Dada yangu anapitia mateso makali sana sababu ya kijana wake kushika Dini hadi imemfanya amekuwa mjinga

Dada yangu anapitia mateso makali sana sababu ya kijana wake kushika Dini hadi imemfanya amekuwa mjinga

Kwani hapo kosaa lipi? Kikubwa asidhuru wengine Kama ni kazi jobless mmoja ni huweni kwake atakuwa substituted chap....the rest waache watu na maisha yao na jilazimishe kuwawazia wenzio mazurii
 
Hawa jamaa wanajiitaga "Jidi boys" advance ndio niliona kumbe waislamu ni washenzi wao kazi kujitenga kuanzia kusoma mpka michezo na ikitokea kuna muislamu anaandama na mkristo hafu darasani ni kipanga atapigwa vita mpka basi kwmba asome na waislamu wenzie pekee

Kipindi cha mock form six kulikuwa na possible Hahaha huwezi amini hawa watu walikuwa wanaamshana wenywe kwa wenywe usiku nilikuwa deka la Chini jamaa yangu kipanga akaamshwa deka la juu akawasovie maswali kimya kimya.

Shule za A-level zinaharibu sana vijana.....Pugu sec maji shida so jidi kule wana maji ukienda kunya choo cha jidi hafu mkristo utaisoma namba watakuandama mpaka ukome......
 
Ndio madhara ya kusomesha mtoto ukitengemea akianiriwa upate sehemu ya mshahara wake,mm nilidhani mvuta bnghe mwizi mlevi mzizi kumbe kachagua njia nzuli sana ya mitume na manabii ifahamike kusoma sio lazima uajiriwe huyo mama hasimkatie tamaa amuuluze kazi anayo iweze amuwezeshe tu
Hata kama huhitaji mshahara wake basi afanye kazi basi ajitegemee na kufuata masharti ya kazi ya watu...kwani mtu ukivaa official ukaenda ukafanya kazi za watu ukitoka hutavaa mavazi yako ukaabudu?
 
Mwambie dada yako apambane na maisha yake. Ameshatimiza wajibu wake. Kwa sasa huyo mtoto wake ni mtu mzima. Hivyo asimpangie maisha.

Kama ameamua kuacha kazi na kuwa ustaadh wa kumhubiri Allah na Mtume wake Muhammad (SAW), shida iko wapi?
 
Dada yangu 49 years now ameajiriwa kwenye Hospitali Binafsi kubwa sana hapa Dar , ana kijana wake wa kiume ambae ndio alitegemea aje hata aonyeshe njia maana watoto wake wengine ni tia maji wote wanamsumbua huyu ndio alijua atakuja kumfuta machozi, Cha kwaza kijana wakati yupo form six tu walifukuzwa shule yeye na wenzake 4 sababu ya kuanzisha makundi ya kidini yenye misimamo isiyoeleweka na kufanya vurugu, ikabidi Dada amtafutie shule nyingine private kwa garama kubwa kumnusuru.

Dogo akamaliza Advance akaaply Chuo cha udaktari Tanga huko hali ilivyokuwa ngmu maana Baba yake hakuwa na msaada wowote Dada akakopa sh milioni 5 pale kazini kwake kwa ajili ya kumsomesha tena hiyo milioni 5 ilikata ikabidi awe anapambana kuongezea hela sehem nyingine, Dogo akapiga kitabu akamaliza kwa tabu sana.

Mwaka 2020 Dada kwa sababu ni Mkongwe pale kwenye Hosptitali anayofanya kazi akafanya juu chini kumuombea nafasi na moja kwa moja Dogo akapata nafasi ya kuajiriwa kama Daktari

Balaa likaanza Dogo baada ya kujiriwa tu akawa anakuja kazini Amevaa Nusukanzu,Kobazi na Kibarakashia huku Anafuga Ndevu kama Osama, hadi akawa anatisha waajiri wake ikabidi Sister aitwe haraka sana akaambiwa kuwa Huyu kama ni mwanao basi kaa nae umkanye mara moja kuwa Yale hayakuwa mavazi sahihi kwa mafanyakazi akashauriwa kuwa avae mavazi official ambayo yapo kwenye muongozo kwa mujibu wa kazi

Sister ikabidi amuite Dogo amkanye kuwa Uongozi pale wamemkanya ajirekebishe ile ni Hospitali kubwa na ni lizima afuate miongozo, Dogo akawa mbishi na alipoona anazongwa sana kwa lile swala akaacha kazi kabisa kwa Hasira akaenda mikoani huko akawa anajihusisha na mambo ya kidini

Kuanzia kipindi hicho Dada yangu ni presha za kupanda tu na kushuka, Juzi kati hapa hadi akazimia maana kijana alikengeuka akawa hamuheshimu na hama maisha ya kueleweka tena na ukiangali amechoma zaidi ya milioni 7 kumsomeaha na hadi leo hii hana kiwanja wala nyumba amepanga
Pia haimaanishi kuwa mzazi anapaswa kumsomesha mwanae ili badae aje kumsaidia,sioni haja ya dada kupata presha maana kama ndo maisha aliyochagua bass haina shida. Kumbuka hivi sasa kila mtu anaishi vile anavyohitaji yeye, mama mtu akikubali hizo inshu zake za dini nafikiri uhusiano wao utakuwa mzuri tu.
 
Kuna jamaa mmoja namjua nae hivi hivi kawa ustaadh kupitiliza hata mufti haingii ndani.

Mama yake anadai baba yake mzazi(Babu yake jamaa) alikuwa imamu wa msikiti lakini dini haikuwahi kumchanganya kama alivyo mwanae.

Jamaa ndio first born na ndio pekee kasoma hadi chuo lakini dini imemchanganya sana.

Yaani imekuwa too much

Yaani mchizi hadi tunamuogopa tykimwona tunabadili njia[emoji1787]
 
Wakuu hamjuagi tu vile wazazi wanaumia kama hawajui mtoto anafanya nini haijalishi ana umri gani, huwa wanaumia sana.

Wazazi wengi husomesha watoto waje wawasaidie mbele lakini kama hilo mtoto haliwezi(sio lazima) basi walau awe na mwelekeo wa maisha.

Mzazi anakuwa na amani sana kama akiona mwanae analepea kama kishada kimaendeleo, hata kama atapambana kulipa madeni basi atalipa akijua yes walau jembe langu limetusua.
 
Dada yangu 49 years now ameajiriwa kwenye Hospitali Binafsi kubwa sana hapa Dar , ana kijana wake wa kiume ambae ndio alitegemea aje hata aonyeshe njia maana watoto wake wengine ni tia maji wote wanamsumbua huyu ndio alijua atakuja kumfuta machozi, Cha kwaza kijana wakati yupo form six tu walifukuzwa shule yeye na wenzake 4 sababu ya kuanzisha makundi ya kidini yenye misimamo isiyoeleweka na kufanya vurugu, ikabidi Dada amtafutie shule nyingine private kwa garama kubwa kumnusuru.

Dogo akamaliza Advance akaaply Chuo cha udaktari Tanga huko hali ilivyokuwa ngmu maana Baba yake hakuwa na msaada wowote Dada akakopa sh milioni 5 pale kazini kwake kwa ajili ya kumsomesha tena hiyo milioni 5 ilikata ikabidi awe anapambana kuongezea hela sehem nyingine, Dogo akapiga kitabu akamaliza kwa tabu sana.

Mwaka 2020 Dada kwa sababu ni Mkongwe pale kwenye Hosptitali anayofanya kazi akafanya juu chini kumuombea nafasi na moja kwa moja Dogo akapata nafasi ya kuajiriwa kama Daktari

Balaa likaanza Dogo baada ya kujiriwa tu akawa anakuja kazini Amevaa Nusukanzu,Kobazi na Kibarakashia huku Anafuga Ndevu kama Osama, hadi akawa anatisha waajiri wake ikabidi Sister aitwe haraka sana akaambiwa kuwa Huyu kama ni mwanao basi kaa nae umkanye mara moja kuwa Yale hayakuwa mavazi sahihi kwa mafanyakazi akashauriwa kuwa avae mavazi official ambayo yapo kwenye muongozo kwa mujibu wa kazi

Sister ikabidi amuite Dogo amkanye kuwa Uongozi pale wamemkanya ajirekebishe ile ni Hospitali kubwa na ni lizima afuate miongozo, Dogo akawa mbishi na alipoona anazongwa sana kwa lile swala akaacha kazi kabisa kwa Hasira akaenda mikoani huko akawa anajihusisha na mambo ya kidini

Kuanzia kipindi hicho Dada yangu ni presha za kupanda tu na kushuka, Juzi kati hapa hadi akazimia maana kijana alikengeuka akawa hamuheshimu na hama maisha ya kueleweka tena na ukiangali amechoma zaidi ya milioni 7 kumsomeaha na hadi leo hii hana kiwanja wala nyumba amepanga
Hapo tatizo ni dadako
Imeandikwa usimtegemee mwanadamu
 
Sasa huzuni ni kuwa mdogo wake hana kazi au ni hela aliyoipoteza kusomesha?Kifupi pesa ukishaitumia hovyo,kama ulihonga,ulinywea pombe,uliibiwa,uliingiza mahali sio sahihi hutakiwi kuiwaza,wewe fikiria jinsi ya kupata nyingine na uendelee kuitafuta kwakuwa ile haitarudi tena hata kama utapiga kelele.....
Ukweli mchungu huu
 
Back
Top Bottom