Super Charged
JF-Expert Member
- Jan 12, 2020
- 947
- 1,710
Hakuna Shida kwenye Mafundisho Ya Dini Ya Kiislamu,Ndo maana Hata Leo Watu Wastaarabu Tunaoishi Nao Kwenye Jamii Wengi ni Waislamu.Ukatae Usikatae Na Wewe Nahisi Unajionea.Yupo Mchungaji Mmoja Video Yake Ilitrend Akisema Kuwa Katika Mashamba Yake Kaajiri Vijana Wa Kiislamu Tu Kwa sababu Ni watulivu,Waaminifu.Hii dini ina shida sana kwenye mafundisho yake.
Mama yake aliyeteseka kumsomesha..mpaka kapata na kazi..aanze Tena kumjengea madrasa?!Je, kwani akimiliki msikiti au madrassa hapati pesa?
Dada yako aendelee na maisha yake, mtoto kumzaa sio uhakika kuwa umepata msaidizi. Kama mzazi ni wajibu wake kumsomesha, aachane na maisha ya watoto kama wamefikia umri wa kujitegemea.Dada yangu 49 years now ameajiriwa kwenye Hospitali Binafsi kubwa sana hapa Dar , ana kijana wake wa kiume ambae ndio alitegemea aje hata aonyeshe njia maana watoto wake wengine ni tia maji wote wanamsumbua huyu ndio alijua atakuja kumfuta machozi, Cha kwaza kijana wakati yupo form six tu walifukuzwa shule yeye na wenzake 4 sababu ya kuanzisha makundi ya kidini yenye misimamo isiyoeleweka na kufanya vurugu, ikabidi Dada amtafutie shule nyingine private kwa garama kubwa kumnusuru.
Dogo akamaliza Advance akaaply Chuo cha udaktari Tanga huko hali ilivyokuwa ngmu maana Baba yake hakuwa na msaada wowote Dada akakopa sh milioni 5 pale kazini kwake kwa ajili ya kumsomesha tena hiyo milioni 5 ilikata ikabidi awe anapambana kuongezea hela sehem nyingine, Dogo akapiga kitabu akamaliza kwa tabu sana.
Mwaka 2020 Dada kwa sababu ni Mkongwe pale kwenye Hosptitali anayofanya kazi akafanya juu chini kumuombea nafasi na moja kwa moja Dogo akapata nafasi ya kuajiriwa kama Daktari
Balaa likaanza Dogo baada ya kujiriwa tu akawa anakuja kazini Amevaa Nusukanzu,Kobazi na Kibarakashia huku Anafuga Ndevu kama Osama, hadi akawa anatisha waajiri wake ikabidi Sister aitwe haraka sana akaambiwa kuwa Huyu kama ni mwanao basi kaa nae umkanye mara moja kuwa Yale hayakuwa mavazi sahihi kwa mafanyakazi akashauriwa kuwa avae mavazi official ambayo yapo kwenye muongozo kwa mujibu wa kazi
Sister ikabidi amuite Dogo amkanye kuwa Uongozi pale wamemkanya ajirekebishe ile ni Hospitali kubwa na ni lizima afuate miongozo, Dogo akawa mbishi na alipoona anazongwa sana kwa lile swala akaacha kazi kabisa kwa Hasira akaenda mikoani huko akawa anajihusisha na mambo ya kidini
Kuanzia kipindi hicho Dada yangu ni presha za kupanda tu na kushuka, Juzi kati hapa hadi akazimia maana kijana alikengeuka akawa hamuheshimu na hama maisha ya kueleweka tena na ukiangali amechoma zaidi ya milioni 7 kumsomeaha na hadi leo hii hana kiwanja wala nyumba amepanga
KwaKitendo cha kutomuheshimu mama yake tu kishakosea. Tumeambia Tumuamini Mungu na Mtume wake na tuwaheshimu wazazi wawili.
Huyu hajasoma dini bali kakutana na vigenge vya wahuni
Na Allah Amhidi
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤪🤪🤪🤪🤪🤪🤪🤪🤪Hakuna Shida kwenye Mafundisho Ya Dini Ya Kiislamu,Ndo maana Hata Leo Watu Wastaarabu Tunaoishi Nao Kwenye Jamii Wengi ni Waislamu.Ukatae Usikatae Na Wewe Nahisi Unajionea.Yupo Mchungaji Mmoja Video Yake Ilitrend Akisema Kuwa Katika Mashamba Yake Kaajiri Vijana Wa Kiislamu Tu Kwa sababu Ni watulivu,Waaminifu.
NB:Mafundisho Katika Dini ya Kiislamu Ndo Yalimfanya Mtume Muhammad(S.A.W) Kuorodheshwa Kwenye Jarida La Watu Bora Zaidi duniani and Most Influential.
View attachment 2632737
Wewe kafiri, wale wa Msumbiji au hao ash-Shabaab au hao Daesh/ISIS sio watu wa Sunnah. Kuna tofauti kati ya Watu wa Sunnah na Khawaarij mbwa wa motoni.wamzuie mapema, very soon watamwona alshabab au msumbiji. hao wa vinjiwa akili zao wapo tayari hata kumchinja mama mzazi kama hakubaliani na maisha waliyochagua. unakumbuka wale wa ISIS syria, mama alimkanya yeye akasema anamzuilia dini ya munyezi..., akamchinja mama mzazi aliyemzaa na anaamini anamtumikia huyo munyeezi...
mara 100 niwe kafiri na niitwe kafiri kuliko kuwa kwenye hiyo dini. I should be very proud of being an infidel to the devil worshiper. wewe pia utakuwa muumini wa al shababu. moto wenu utakua wa petroli iliyochanganywa na damu za watu mnazomwaga.Wewe kafiri, wale wa Msumbiji au hao ash-Shabaab au hao Daesh/ISIS sio watu wa Sunnah. Kuna tofauti kati ya Watu wa Sunnah na Khawaarij mbwa wa motoni.
Amchunge sana asije akatokomea kwenda kwa alshabab ili akauawe akarithi bikra 72 za allah...Dada yangu 49 years now ameajiriwa kwenye Hospitali Binafsi kubwa sana hapa Dar , ana kijana wake wa kiume ambae ndio alitegemea aje hata aonyeshe njia maana watoto wake wengine ni tia maji wote wanamsumbua huyu ndio alijua atakuja kumfuta machozi, Cha kwaza kijana wakati yupo form six tu walifukuzwa shule yeye na wenzake 4 sababu ya kuanzisha makundi ya kidini yenye misimamo isiyoeleweka na kufanya vurugu, ikabidi Dada amtafutie shule nyingine private kwa garama kubwa kumnusuru.
Dogo akamaliza Advance akaaply Chuo cha udaktari Tanga huko hali ilivyokuwa ngmu maana Baba yake hakuwa na msaada wowote Dada akakopa sh milioni 5 pale kazini kwake kwa ajili ya kumsomesha tena hiyo milioni 5 ilikata ikabidi awe anapambana kuongezea hela sehem nyingine, Dogo akapiga kitabu akamaliza kwa tabu sana.
Mwaka 2020 Dada kwa sababu ni Mkongwe pale kwenye Hosptitali anayofanya kazi akafanya juu chini kumuombea nafasi na moja kwa moja Dogo akapata nafasi ya kuajiriwa kama Daktari
Balaa likaanza Dogo baada ya kujiriwa tu akawa anakuja kazini Amevaa Nusukanzu,Kobazi na Kibarakashia huku Anafuga Ndevu kama Osama, hadi akawa anatisha waajiri wake ikabidi Sister aitwe haraka sana akaambiwa kuwa Huyu kama ni mwanao basi kaa nae umkanye mara moja kuwa Yale hayakuwa mavazi sahihi kwa mafanyakazi akashauriwa kuwa avae mavazi official ambayo yapo kwenye muongozo kwa mujibu wa kazi
Sister ikabidi amuite Dogo amkanye kuwa Uongozi pale wamemkanya ajirekebishe ile ni Hospitali kubwa na ni lizima afuate miongozo, Dogo akawa mbishi na alipoona anazongwa sana kwa lile swala akaacha kazi kabisa kwa Hasira akaenda mikoani huko akawa anajihusisha na mambo ya kidini
Kuanzia kipindi hicho Dada yangu ni presha za kupanda tu na kushuka, Juzi kati hapa hadi akazimia maana kijana alikengeuka akawa hamuheshimu na hama maisha ya kueleweka tena na ukiangali amechoma zaidi ya milioni 7 kumsomeaha na hadi leo hii hana kiwanja wala nyumba amepanga
[emoji23]Kuna dress code katika kila taasisi. Kama shida ni uislam anzisheni mahospitali yenu muwe mnavaa makobazi, kanzu na mindevu mirefu. Tena kuna msemo mzuri " Tumikia kafiri upate ujira wako"
Naamini kabisa kuwa dini makes people stupid to the point mtu unakuwa chizi. Sijawahi kuona sheikh akiulizwa swali dogo tu akajibu kwa kutumia akili zake bila kukariri mistari ya Qur'an. Hizi dini kwa kweli inabidi zikatazwe tu hapa nchini maana zinawafanya watu wetu kuwa wajinga mno.Dada yangu 49 years now ameajiriwa kwenye Hospitali Binafsi kubwa sana hapa Dar , ana kijana wake wa kiume ambae ndio alitegemea aje hata aonyeshe njia maana watoto wake wengine ni tia maji wote wanamsumbua huyu ndio alijua atakuja kumfuta machozi, Cha kwaza kijana wakati yupo form six tu walifukuzwa shule yeye na wenzake 4 sababu ya kuanzisha makundi ya kidini yenye misimamo isiyoeleweka na kufanya vurugu, ikabidi Dada amtafutie shule nyingine private kwa garama kubwa kumnusuru.
Dogo akamaliza Advance akaaply Chuo cha udaktari Tanga huko hali ilivyokuwa ngmu maana Baba yake hakuwa na msaada wowote Dada akakopa sh milioni 5 pale kazini kwake kwa ajili ya kumsomesha tena hiyo milioni 5 ilikata ikabidi awe anapambana kuongezea hela sehem nyingine, Dogo akapiga kitabu akamaliza kwa tabu sana.
Mwaka 2020 Dada kwa sababu ni Mkongwe pale kwenye Hosptitali anayofanya kazi akafanya juu chini kumuombea nafasi na moja kwa moja Dogo akapata nafasi ya kuajiriwa kama Daktari
Balaa likaanza Dogo baada ya kujiriwa tu akawa anakuja kazini Amevaa Nusukanzu,Kobazi na Kibarakashia huku Anafuga Ndevu kama Osama, hadi akawa anatisha waajiri wake ikabidi Sister aitwe haraka sana akaambiwa kuwa Huyu kama ni mwanao basi kaa nae umkanye mara moja kuwa Yale hayakuwa mavazi sahihi kwa mafanyakazi akashauriwa kuwa avae mavazi official ambayo yapo kwenye muongozo kwa mujibu wa kazi
Sister ikabidi amuite Dogo amkanye kuwa Uongozi pale wamemkanya ajirekebishe ile ni Hospitali kubwa na ni lizima afuate miongozo, Dogo akawa mbishi na alipoona anazongwa sana kwa lile swala akaacha kazi kabisa kwa Hasira akaenda mikoani huko akawa anajihusisha na mambo ya kidini
Kuanzia kipindi hicho Dada yangu ni presha za kupanda tu na kushuka, Juzi kati hapa hadi akazimia maana kijana alikengeuka akawa hamuheshimu na hama maisha ya kueleweka tena na ukiangali amechoma zaidi ya milioni 7 kumsomeaha na hadi leo hii hana kiwanja wala nyumba amepanga
Kwani Allah amekuambia anahitaji kupambaniwa?Acha dogo ampambanie Allah
This is Africa Broh....then Southern Sahara desert, For us Children are big asset & resources to depend onChildrens are not asset
Mimi niliona chuo. Nilishangaa kwa watu level za chuo kikuu kuwa vile. Walikuwa 7, walijitenga wakawa hawana muda na mtu mwingine wala kushirikiana. Tena ukiwa mkristo usikae kabisa karibu nao, muda mwingi wamekunja nditaHawa jamaa wanajiitaga "Jidi boys" advance ndio niliona kumbe waislamu ni washenzi wao kazi kujitenga kuanzia kusoma mpka michezo na ikitokea kuna muislamu anaandama na mkristo hafu darasani ni kipanga atapigwa vita mpka basi kwmba asome na waislamu wenzie pekee
Kipindi cha mock form six kulikuwa na possible Hahaha huwezi amini hawa watu walikuwa wanaamshana wenywe kwa wenywe usiku nilikuwa deka la Chini jamaa yangu kipanga akaamshwa deka la juu akawasovie maswali kimya kimya.
Shule za A-level zinaharibu sana vijana.....Pugu sec maji shida so jidi kule wana maji ukienda kunya choo cha jidi hafu mkristo utaisoma namba watakuandama mpka ukome......
ISHU NI MAISHA YA SISTER AMEPITIA LIFE GUMU SANA KUAZIA KWA WANAUME ALIOZAA NAO WOTE WALIKIMBIA MAJUKUMU AKAWA ANAELEA KIVYAKE NA UKIANGALIA PESA KARIBIA ZOTE ZA MSHAHARA WAKE AMETESEKA KULEA VIJANA WAKE HADI LEO AMESHINDWA HATA KUJENGA MWISHO WA SIKU HAO ALIOTEGEMEA KESHO WAMSAIDIE NDIO WAMEKENGEUKA
Tumswalie Mtume (S.A.W)Allah hapambaniwi. Bali yeye ndiye hutupambania sisi
Nilichowakubali wote baada ya kumaliza tu chuo walioa
ukienda kunya choo cha jidi hafu mkristo utaisoma namba watakuandama mpka ukome......