Dada yangu anapitia mateso makali sana sababu ya kijana wake kushika Dini hadi imemfanya amekuwa mjinga

Dada yangu anapitia mateso makali sana sababu ya kijana wake kushika Dini hadi imemfanya amekuwa mjinga

Wengi wanamlaumu Mama wa kijana. Yule Mama hana makosa,alitegemea mwanae atakuwa na maendeleo aje kumsaidia kulea wenzie na sio dhambi ndugu kusaidiana. Dini ni nzuri ukiishika kiasi
 
Wengi wanamlaumu Mama wa kijana. Yule Mama hana makosa,alitegemea mwanae atakuwa na maendeleo aje kumsaidia kulea wenzie na sio dhambi ndugu kusaidiana. Dini ni nzuri ukiishika kiasi
Ni kweli mkuu. Uzuri wa uislamu ni dini ya kati na kati. Mada imewasilishwa kwa scenario ya tatizo kutobainishwa kwa kina.

Na uislamu unahimiza kuwaangalia wazazi wawili kama walivyotuangalia sisi utotoni.
 
Anatakiwa aende gerezani hata kwa miezi mitatu, aweze kujifunza namna ya kuishi
 
Hawa jamaa wanajiitaga "Jidi boys" advance ndio niliona kumbe waislamu ni washenzi wao kazi kujitenga kuanzia kusoma mpka michezo na ikitokea kuna muislamu anaandama na mkristo hafu darasani ni kipanga atapigwa vita mpka basi kwmba asome na waislamu wenzie pekee

Kipindi cha mock form six kulikuwa na possible Hahaha huwezi amini hawa watu walikuwa wanaamshana wenywe kwa wenywe usiku nilikuwa deka la Chini jamaa yangu kipanga akaamshwa deka la juu akawasovie maswali kimya kimya.

Shule za A-level zinaharibu sana vijana.....Pugu sec maji shida so jidi kule wana maji ukienda kunya choo cha jidi hafu mkristo utaisoma namba watakuandama mpka ukome......

Hii dini ina shida sana kwenye mafundisho yake.
 
Sasa mavazi yana shida gani?, kama kavunja kanuni za kazi wampe barua yenye makosa yake siyo kwenda kushtaki kwa mama.

Hao shida yao ni uislamu tu na si mengine. Angekuwa anavaa rozari inaburuza mpaka chini wala wasingemgusa
Kuna dress code katika kila taasisi. Kama shida ni uislam anzisheni mahospitali yenu muwe mnavaa makobazi, kanzu na mindevu mirefu. Tena kuna msemo mzuri " Tumikia kafiri upate ujira wako"
 
Dini ya uislamu unamfunza muumini wake kumtii mola wake na mtume wake na kuwafanyia wema wazazi wawili (ikiwemo kuwatunza uzeeni kwao).
Dini ya uislamu inasisitiza wauminini wake kufanyakazi kwa bidii na kwa uadilifu.

Hapa nimeona tatizo lililoainishwa ni uvaaji wa kanzu kazini na kufuga ndevu. Huu sio ugaidi kwa mujibu wa uislamu au katiba ya nchi.
Hapa naona uelewa wa kijana kuheshimu mwongozo wa mavazi ya kitabibu ulikua mdogo, na kwa menejimenti ya hospitali huenda reaction yao kwa kijana ilikua kubwa na ya kumhukumu zaidi.
Huenda pia bada ya apo kijana akatengwa naye akaamua kuondoka jumla
na nafasi ya mzazi naye ikiwa laana na maneno makali ((kijana kaamua kupotea kabisa)).

Ni ushauri wangu kulingana mada jinsi ilivyowasilishwa.

Acha kumtetea huwezi maliza kozi ya utabibu bila kufundishwa professionalism ethics za utabibu ambapo mavazi husika ya kazi ni moja ya suala la msingi,huyo dogo kesha kuwa itikadi kali hakuna la zaidi.
 
Mungu amsaidie huyo dada ni jambo gumu kama mzazi anaumia sana lakini akifanya mchezo atakufa amuache mtoto mimi nashauri amuombe Mungu sana ampe nguvu na aendele na maisha yake ni ngumu kama mzazi lakin hii ipo nje ya uwezo wake ametimiza majuku yake kama mzazi amemsomesha na kumsaidia kapata kazi the rest amuachie Mungu tu japo inauma
 
Dada yangu 49 years now ameajiriwa kwenye Hospitali Binafsi kubwa sana hapa Dar , ana kijana wake wa kiume ambae ndio alitegemea aje hata aonyeshe njia maana watoto wake wengine ni tia maji wote wanamsumbua huyu ndio alijua atakuja kumfuta machozi
Je, kwani akimiliki msikiti au madrassa hapati pesa?
 
Anakosea Kutomuheshimu Bi Mkubwa dini Haisemi hivyo, akiendelea Kutomushimu Basi Hata Harakati zake za Dini Hazitamfikisha Peponi, Akae Vizur Na Bi Mkubwa amuelekeze Kuwa Yeye Kaamua Kuwa Mwanaharakati Kupambania Dini Yake. Then Aendelee Kupambana Sio Kila Mtu Lazime Ajiriwe Katika Carrier Aliyoisoma.
Yeye anaona Tayari Kaondoa Ujinga Basi Inatosha.
 
Dada yangu 49 years now ameajiriwa kwenye Hospitali Binafsi kubwa sana hapa Dar , ana kijana wake wa kiume ambae ndio alitegemea aje hata aonyeshe njia maana watoto wake wengine ni tia maji wote wanamsumbua huyu ndio alijua atakuja kumfuta machozi, Cha kwaza kijana wakati yupo form six tu walifukuzwa shule yeye na wenzake 4 sababu ya kuanzisha makundi ya kidini yenye misimamo isiyoeleweka na kufanya vurugu, ikabidi Dada amtafutie shule nyingine private kwa garama kubwa kumnusuru.

Dogo akamaliza Advance akaaply Chuo cha udaktari Tanga huko hali ilivyokuwa ngmu maana Baba yake hakuwa na msaada wowote Dada akakopa sh milioni 5 pale kazini kwake kwa ajili ya kumsomesha tena hiyo milioni 5 ilikata ikabidi awe anapambana kuongezea hela sehem nyingine, Dogo akapiga kitabu akamaliza kwa tabu sana.

Mwaka 2020 Dada kwa sababu ni Mkongwe pale kwenye Hosptitali anayofanya kazi akafanya juu chini kumuombea nafasi na moja kwa moja Dogo akapata nafasi ya kuajiriwa kama Daktari

Balaa likaanza Dogo baada ya kujiriwa tu akawa anakuja kazini Amevaa Nusukanzu,Kobazi na Kibarakashia huku Anafuga Ndevu kama Osama, hadi akawa anatisha waajiri wake ikabidi Sister aitwe haraka sana akaambiwa kuwa Huyu kama ni mwanao basi kaa nae umkanye mara moja kuwa Yale hayakuwa mavazi sahihi kwa mafanyakazi akashauriwa kuwa avae mavazi official ambayo yapo kwenye muongozo kwa mujibu wa kazi

Sister ikabidi amuite Dogo amkanye kuwa Uongozi pale wamemkanya ajirekebishe ile ni Hospitali kubwa na ni lizima afuate miongozo, Dogo akawa mbishi na alipoona anazongwa sana kwa lile swala akaacha kazi kabisa kwa Hasira akaenda mikoani huko akawa anajihusisha na mambo ya kidini

Kuanzia kipindi hicho Dada yangu ni presha za kupanda tu na kushuka, Juzi kati hapa hadi akazimia maana kijana alikengeuka akawa hamuheshimu na hama maisha ya kueleweka tena na ukiangali amechoma zaidi ya milioni 7 kumsomeaha na hadi leo hii hana kiwanja wala nyumba amepanga
Ili kumsaidia, amsafirishe Afghanistan. Kule atakutana na wenzake
 
Wamzuie mapema, very soon watamwona alshabab au Msumbiji. Hao wa vinjiwa akili zao wapo tayari hata kumchinja mama mzazi kama hakubaliani na maisha waliyochagua. Unakumbuka wale wa ISIS Syria, mama alimkanya yeye akasema anamzuilia dini ya munyezi..., akamchinja mama mzazi aliyemzaa na anaamini anamtumikia huyo munyeezi...
 
Kuna dress code katika kila taasisi. Kama shida ni uislam anzisheni mahospitali yenu muwe mnavaa makobazi, kanzu na mindevu mirefu. Tena kuna msemo mzuri " Tumikia kafiri upate ujira wako"
Wapi kwenye utabibu wamekataza mhudumu kufuga ndevu?

Na kama alikosea, walifuata disciplinary procedure gani ili kumuweka sawa?

Kitendo cha kukimbilia kumshitaki kwa mama yake ni kwa sababu pengine waliona kisheria anawashinda, wakata wapitie lobbying kwa mzazi
 
Back
Top Bottom