political monger senior
JF-Expert Member
- Nov 26, 2020
- 1,827
- 5,994
Kwa ufupi ni kwamba uyo jamaa hana dini na ajiandae kwenda kuchomwa kwenye moto Mkali wa jahanamu kama asipobadilika.. uislamu ni vitendo siyo maneno kwa mujibu wa Quran tukufu na sunnah za mtume Muhammad s.a.w uyo jamaa hana dini anapoteza muda bure tu uko kwenye darsaAmeen kwa hakika bado hajaijua dini, nina kijana namfahamu yeye babake kwa sasa anaumwa ni wakumvesha diaper lkn yeye hana muda yupo busy na darsa zake mpka unawaza ikiwa mtume saw alikataza wengine kwe da kwenye vita ili wawahudumie wazee wao, huyu elimu akitoa wapi ya kumuacha mgonjwa baba yake ndani nae ndie wa kimue na kwenda kushinda darsa
Mtihan wallah
Kwa
Hv Kuna mtoto wa mkubwa yoyote,ambaye ni shekh,mchungaji?Ndio madhara ya kusomesha mtoto ukitegemea akiajiriwa upate sehemu ya mshahara wake, mimi nilidhani mvuta banghe mwizi mlevi mzizi kumbe kachagua njia nzuri sana ya mitume na manabii, ifahamike kusoma sio lazima uajiriwe huyo mama asimkatie tamaa amuulize kazi anayoiweza amuwezeshe tu
Najiuliza huyu dogo kaacha kazi sababu ya kuzuiwa kuvaa kanzu, mfano angepata kazi jeshini au kwenye migodi angechimbq na kanzu?Dini ya uislamu unamfunza muumini wake kumtii mola wake na mtume wake na kuwafanyia wema wazazi wawili (ikiwemo kuwatunza uzeeni kwao).
Dini ya uislamu inasisitiza wauminini wake kufanyakazi kwa bidii na kwa uadilifu.
Hapa nimeona tatizo lililoainishwa ni uvaaji wa kanzu kazini na kufuga ndevu. Huu sio ugaidi kwa mujibu wa uislamu au katiba ya nchi.
Hapa naona uelewa wa kijana kuheshimu mwongozo wa mavazi ya kitabibu ulikua mdogo, na kwa menejimenti ya hospitali huenda reaction yao kwa kijana ilikua kubwa na ya kumhukumu zaidi.
Huenda pia bada ya apo kijana akatengwa naye akaamua kuondoka jumla
na nafasi ya mzazi naye ikiwa laana na maneno makali ((kijana kaamua kupotea kabisa)).
Ni ushauri wangu kulingana mada jinsi ilivyowasilishwa.
Amenasihiwa sana lkn naona hawa ni mtihani kwa kweli, haelewi yeye ni kushinda kutwa msikitin, hata huo wajibu wa kujua darja la mzazi wake haelewi hata kidogoKwa ufupi ni kwamba uyo jamaa hana dini na ajiandae kwenda kuchomwa kwenye moto Mkali wa jahanamu kama asipobadilika.. uislamu ni vitendo siyo maneno kwa mujibu wa Quran tukufu na sunnah za mtume Muhammad s.a.w uyo jamaa hana dini anapoteza muda bure tu uko kwenye darsa
Mwanaume kidogo uwe na KIFUA kuna mambo yalitakiwa ubaki nayo ili umsitiri ndugu yako sio kila kitu cha kuongea tu.ISHU NI MAISHA YA SISTER AMEPITIA LIFE GUMU SANA KUAZIA KWA WANAUME ALIOZAA NAO WOTE WALIKIMBIA MAJUKUMU AKAWA ANAELEA KIVYAKE NA UKIANGALIA PESA KARIBIA ZOTE ZA MSHAHARA WAKE AMETESEKA KULEA VIJANA WAKE HADI LEO AMESHINDWA HATA KUJENGA MWISHO WA SIKU HAO ALIOTEGEMEA KESHO WAMSAIDIE NDIO WAMEKENGEUKA
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Najiuliza huyu dogo kaacha kazi sababu ya kuzuiwa kuvaa kanzu, mfano angepata kazi jeshini au kwenye migodi angechimbq na kanzu?
samaleko..!Dada yangu 49 years now ameajiriwa kwenye Hospitali Binafsi kubwa sana hapa Dar, ana kijana wake wa kiume ambae ndio alitegemea aje hata aonyeshe njia maana watoto wake wengine ni tia maji wote wanamsumbua huyu ndio alijua atakuja kumfuta machozi, Cha kwaza kijana wakati yupo form six tu walifukuzwa shule yeye na wenzake 4 sababu ya kuanzisha makundi ya kidini yenye misimamo isiyoeleweka na kufanya vurugu, ikabidi Dada amtafutie shule nyingine private kwa gharama kubwa kumnusuru.
Dogo akamaliza Advance akaaply Chuo cha udaktari Tanga huko, hali ilivyokuwa ngmu maana Baba yake hakuwa na msaada wowote Dada akakopa sh milioni 5 pale kazini kwake kwa ajili ya kumsomesha tena hiyo milioni 5 iliisha, ikabidi awe anapambana kuongezea hela sehemu nyingine, Dogo akapiga kitabu akamaliza kwa tabu sana.
Mwaka 2020 Dada kwa sababu ni Mkongwe pale kwenye Hospitali anayofanya kazi akafanya juu chini kumuombea nafasi na moja kwa moja Dogo akapata nafasi ya kuajiriwa kama Daktari
Balaa likaanza Dogo baada ya kuajiriwa tu akawa anakuja kazini Amevaa Nusukanzu, Kobazi na Kibarakashia huku Anafuga Ndevu kama Osama, hadi akawa anatisha waajiri wake ikabidi Sister aitwe haraka sana akaambiwa kuwa Huyu kama ni mwanao basi kaa nae umkanye mara moja kuwa Yale hayakuwa mavazi sahihi kwa mfanyakazi akashauriwa kuwa avae mavazi official ambayo yapo kwenye muongozo kwa mujibu wa kazi.
Sister na sisi wajomba zake ikabidi tumuite Dogo tumkanye kuwa Uongozi wa pale wamemkanya ajirekebishe ile ni Hospitali kubwa na ni lazima afuate miongozo, Dogo akawa mbishi na alipoona anazongwa sana kwa lile swala akaacha kazi kabisa kwa Hasira akaenda mikoani huko akawa anajihusisha na mambo ya kidini.
Kuanzia kipindi hicho Dada yangu ni presha za kupanda tu na kushuka, Juzi kati hapa hadi akazimia maana kijana alikengeuka akawa hamuheshimu na hana maisha ya kueleweka tena na ukiangalia amechoma zaidi ya milioni 7 kumsomesha na hadi leo hii hana kiwanja wala nyumba, amepanga.
=====================
=====================
NINEONA BAADHI YA WATU WAKIMLAUMU SISTER KUWA JUKUMU LA KULEA MTOTO NI LAKE HIVYO HAKUTAKIWA KULALAMIKA KUWA DOGO HAMSAIDII
JAMANI NIWAAMBIE TU MTU MWENYE JUKUMU LA KUSOMESHA NA KULEA KWA ASILIMIA KUBWA NI BABA LABDA AWE AMEFARIKI, NA DOGO BABA YAKE ALISHAKIMBIA MAJUKUMU HIVYO ALITAKIWA AJUE MAMA YAKE AMEENDA KUKOPA KARIBIA MILIONI 8 KUREPLACE JUKUMU LA BABA YAKE HIVYO ALITAKIWA DOGO ANAPOMALIZA SHULE AANGALIE KUWA MAMA YAKE HAKUWA NA HZO PESA NA ALIJITOA MUHANGA KUREPLACE NAFASI YA BABA YAKE ILI ASOME SO DOGO ALIPOMALIZA ILIKUWA NI MUHIM KUSAIDIANA NA MAMA YAKE MNAOSEMA KUWA DADA ASILALAMIKE NGOJENI YAWAKUTE
Naam akhiy, jazaakallahu khayran[emoji1666][emoji1666] Naam ndugu yangu katika imani umetoa maoni Bora sana ..watu wasichokijua uislamu aujakataza kusoma elimu dunia uyo kijana no matter atafanya nini bila kukaachini na mama yake wakawekana sawa amna kitu atakachokifanya kwenye dunia hii kitakachokuwa na baraka as long as mama yake ana lalamika kitu pekee ambacho muislamu atakiwi kumsikiliza mama yake ata kama akisema ni kumuasi allah pekee ..
Huyo alishalinganiwa yakamwingia siyo muda mrefu mtamsikia ametoweka kuelekea kusikojulikana kujiunga na makundi ya kigaidi duniani. Ukiona dini inakufanya badala ya kuwa mnyenyekevu kwa wazazi ndugu na jamii unakuwa jeuri ujue ndani yako hakuna Allah.Dada yangu 49 years now ameajiriwa kwenye Hospitali Binafsi kubwa sana hapa Dar, ana kijana wake wa kiume ambae ndio alitegemea aje hata aonyeshe njia maana watoto wake wengine ni tia maji wote wanamsumbua huyu ndio alijua atakuja kumfuta machozi, Cha kwaza kijana wakati yupo form six tu walifukuzwa shule yeye na wenzake 4 sababu ya kuanzisha makundi ya kidini yenye misimamo isiyoeleweka na kufanya vurugu, ikabidi Dada amtafutie shule nyingine private kwa gharama kubwa kumnusuru.
Dogo akamaliza Advance akaaply Chuo cha udaktari Tanga huko, hali ilivyokuwa ngmu maana Baba yake hakuwa na msaada wowote Dada akakopa sh milioni 5 pale kazini kwake kwa ajili ya kumsomesha tena hiyo milioni 5 iliisha, ikabidi awe anapambana kuongezea hela sehemu nyingine, Dogo akapiga kitabu akamaliza kwa tabu sana.
Mwaka 2020 Dada kwa sababu ni Mkongwe pale kwenye Hospitali anayofanya kazi akafanya juu chini kumuombea nafasi na moja kwa moja Dogo akapata nafasi ya kuajiriwa kama Daktari
Balaa likaanza Dogo baada ya kuajiriwa tu akawa anakuja kazini Amevaa Nusukanzu, Kobazi na Kibarakashia huku Anafuga Ndevu kama Osama, hadi akawa anatisha waajiri wake ikabidi Sister aitwe haraka sana akaambiwa kuwa Huyu kama ni mwanao basi kaa nae umkanye mara moja kuwa Yale hayakuwa mavazi sahihi kwa mfanyakazi akashauriwa kuwa avae mavazi official ambayo yapo kwenye muongozo kwa mujibu wa kazi.
Sister na sisi wajomba zake ikabidi tumuite Dogo tumkanye kuwa Uongozi wa pale wamemkanya ajirekebishe ile ni Hospitali kubwa na ni lazima afuate miongozo, Dogo akawa mbishi na alipoona anazongwa sana kwa lile swala akaacha kazi kabisa kwa Hasira akaenda mikoani huko akawa anajihusisha na mambo ya kidini.
Kuanzia kipindi hicho Dada yangu ni presha za kupanda tu na kushuka, Juzi kati hapa hadi akazimia maana kijana alikengeuka akawa hamuheshimu na hana maisha ya kueleweka tena na ukiangalia amechoma zaidi ya milioni 7 kumsomesha na hadi leo hii hana kiwanja wala nyumba, amepanga.
=====================
=====================
NINEONA BAADHI YA WATU WAKIMLAUMU SISTER KUWA JUKUMU LA KULEA MTOTO NI LAKE HIVYO HAKUTAKIWA KULALAMIKA KUWA DOGO HAMSAIDII
JAMANI NIWAAMBIE TU MTU MWENYE JUKUMU LA KUSOMESHA NA KULEA KWA ASILIMIA KUBWA NI BABA LABDA AWE AMEFARIKI, NA DOGO BABA YAKE ALISHAKIMBIA MAJUKUMU HIVYO ALITAKIWA AJUE MAMA YAKE AMEENDA KUKOPA KARIBIA MILIONI 8 KUREPLACE JUKUMU LA BABA YAKE HIVYO ALITAKIWA DOGO ANAPOMALIZA SHULE AANGALIE KUWA MAMA YAKE HAKUWA NA HZO PESA NA ALIJITOA MUHANGA KUREPLACE NAFASI YA BABA YAKE ILI ASOME SO DOGO ALIPOMALIZA ILIKUWA NI MUHIM KUSAIDIANA NA MAMA YAKE MNAOSEMA KUWA DADA ASILALAMIKE NGOJENI YAWAKUTE
Wa wapi wewe? Majukumu ya kusomesha ni ya mzazi sio ya baba au mama,harafu acheni kusomesha watoto kwa lengo la watoto kuja kuwapeni misaada,M 7 kitu gani,harafu waandika kwa herufi kubwa unatufokea?MAJUKUMU YA KUMSOMESHA HUYU DOGO YALIKUWA NI YA BABA YAKE MZAZI AMBAE ALIYAKIMBIA KITAMBO MSIKIMBIE KULEA WATOTO ALAFU MSEME MAJUKUMU NI YA MAMA SI SAWA.. NA NDIO MAANA DADA AKAAMUA KUKOPA KUREPLACE MAJUKUMU YA BABA ILI DOGO ATIMIZE NDOTO ZAKE SASA DOGO ALITAKIWA AJUE KUWA ILE PESA NI KAMA BABA YAKE HAKUITOA HIVYO MAMA YAKE AKAENDA KUKOPA SEHEM SO ALITAKIWA ALIVYOMALIZA SHULE TU AJE ASAIDIANE NA MAMA YAKE KUMSHUSHA ULE MZIGO BEGANI MATOKEO YAKE NDIO KAMLIZA
Tatizo watu hawajui hilo.Dini ni ugonjwa mbaya sana wa akili kuwahi kutokea duniani.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] au Al QaedaYaani huyo muombee asikutane na wakala Wa Al shabab imeisha hiyo