na hakumwambia kwamba amempa ila alimwambia amempangisha alipe kodi,pia nyumba imepakana na barabara ya mtaa na nyumba mbele ina fremu dada jack alifungiliwa biashara ,JAMAA LIKAHAMIA kwa dada jack yani mwanaume anakaa na kuishi nyumba ya ukweni nyumba na wakala mtajibwa biashara ikafa.

6)Pamoja na hayo maujinga yote ila dada Jack ndio akawa hasikii anashauriwa na wanawake wenzake binamu na marafiki zake hasikii badala yake akawachukia wote wanaomshauri akabeba na mimba akazaa jamaa hana msaada anategemea dada jack aombe hela nyumbani kutoka kwa biashara za mama na baba ndio amuhudumie mwanaume wake aliyemfuga ndani.

7)Jamaa kazi yake ni kupiga picha akiwa ndani ya ndege anampanga sista kuna mchongo anausikilizia sista anaposti picha za jamaa yake eti kapanda ndege ana mishe mishe sijui picha za photos studio?mara jamaa liseme linataka kuinunua nyumba ya baba hiyo anayokaa jack amrudishie baba hela aliyoinunulia linunue na sista kama nyumbu ana amini kila uongo anaoambiwa na lijamaa,
MWISHO WA SIKU mtoto waliozaa na lijamaa ikabidi dada jack ampeleke nyumbani kwa mama ,yani wanazaa huko nje WANAENDA KUMRUNDIKIA MAMA watoto awalee.Na baba alivyostaafu aliwapa masista wote mitaji kama milion 10 kumi ila hakuna walichofanya zaidi ya kwenda kuhonga wanaume.Na bado wao na waume zao na watoto wao wanategemea mama na baba ndio awalee...na bado wanazidi kuzaa na kuleta watoto kwa mama awalelee.

Mwisho wa siku ilibidi baba aende kumfukuza yuke jamaa amtoe kwenye nyumba yake akimwambia JACK kama hutamuondoa hapo kwenye nyumba yangu huyo jamaa yako KESHO NAKUJA KUMTOA NIFUNGE nyumba yangu ,ndio jamaa likaondoka baada ya kumtapeli sista pesa nyingi.

NA BADO DADA JACK anliposti yani bado anlipenda .

CONCLUSION
Nilichojifunza WANAWAKE wamegawanyika katika MAKUNDI MAWILI kuna WENYE AKILI na KUNA WASIO KUWA NA AKILI.Wasiokuwa na akili ndio wengi kuliko wenye akili(nikisema wasiokuwa na akili namaanisha wanaofanya mambo yao kwa kifuata HISIA ZAO NYEGE KULIKO AKILI kuna wenye uwezo wa kufanya maamuzi yako kwa kuongozwa na akili sio hisia (YANI wapo wanawake wenye akili hawa ni wachache sana sana)na kama mwanamke hana akili HUWEZI KUMBADILISHA hata umshauri nini hawezi kubadilika kwa sababu HUO NI UGONJWA WA AKILI(TATIZO LIPO kwenye ubongo wake ,huwezi kumuumba upya wewe sio Mungu.
DAWA NI KUMUACHA AFUNZWE NA DUNIA.
hahahahahahhahaha dada jack katishaaaaaaaaa holaaaaaaaaa!
 
Kisa chako kinafanana na cha dada yangu ya kwanza ,naye alikutana na tapeli ambaye alionywa kabla ya kujiingiza kwenye mahusiano deep na kuzaa naye ,tena alionywa na binamu yetu wa kike,alionywa na marafiki zake wa kike kuwa huyo mtu aliyenaye ni tapeli lakini hakusikia,badala yake aliwaona wanaomshauri na kumuonya kama ni maadui na hawamtakii mema.

1)uongo wa kwanza ni kumdanganya hana familia hana mke hana watoto..kumbe ana watoto amezaa na wanawake wengi mbali mbali na kuwatelekeza na pia ana famili mke na watoto mkoa mwingine.

2)uongo wa pili ni kumdanganya anafanya kazi ,kumbe alitumbuliwa vyeti feki hana kazi

3)uongo mwingine ni kuazima gari kwa watu wake na kumleta nalo nyumbani kujifanya ni gari lake.
b) kwenda kumuonyesha site nyumba ya mtu akimuaminisha ni site yake nyumba yake anajenga ikiisha wahamie .

4)KIMTAPELI PESA yani dada JACK kweli unachukua hela kwa mama,unamuomba mama hela aliyovunja vikoba akakupa MILIONI KUMI na hela nyingine mbali mbali mama anakupa unaenda kuhonga mwanaume,badala mwanaume akuhonge wewe wewe unahonga mwanaume????
Jamaa linamdanganya sista alipe hela wamalizie kujenga hiyo site wahamie kumbe site hewa kumbe kiwanja cha mtu mjengo sio wake HUYU JAMAA TAPELI anamwambia dada ampe hela washirikiane kujenga hiyi nyumba site ili wahamie na dada jack anaenda kumpanga mama ampe hela kwa ajili ya kufanya biasahara mama anakomaa anampa hela dada jack,kumbe dada jack analipekekea lijamaa.

5)Baba alivyostaafu alinunua nyumba kadhaa nyumba moja alimpa dada jack akae na hakumwambia kwamba amempa ila alimwambia amempangisha alipe kodi,pia nyumba imepakana na barabara ya mtaa na nyumba mbele ina fremu dada jack alifungiliwa biashara ,JAMAA LIKAHAMIA kwa dada jack yani mwanaume anakaa na kuishi nyumba ya ukweni nyumba na wakala mtajibwa biashara ikafa.

6)Pamoja na hayo maujinga yote ila dada Jack ndio akawa hasikii anashauriwa na wanawake wenzake binamu na marafiki zake hasikii badala yake akawachukia wote wanaomshauri akabeba na mimba akazaa jamaa hana msaada anategemea dada jack aombe hela nyumbani kutoka kwa biashara za mama na baba ndio amuhudumie mwanaume wake aliyemfuga ndani.

7)Jamaa kazi yake ni kupiga picha akiwa ndani ya ndege anampanga sista kuna mchongo anausikilizia sista anaposti picha za jamaa yake eti kapanda ndege ana mishe mishe sijui picha za photos studio?mara jamaa liseme linataka kuinunua nyumba ya baba hiyo anayokaa jack amrudishie baba hela aliyoinunulia linunue na sista kama nyumbu ana amini kila uongo anaoambiwa na lijamaa,
MWISHO WA SIKU mtoto waliozaa na lijamaa ikabidi dada jack ampeleke nyumbani kwa mama ,yani wanazaa huko nje WANAENDA KUMRUNDIKIA MAMA watoto awalee.Na baba alivyostaafu aliwapa masista wote mitaji kama milion 10 kumi ila hakuna walichofanya zaidi ya kwenda kuhonga wanaume.Na bado wao na waume zao na watoto wao wanategemea mama na baba ndio awalee...na bado wanazidi kuzaa na kuleta watoto kwa mama awalelee.

Mwisho wa siku ilibidi baba aende kumfukuza yuke jamaa amtoe kwenye nyumba yake akimwambia JACK kama hutamuondoa hapo kwenye nyumba yangu huyo jamaa yako KESHO NAKUJA KUMTOA NIFUNGE nyumba yangu ,ndio jamaa likaondoka baada ya kumtapeli sista pesa nyingi.

NA BADO DADA JACK anliposti yani bado anlipenda .

CONCLUSION
Nilichojifunza WANAWAKE wamegawanyika katika MAKUNDI MAWILI kuna WENYE AKILI na KUNA WASIO KUWA NA AKILI.Wasiokuwa na akili ndio wengi kuliko wenye akili(nikisema wasiokuwa na akili namaanisha wanaofanya mambo yao kwa kifuata HISIA ZAO NYEGE KULIKO AKILI kuna wenye uwezo wa kufanya maamuzi yako kwa kuongozwa na akili sio hisia (YANI wapo wanawake wenye akili hawa ni wachache sana sana)na kama mwanamke hana akili HUWEZI KUMBADILISHA hata umshauri nini hawezi kubadilika kwa sababu HUO NI UGONJWA WA AKILI(TATIZO LIPO kwenye ubongo wake ,huwezi kumuumba upya wewe sio Mungu.
DAWA NI KUMUACHA AFUNZWE NA DUNIA.
hahahahahahhahaha dada jack katishaaaaaaaaa holaaaaaaaaa!
 
Mkuu hiyo chai.. Mbichi. Kwa sasa Tusker lager haipo Tanzania. Mimi nilikuwa mnywaji mkubwa wa hiyo beer kwa faida yako tu niliwahi kwenda hadi SBL kuhoji hapo kabla ilikuwa TBL. Nazungumzia miaka mitano nyuma. Wewe leo hii umeipata wapi?!!!
 
Huenda sista kapenda hizo swaga za jamaa. Muoneshe kavideo, waeleze na wakwe zake, ila uamuzi wa kuolewa muachie sista ako, kwani unaolewa ww?
 
Mkuu sasa kama wewe kijana wa kiume kwanini uliendelea kufumbia macho mambo yote hayo, ulitakiwa wewe kijana ndiyo uwasaidie Wazazi wako kwa kuanza kuwatimua nyumbani hao Wajomba zako.
SIWEZI kumfukuza mwanamume wake siwezi kutumia nguvu kwenye kuingilia kumfukuza kwenye nyumba ya baba wakati wazazi wenyewe wapo hai.
Mke wangu wifi yake dada amemshauri,binamu yetu wa kike amemshauri na marafiki zake wa kike wamemshaurib,huu ushauri anatakiwa ashauriwe na wanawake wenziwe na WAZAZI ambao wapo hai.
Kwanza shule tu walizingua kusoma wakaona shule haina maana wao ni warembo wanawake wazuri haina haja ya wao kusoma eti WATAOLEWA kwamba kuna mwanaume atakaye waoa ndio ANAWASOMEA wao wataolewa tu,tena wakasema mbona mama hakusoma na hana ajira ya serikalini lakini akaolewa na baba msomi na muajiriwa na wao wataolewa tu.
Wamesomeshwa shule nzuri za private za gharama na kitumiwa pesa za matumizi na kupelekwa matwisheni na mzee alikuwa tayari kuwasomesha hata kenya au uganda kama wangekuwa tayari kusoma,ila wakazingua huko boding badala ya kusoma kumbe wanaendekeza mapenzi wakaishia kupata div 0 O level ambayo haina hata cheti.
Biashara wamepewa mitaji wamehonga wanaume.
KUZALIA nyumbani na kumrundukia mama watoto wao waliozaa na majama huko mtaani,mama awalee watoto wao ndio kama wanashindana hivi.

WATAFUNZWA NA DUNIA .
Mimi nawa angalia tu,namuonea huruma mama yangu anateseka badala ya kupumzika ale uzew wake ila ndio anapambana kulea wajukuu na watoto.ILA MAMA naye anapenda hata baba naye anapenda wajukuu zake.
WAZAZI wenyewe ndio wanawadekeza,mimi siwezi kuingilia nikaonekana mbaya bure,mi naangalia tu nanyamaza kimya napita hivi napambana na mimi na mambo yangu binafsi na ya familia yangu.
Nilichofanikiwa ni kuwapeleka kwenye maombi kwa mchungaji LAIZER wakaombewa na huwa nawaombea nikipata muda ili Mungu aliyewaumba awasaidie.

SIDHANI KAMA UPUMBAVU una dawa,bora ujinga mtu akielemisha ujinga unaondoka ila upumbavu Mwalimu Nyerere alisema upumbavu ni kipaji ni kama urefu na ufupi.UPUMBAVU hauponi hauondoki mana mpumbavu anajua sio mjinga anajua kuwa anadanganywa anatapeliwa lakini bado anaenda hapo hapo.Ni kama nyumbu analiwa na mamba lakini bado wanaenda hapo hapo hata kama wanaona mwwnzao analiwa NYUMBU.
 
dada lucy naye aliolewa huko moshi yani sio ndoa alipomaliza chuo cha ualimu wa chekechea hakurudi nyumbani akabaki kwq mumewe kijana.(boda boda na muuza mitumba)
Yule kijana akawa anampiga sana ,akampokonya cheti hataki afanye kazi wivu wa mapenzi,
anavuta mabangi anampiga kweli hata mtoto wao waliyezaa akawa anampiga sana ukatili kwa watoto.

2)KITUKO kimoja akamlazimisha wamfungie mtoto ndani wamuache peke yake halafu waende NIGHT CLUB kucheza mziki na kunywa pombe ,dada lucy kakataa akapigwa sana karibu amuue..mpaka majirani wakaingilia kati LUCY akatoroka usiku huo huo akaja nyumbani..

Lucy akawa anafanya mchezo akipigwa huko anatoroka anakuja nyumbani akikaa nyumbani kidogo anatoroka nyumbani tena anarudi kwa huyo jamaa.

jamaa akampokonya dada lucy simu akamzuia kuwasiliana na nyumbani wala mtu yeyote hata wazazi wake ,kwa muda wa miaka 2 ikabidi mama afunge safari kumfuata moshi akamkuta ,akamweka ndani lakini cha ajabu dada lucy akawa upande wa mume wake ana mtetea.(huko nyuma mama wa huyo jamaa na jamaa walishawahi kumpeleka dada lucy kwa mganga wa kienyeji sijui walichofanya)

3)Kingine ambacho mke wangu aliniambia ni kwamba hilo jamaa likawa linamlazimisha kumuingilia kinyume na maumbile dada lucy akikataa anapigwa kipigo cha mbwa koko..anatoroka anakimbilia nyumbani akirudi nyumbani anakaa kidogo ..mpaka wife akampeleka chuo cha ufundi wa mambo ya wanawake ..kasoma kidogo katoroka tena bila kuaga karudi tena kwa lijamaa.

Mpaka sasa dada lucy amesha achana na lijamaa ,kachukua watoto wake wawili na yeye kawarundika nyumbani wanalelewa na mama.

Sasa hivi dada lucy anapambana na biashara nimempa mtaji naona anajitahidi.Sasa hivi akili zimetulia nilimpeleka kwenye maombi na yeye kwa mchungaji laizer akaombewa ...
 
Dada ziyola huyu tumechangia baba mama tofauti,
Naye mumewe alimdanganya aache kazi,akamwambia hiyo kazi yako ya usekretari unayolipwa mshahara laki 3 kwa mwezi acha maana mimi nina hoteli hapa hotelini kwa siku unapata faida zaidi ya hiyo laki 3.
dada alipokuwa ana delay kuacha kazi ,akirudi kazini anampiga sana ,anamnyoa nywele na kuchana chana nguo za dada ,antuhumu huko kazini hana imani kwanini eti dada anaenda kazini amependeza eti wivu wa mapenzi eti hana imani na wanaume wa kazini ofisini.
Dada ikabidi aache kazi.
Dada alipo acha kazi tu akaanza kunyanyasa ,anamtukana matusi mbele ya wateja wa hoteli anampiga anamdhalilisha.
Ila dada alishauriwa asiache kazi hii hata mimi nilimshauri.
Kuna siku kafukuzwa kapigwa akakimbilia kwa wifi yake ,wifi yake akamshauri ulifunga ndoa ya kanisani,kazi amekusababishia uache kazi ,rudi komaa vumilia ,ilinusipoteze haki zako,za mali mlizichuma pamoja.
Hivyo sista anakaa kwa sababu ya mali huku ananyanyasika na kudharauliwa na kuaibishwa.
 
Poleni na pilika na mbio mbio za maandalizi ya uchaguzi,vita ya congo na changamoto binafsi za maisha.

Mimi Mbwichichi katika kuhangaika kwangu kuyatafuta maisha nimebahatika kukutana na watu mbalimbali wa kila aina,zaidi nimejifunza sana kutambua saikolojia za watu baada tu ya kuona matendo yake kwa muda mfupi au baada ya kuongea kauli chache tu.Kwahiyo niko makini sana kwenye kujua nani ni nani na ninavyodeal naye nideal naye kwa angle gani.

Basi bhana…Nina dada yangu ambaye kiumri ni kama tunalingana tu,kwa umri alionao sasa hivi anatosha kabisa kuitwa “shangazi” na bado hajaolewa ila ndio vile watoto wa mjini walishamuwahi wakatia mimba na ana mtoto “single mother” Ninaandika uzi huu baada ya kurudi nyumbani kwa ajili ya kumjulia hali mzee ambaye hali yake ya kiafya sababu ya umri siyo nzuri sana.

Bahati nzuri katika kurudi tukacollide na sister nyumbani,lakini mara hii akiwa kaambatana na kijana mmoja ambaye nyumbani alimtambulisha “rafiki yake” ,rafiki huyu wanafanya naye kazi na kamuomba amuendeshe kwenda nyumbani sababu yeye sister hakua kwenye hali nzuri ya kuendesha gari lake.

Sababu ilibidi alale basi alimtafutia lodge ya karibu hapo na yeye sister alilala home na kuendelea na ratiba za kawaida za nyumbani kama ilivyo desturi zetu.

Kwa sababu ya ukaribu wa umri kati yetu ilikua rahisi kunitambulisha “privatelly” kwamba huyo ni shemeji yangu na wako kwenye michakato ya kutambulishana siku moja wawe rasmi mke na mume.

Lakini pia alinitambulisha kamba huyo bwana anafanya kazi “nyeti” na ilibaki hivyo tu,kwa akili ya kawaida nilijiongeza kwamba huyu bwana ni kitengo maalumu hawa wanaojiita watu wa mama,vijana wa dodoma na kizimkazi.

Unajua tena wanawake wakipata bwana…akawa free kuniambia jinsi gani kapata mtu wa maana,kwamba hatumii pombe na ni mtu wa sala sana,siyo kama wanaume wengine ambao ameshawahi kutana nao wakaishia kumuumiza moyo….jamaa kwa wakati niko naye pale muda wote kambeba mtoto wa sister na kila akichafuka anamfuta vumbi na zile care zote anafanya dingi mwenye mapenzi makubwa sana na mtoto wake…..mi machale yakaanza😇🔊

Basi nikasema haya….lakini nikaanza kushtuka baadhi ya mambo kutoka kwa yule bwana,kama nilivyosema ni mtaalamu sana wa kuona vitu kwa watu ambavyo wengine hawaoni.

1. wakati tunaondoka nyumbani tumeshaagana jamaa alimtonya sister kijanja wakaenda pembeni kidogo,wakati wakijua hakuna anayewacheki basi mimi jicho langu lilikua active…alitoa ishara kwamba hana pesa,sister alifungua pochi akampatia pesa ya kutosha hivi,mwana anaikunja akaiweka mfuko wa tako chap….nikapata kitu hapo💥

2. huyu jamaa alivaa suti ya kaunda ya damu ya mzee akiwa na kilabel cha bendera ya taifa kifuani kushoto,muda wote alikua kapiga tinted nyeusi na mkimya sana sana…nikasema haya sawa😃

3. tukaondoka zetu kwenda walikokubaliana atalala,tulifika kufanya booking na malipo,mi nikakausha nione atafanya nini,alichukua simu kapiga kwa namba ambayo namna ya maongezi yao yaliniambia ni sister…mwisho wa maongezi ilikua ni kutumwa lipa namba ili sister afanye muamala kwa ajili ya chumba…nikasema huyu mbona ana mashaka?!!…kama mtu kweli (a) hawezi kuomba pesa ya kulipia chumba (b) alipewa pesa tunavyotoka,kama yuko timamu alitakiwa lipia ile pesa alipewa kiungwana.

3. tukakaa zetu mara akaniambia anapata wapi m-pesa,alienda kuweka pesa pale akafanya muamala fulani wa kutuma pesa ambao sikutambua ni kwenda kwa nani ila nina uhakika haikua kwenda kwa sister…hii siyo issue sana,lakini iliacha pia alarm kichwani mwangu.

4. niliagiza pombe zangu “tusker lager” baridi tano…yeye akaagiza “red bull” nikamtania kiongozi hupigi vitu????😂😂😂😂😂 akasema yeye hapigi labda kwa dharura sanaaa na anapigaga tu pombe kali ile kistar siyo hizi kama nazopiga mimi….nikasema sawa kiongozi.

Kikweli sura yake anaonekana ni mlevi aliyetopea…nikasema huyu muache tu avunge….haikupita muda akasema wacha nijiboost kidogo akapmba k-vant

😅😅😅 ikawa sasa kafungilia mbwa….yule bwana kitengo ni mlevi mtepetevu….wale watu konki,alikunywa ile na kuchanganya kila pombe…bila kujali sare zake za “kazi” na nembo ya bendera alianza kukatika hadharani pale huku akiimba kila wimbo kwa kumuita DJ na kila fujo inayofanywa na mlevi mzoefu.

Alitoa miwani mpaka viatu….mimi nilichofanya cha “kinoko” ni kumrekodi tu video kwa ajili ya masuala yangu ya “ujasusi” ili kuweka kumbukumbu sawa mbeleni.

Basi bhana…:sababu ya hali yake wakati wa bili alishindwa kulipa nikaingia mfukoni nikalipa,nikahakikisha kaingia chumbani kwake na kalala….nikachukua zangu boda nikarudi kulala nyumbani.

Kesho yake asubuhi ilibidi nikamfate kwa ajili ya wao kuja kuaga na kuondoka…..

Ebwanaaaa eehh…..yule bwege nilimkuta kapiga vitu vyake saaaafi sana,smart na makini kama ambavyo alikua hajalewa jana,ukiambiwa alilewa hadi kusahau viatu na miwani huwezi amini….karudi kwenye “default” setting za kumdanganyia sisiter kwamba yeye ni mtu mwema sana.

Ndio kwabza akauliza kama jana alifanya kitu chochote kilichoacha alama mbaya,nikamuambia hakuna kitu blaza…akaomba malimao,tangawizi nk kwa ajili ya kukata harufu.


All i all…..kwa uzoefu wangu huyu jamaa nimeconclude ni TAPELI….yuko kwa sister kimkakati kwa hiyo hata akifanikiwa kumuoa basi ni kwa mkakati,kutumia advantage ya umri na usingo maza wa sister kaona fursa ya kuishi pale kwa kitonga.

Sasa kuna haja ya kuanza kumpanga sister au niache nione mwisho itakuaje? sababu hata mimi baada ya kupata changamoto kwenye utafutaji bado nasubiria wakati wa kuoa nioe ila home naonekana miyeyusho sana na mtu wa ovyo….lakini suala ni woga wa kurudia tena makosa.
Olewa wewe
 
Poleni na pilika na mbio mbio za maandalizi ya uchaguzi,vita ya congo na changamoto binafsi za maisha.

Mimi Mbwichichi katika kuhangaika kwangu kuyatafuta maisha nimebahatika kukutana na watu mbalimbali wa kila aina,zaidi nimejifunza sana kutambua saikolojia za watu baada tu ya kuona matendo yake kwa muda mfupi au baada ya kuongea kauli chache tu.Kwahiyo niko makini sana kwenye kujua nani ni nani na ninavyodeal naye nideal naye kwa angle gani.

Basi bhana…Nina dada yangu ambaye kiumri ni kama tunalingana tu,kwa umri alionao sasa hivi anatosha kabisa kuitwa “shangazi” na bado hajaolewa ila ndio vile watoto wa mjini walishamuwahi wakatia mimba na ana mtoto “single mother” Ninaandika uzi huu baada ya kurudi nyumbani kwa ajili ya kumjulia hali mzee ambaye hali yake ya kiafya sababu ya umri siyo nzuri sana.

Bahati nzuri katika kurudi tukacollide na sister nyumbani,lakini mara hii akiwa kaambatana na kijana mmoja ambaye nyumbani alimtambulisha “rafiki yake” ,rafiki huyu wanafanya naye kazi na kamuomba amuendeshe kwenda nyumbani sababu yeye sister hakua kwenye hali nzuri ya kuendesha gari lake.

Sababu ilibidi alale basi alimtafutia lodge ya karibu hapo na yeye sister alilala home na kuendelea na ratiba za kawaida za nyumbani kama ilivyo desturi zetu.

Kwa sababu ya ukaribu wa umri kati yetu ilikua rahisi kunitambulisha “privatelly” kwamba huyo ni shemeji yangu na wako kwenye michakato ya kutambulishana siku moja wawe rasmi mke na mume.

Lakini pia alinitambulisha kamba huyo bwana anafanya kazi “nyeti” na ilibaki hivyo tu,kwa akili ya kawaida nilijiongeza kwamba huyu bwana ni kitengo maalumu hawa wanaojiita watu wa mama,vijana wa dodoma na kizimkazi.

Unajua tena wanawake wakipata bwana…akawa free kuniambia jinsi gani kapata mtu wa maana,kwamba hatumii pombe na ni mtu wa sala sana,siyo kama wanaume wengine ambao ameshawahi kutana nao wakaishia kumuumiza moyo….jamaa kwa wakati niko naye pale muda wote kambeba mtoto wa sister na kila akichafuka anamfuta vumbi na zile care zote anafanya dingi mwenye mapenzi makubwa sana na mtoto wake…..mi machale yakaanza😇🔊

Basi nikasema haya….lakini nikaanza kushtuka baadhi ya mambo kutoka kwa yule bwana,kama nilivyosema ni mtaalamu sana wa kuona vitu kwa watu ambavyo wengine hawaoni.

1. wakati tunaondoka nyumbani tumeshaagana jamaa alimtonya sister kijanja wakaenda pembeni kidogo,wakati wakijua hakuna anayewacheki basi mimi jicho langu lilikua active…alitoa ishara kwamba hana pesa,sister alifungua pochi akampatia pesa ya kutosha hivi,mwana anaikunja akaiweka mfuko wa tako chap….nikapata kitu hapo💥

2. huyu jamaa alivaa suti ya kaunda ya damu ya mzee akiwa na kilabel cha bendera ya taifa kifuani kushoto,muda wote alikua kapiga tinted nyeusi na mkimya sana sana…nikasema haya sawa😃

3. tukaondoka zetu kwenda walikokubaliana atalala,tulifika kufanya booking na malipo,mi nikakausha nione atafanya nini,alichukua simu kapiga kwa namba ambayo namna ya maongezi yao yaliniambia ni sister…mwisho wa maongezi ilikua ni kutumwa lipa namba ili sister afanye muamala kwa ajili ya chumba…nikasema huyu mbona ana mashaka?!!…kama mtu kweli (a) hawezi kuomba pesa ya kulipia chumba (b) alipewa pesa tunavyotoka,kama yuko timamu alitakiwa lipia ile pesa alipewa kiungwana.

3. tukakaa zetu mara akaniambia anapata wapi m-pesa,alienda kuweka pesa pale akafanya muamala fulani wa kutuma pesa ambao sikutambua ni kwenda kwa nani ila nina uhakika haikua kwenda kwa sister…hii siyo issue sana,lakini iliacha pia alarm kichwani mwangu.

4. niliagiza pombe zangu “tusker lager” baridi tano…yeye akaagiza “red bull” nikamtania kiongozi hupigi vitu????😂😂😂😂😂 akasema yeye hapigi labda kwa dharura sanaaa na anapigaga tu pombe kali ile kistar siyo hizi kama nazopiga mimi….nikasema sawa kiongozi.

Kikweli sura yake anaonekana ni mlevi aliyetopea…nikasema huyu muache tu avunge….haikupita muda akasema wacha nijiboost kidogo akapmba k-vant

😅😅😅 ikawa sasa kafungilia mbwa….yule bwana kitengo ni mlevi mtepetevu….wale watu konki,alikunywa ile na kuchanganya kila pombe…bila kujali sare zake za “kazi” na nembo ya bendera alianza kukatika hadharani pale huku akiimba kila wimbo kwa kumuita DJ na kila fujo inayofanywa na mlevi mzoefu.

Alitoa miwani mpaka viatu….mimi nilichofanya cha “kinoko” ni kumrekodi tu video kwa ajili ya masuala yangu ya “ujasusi” ili kuweka kumbukumbu sawa mbeleni.

Basi bhana…:sababu ya hali yake wakati wa bili alishindwa kulipa nikaingia mfukoni nikalipa,nikahakikisha kaingia chumbani kwake na kalala….nikachukua zangu boda nikarudi kulala nyumbani.

Kesho yake asubuhi ilibidi nikamfate kwa ajili ya wao kuja kuaga na kuondoka…..

Ebwanaaaa eehh…..yule bwege nilimkuta kapiga vitu vyake saaaafi sana,smart na makini kama ambavyo alikua hajalewa jana,ukiambiwa alilewa hadi kusahau viatu na miwani huwezi amini….karudi kwenye “default” setting za kumdanganyia sisiter kwamba yeye ni mtu mwema sana.

Ndio kwabza akauliza kama jana alifanya kitu chochote kilichoacha alama mbaya,nikamuambia hakuna kitu blaza…akaomba malimao,tangawizi nk kwa ajili ya kukata harufu.


All i all…..kwa uzoefu wangu huyu jamaa nimeconclude ni TAPELI….yuko kwa sister kimkakati kwa hiyo hata akifanikiwa kumuoa basi ni kwa mkakati,kutumia advantage ya umri na usingo maza wa sister kaona fursa ya kuishi pale kwa kitonga.

Sasa kuna haja ya kuanza kumpanga sister au niache nione mwisho itakuaje? sababu hata mimi baada ya kupata changamoto kwenye utafutaji bado nasubiria wakati wa kuoa nioe ila home naonekana miyeyusho sana na mtu wa ovyo….lakini suala ni woga wa kurudia tena makosa.
Huenda sister wako anafurahia vile jamaa "anaendesha" gari muda mrefu baada ya nyagi.
 
Dada ziyola huyu tumechangia baba mama tofauti,
Naye mumewe alimdanganya aache kazi,akamwambia hiyo kazi yako ya usekretari unayolipwa mshahara laki 3 kwa mwezi acha maana mimi nina hoteli hapa hotelini kwa siku unapata faida zaidi ya hiyo laki 3.
dada alipokuwa ana delay kuacha kazi ,akirudi kazini anampiga sana ,anamnyoa nywele na kuchana chana nguo za dada ,antuhumu huko kazini hana imani kwanini eti dada anaenda kazini amependeza eti wivu wa mapenzi eti hana imani na wanaume wa kazini ofisini.
Dada ikabidi aache kazi.
Dada alipo acha kazi tu akaanza kunyanyasa ,anamtukana matusi mbele ya wateja wa hoteli anampiga anamdhalilisha.
Ila dada alishauriwa asiache kazi hii hata mimi nilimshauri.
Kuna siku kafukuzwa kapigwa akakimbilia kwa wifi yake ,wifi yake akamshauri ulifunga ndoa ya kanisani,kazi amekusababishia uache kazi ,rudi komaa vumilia ,ilinusipoteze haki zako,za mali mlizichuma pamoja.
Hivyo sista anakaa kwa sababu ya mali huku ananyanyasika na kudharauliwa na kuaibishwa.
haya mambo magumu sana hasa ukiona anayefanyiwa ni ndugu yako

lakini naona kuna wadau wanajibu kejeli tu
 
Kuna wanaume wanatumia advantage ya wanawake kutokua na maamuzi sahihi kuwaharibia future zao.

kuna aina za single mother ambao ni wahanga wa wanaume kama hawa

kuna mwanamke anarubuniwa kanisani na mwanaume muhuni aliyeokoka kwa kuzuga….kwa kutokua na uwezo wa kuamua kwa usahihi anakamata mimba bahati mbaya au makusudi akiongozwa na imani….anapata mimba na kwa uoga wa kuishi kwenye maadili anaogopa kutoa mimba,anaishia kuishi katikati ya majuto ya kujua na kutojua anataka nini na ndio keshakua single mother.

ndio huyu sister wangu….anaamini sana watu na anaingia kichwa kichwa sana….mii baharia nikishauri naonekana ni wivu na siyajua mapenzi.

binafsi siyo mzuri wa kuongea nikaeleweka kwa mtu ambaye anashindwa kusoma ubongo na kupata yeye ninachomaanisha.Sababu huwa siwezi kutumia maneno mengi sana zaidi ya kuamua hasa kwenye mambo yanayonihusu.
 
Back
Top Bottom