Dada yangu anapitia mateso makali sana sababu ya kijana wake kushika Dini hadi imemfanya amekuwa mjinga

Dada yangu anapitia mateso makali sana sababu ya kijana wake kushika Dini hadi imemfanya amekuwa mjinga

Amwache kijana wake atangaze dini,atalipwa thawabu pale watu wanapoacha maovu
 
Dada yangu 49 years now ameajiriwa kwenye Hospitali Binafsi kubwa sana hapa Dar, ana kijana wake wa kiume ambae ndio alitegemea aje hata aonyeshe njia maana watoto wake wengine ni tia maji wote wanamsumbua huyu ndio alijua atakuja kumfuta machozi, Cha kwaza kijana wakati yupo form six tu walifukuzwa shule yeye na wenzake 4 sababu ya kuanzisha makundi ya kidini yenye misimamo isiyoeleweka na kufanya vurugu, ikabidi Dada amtafutie shule nyingine private kwa gharama kubwa kumnusuru.

Dogo akamaliza Advance akaaply Chuo cha udaktari Tanga huko, hali ilivyokuwa ngmu maana Baba yake hakuwa na msaada wowote Dada akakopa sh milioni 5 pale kazini kwake kwa ajili ya kumsomesha tena hiyo milioni 5 iliisha, ikabidi awe anapambana kuongezea hela sehemu nyingine, Dogo akapiga kitabu akamaliza kwa tabu sana.

Mwaka 2020 Dada kwa sababu ni Mkongwe pale kwenye Hospitali anayofanya kazi akafanya juu chini kumuombea nafasi na moja kwa moja Dogo akapata nafasi ya kuajiriwa kama Daktari

Balaa likaanza Dogo baada ya kuajiriwa tu akawa anakuja kazini Amevaa Nusukanzu, Kobazi na Kibarakashia huku Anafuga Ndevu kama Osama, hadi akawa anatisha waajiri wake ikabidi Sister aitwe haraka sana akaambiwa kuwa Huyu kama ni mwanao basi kaa nae umkanye mara moja kuwa Yale hayakuwa mavazi sahihi kwa mfanyakazi akashauriwa kuwa avae mavazi official ambayo yapo kwenye muongozo kwa mujibu wa kazi.

Sister na sisi wajomba zake ikabidi tumuite Dogo tumkanye kuwa Uongozi wa pale wamemkanya ajirekebishe ile ni Hospitali kubwa na ni lazima afuate miongozo, Dogo akawa mbishi na alipoona anazongwa sana kwa lile swala akaacha kazi kabisa kwa Hasira akaenda mikoani huko akawa anajihusisha na mambo ya kidini.

Kuanzia kipindi hicho Dada yangu ni presha za kupanda tu na kushuka, Juzi kati hapa hadi akazimia maana kijana alikengeuka akawa hamuheshimu na hana maisha ya kueleweka tena na ukiangalia amechoma zaidi ya milioni 7 kumsomesha na hadi leo hii hana kiwanja wala nyumba, amepanga.

=====================
=====================

NINEONA BAADHI YA WATU WAKIMLAUMU SISTER KUWA JUKUMU LA KULEA MTOTO NI LAKE HIVYO HAKUTAKIWA KULALAMIKA KUWA DOGO HAMSAIDII

JAMANI NIWAAMBIE TU MTU MWENYE JUKUMU LA KUSOMESHA NA KULEA KWA ASILIMIA KUBWA NI BABA LABDA AWE AMEFARIKI, NA DOGO BABA YAKE ALISHAKIMBIA MAJUKUMU HIVYO ALITAKIWA AJUE MAMA YAKE AMEENDA KUKOPA KARIBIA MILIONI 8 KUREPLACE JUKUMU LA BABA YAKE HIVYO ALITAKIWA DOGO ANAPOMALIZA SHULE AANGALIE KUWA MAMA YAKE HAKUWA NA HZO PESA NA ALIJITOA MUHANGA KUREPLACE NAFASI YA BABA YAKE ILI ASOME SO DOGO ALIPOMALIZA ILIKUWA NI MUHIM KUSAIDIANA NA MAMA YAKE MNAOSEMA KUWA DADA ASILALAMIKE NGOJENI YAWAKUTE
😀😀😀😀
 
𝐾𝑎𝑔𝑢𝑒𝑛𝑖 𝑠𝑖𝑚𝑢 𝑦𝑎𝑘𝑒 𝑚𝑢𝑎𝑛𝑔𝑎𝑙𝑖𝑒 𝑘𝑎 𝑎𝑛𝑎 𝑛𝑎𝑚𝑏𝑎 𝑧𝑎 𝑌𝑎𝑠𝑟𝑖 𝐽𝑖𝑖𝑠...ℎ𝑢𝑦𝑢 𝑛𝑑𝑜 𝑎𝑛𝑎𝑡𝑎𝑓𝑢𝑡𝑎 𝑣𝑖𝑗𝑎𝑛𝑎 𝑘𝑎𝑚𝑎 𝑦𝑒𝑦𝑒!

𝐾𝑢𝑙𝑒 𝑤𝑎𝑛𝑎𝑙𝑖𝑝𝑤𝑎 𝑣𝑧𝑟 𝑛𝑎 𝑑𝑖𝑛𝑖 𝑖𝑛𝑎𝑓𝑢𝑛𝑧𝑤𝑎 ℎ𝑎𝑠𝑤𝑎!
 
Mtihani wallah
Kuna yule mama Twaiba wa Kariakoo yamemkuta kama hayo mtoto wake alienda chuo South Africa amepotelea huko huko.

Amelia mpaka na kumtafuta mpaka basi
Kuna njia za kiasili za kuwarudisha watu waliolowea na wasiotaka kurudi nyumbani.

Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app
 
mpeleke mwanao pale muhimbili aanze kazi akivaa kanzu kobazi na kibarakashia alafu uone ndani ya week kama atatoboa

wewe unasema kuwa madokta wanavaa nusukanzu hebu nitumie picha ya dokta wa muhimbili hapa au hopitali yoyote hapa bongo aliyevaa kobazi kibarakashia na kanzu kazini kama sio umechanganyikiwa wewe
Kaulize Professor Dr. Hamza Njozi alikuwa anavaa vipi Muhimbili.
 
Kupata huwa ni majaliwa.
Tuzae tu sawa lakini kupata huwa ni majaliwa.

Na Ndiyo maana dada yako yuko disappointed much sababu alikuwa na matarajio makubwa toka Kwa mtoto wake.

Kuepuka hilo alipaswa kutokutarajia chochote ilimradi iwe salama.
Na wazazi wengi wenye matarajio kama huyo mama wataenda kuumia sana, hata hapo kosa linaonyesha lipo kwa huyo mama, huyo Dr wake pamoja na mapungufu yake ya kubase upande wa dini sana lakini inaonyesha ni sababu ya mama yake kutaka malipo kwa mtoto wake, yeye anawatoto wengine na unasema wamekuwa kivuruge na kawaacha tu waendelee na maisha Yao lakini huyo Dr wake mtoto akataka aje kumlipa Sasa inaonyesha huyo mtoto kaona na yeye ajifanye chizi akae pembeni.

Kingine huyo mama yeye ni kuzaa tu nawaume bila msingi wa familia na watoto wameliona Hilo wameamua kujivuruga, ifike sehemu tuanze kuambiana Hali halisi tulipo Sasa mifumo ya maisha imebadilika, zamani mzazi alizaa watoto na kuweka mategemeo kwao ya kumtoa kimaisha yaani hata akikaa tu nyumbani alilishwa na watoto wake hata kama ni wadogo, lakini mfumo wa maisha umebadilika Sasa unatakiwa kuzaa ili upate familia yako au marafiki zako, ndugu zako mtakao pendana hizo za kutolewa kiuchumi na watoto hazipo Tena, na tunapoelekea kama wazazi wanavyoomba shule za boarding ili watoto wakakae huko tufanye kazi basi na watoto watakuja kuomba nyumba za kutunza wazee zifunguliwe zenye viwango ili wazazi tukae huko na wao watafute pesa watutunze iwapo tuliweka mategemeo kwao, huyo dada yako na wewe mjomba shitukeni mapema mjiandalie maisha ya uzee, hata huyo Dr wenu atarudi tu.
 
Dogo kama amechagua maisha ya dini sio mbaya kibaya ni pale misimamo inakuwa mikali kiasi ashindwe kushirikiana na wenzake. Dogo anahitaji ushaurinwa kisaikolojia zaid tena kutoka kwenye dini hiyo hiyo. Pale Aga khan kuna dokta ni Answar lakini yupo peace na watu wote mara nyingi nilikuwa namuona.

Nilikuwa na rafiki yangu wa status hiyo alipigwa dini hadi akataka kwenda Yemen kujiunga na Houth aseee nikamkalisha chini japo mm ni Christian akanielewa akabaki na msimamo wa wastani.

Bi mkubwa wa huyo kijana ajilaumu kwanza alikuwa wapi hadi dogo kufikia hatua hiyo.
My dad ana watoto 18 licha ya watoto tulikwenda kusoma sehemu mbalimbali na kurudi na dini nyingine lakini alikuwa ana monitor ou steps tusije anguka kwenye mikono ya watu wenye itikadi kali.
Mama yake akubali yy ndo alikosea sasa atafute wanasaikolojia tena wanaotoka dini au dhehebu hilo hilo wenye msimamo wa wastani.
 
Namuona dogo
2022016205.jpg
 
Hawa jamaa wanajiitaga "Jidi boys" advance ndio niliona kumbe waislamu ni washenzi wao kazi kujitenga kuanzia kusoma mpka michezo na ikitokea kuna muislamu anaandama na mkristo hafu darasani ni kipanga atapigwa vita mpka basi kwmba asome na waislamu wenzie pekee

Kipindi cha mock form six kulikuwa na possible Hahaha huwezi amini hawa watu walikuwa wanaamshana wenywe kwa wenywe usiku nilikuwa deka la Chini jamaa yangu kipanga akaamshwa deka la juu akawasovie maswali kimya kimya.

Shule za A-level zinaharibu sana vijana.....Pugu sec maji shida so jidi kule wana maji ukienda kunya choo cha jidi hafu mkristo utaisoma namba watakuandama mpaka ukome......
Dawa yao unye uwapige nayo usoni...
 
Nazani ni mtihani tu @ Ndugu ,

Tusikimbilie kuhukumu Kwa namna hiyo.
Hakuna tokeo lisilokua na chanzo... single mothers ndio chanzo Cha kuporomoka maadili eg ushoga ulawiti,kuzalisha majambaz,kuzalisha malaya wenzao...nk

Single mothers ni tatizo basi tu serikali bado hawajaamua kutunga Sheria kuwadhibiti..😂😂😂
 
Back
Top Bottom