Dada yangu anapitia mateso makali sana sababu ya kijana wake kushika Dini hadi imemfanya amekuwa mjinga

Kasoma kamaliza chuo kaatafutiwa ajira kaona hauendani na imani yake kaamua kuacha mamake anataka akubali ajira hiyo huyo kijana hanakosa kwa mamake,imeandikwa hivi mtiini allah na mtumewe,na muwafanyie ihisani wazazi 2 lakini wakikutaka kumuasi allah usiwakubalue lakini uishi nao kwa wema
 
Shule za uboyizini ndio zao.

Kwanza wanalazimisha wapewe wajenge msikiti.

Sasa huko msikitini ndio kunageuka kuwa chimbo hawaende class ni ku radicalizing each other hadi kufikia stage za KiTaliban.

Jamaa wanajitenga hawataki urafiki Wala shirikiana na dini tofauti.

Madogo wasioenda swala Tano wanachapwa mikanda.

Wanafundishana Karatema Kung Fu huko.

Wemgi hupata matokeo mabaya labda wale wanaojiweza kimasomo.
 
Hapana hata dini inataka tufanye kazi baada ya kumaliza swala ,na hata kama unataka kumtumikia mungu angefanya kazi yake ya udaktari na muda wa ziada angeenda kufanya hiyo ibada nyingine, kwani pia kuhudumia watu kwa taaluma yake pia ni ibada bora kwa mungu, hata mtume wetu ametuambia tukatafute elimu hata uchina , sasa jitu lina elimu linaacha taaluma hata mungu hapendi
 
Atawezeshwa misikitini huko si kachagua hayo Maisha?Kwa ushauri wangu huyo kama familia wamteme tu sio muda watamsikia Guntanamo huko
 
Waislam mambo leo mshukuru sana kwa kuzaliwa zama hizi ila pasi na shaka yoyote laiti kama mngemuona Mtume Muhammad jinsi ndevu zake na mavazi yake alivyokuwa akivaa basi bila ya shaka mngemkataa kama hivi mnavyomkataa mtoto wenu kwa ajili ya kuwaridhisha makufar. Yaani mnaona aibu ku-practice dini yenu halafu mnajidai kumfuata na kumpenda Mtume Muhammad pbuh.

Mtume hakuwa akinyoa wala kuchonga ndevu zaidi ya kupunguza masharubu tu, juu alikuwa akivaa kofia na kilemba na pia alikuwa akivaa kanzu zisizovuka vifundo vya miguu yake (wenyewe mnaita njiwa).

Mna khofu ya rizq mtafikiri ninyi ndio mnayoiteremsha. Yaani mara elfu kumi kufanya kazi na wazungu ambao huwa hawaingilii mavazi wala mwili wa mtu kuliko kufanya kazi na watu wanaojinadi ni waislam halafu wanawapinga wale wanafuata sunnah za Mtume Muhammad pbuh
 
Mtume Muhammad pbuh alisema kweli kuwa "hakika uislam uliabza ukiwa mgeni na utarejea tena ukiwa mgeni, bishara njema kwa watakaokuwa wageni."

Leo hii ukishikamana na uislam unaonekana chizi ,huna mbele wala nyuma, upo upo tu kwasababu tu hufati yale wanayoyataka mayahudi na manaswara. Kibaya zaidi watu wa mwanzo watakaoanza kukupiga vita ni wazazi,ndugu na familia yako.

Isomeni dini yenu muepukane na ujinga (ujahili)
 
Allah amrehemu huyo kijana na awasamehe nyinyi ndugu zake kutokana na ujinga mliokuwa nao.

Mtume alisema zitafika zama, muumini kushika dini yake itakuwa sawa na kushika makaa ya moto katika mkono wake.

Anas ibn Malik reported: The Messenger of Allah, peace and blessings be upon him, said, “A time of patience will come to people in which adhering to one’s religion is like grasping a hot coal.”

Source: Sunan al-Tirmidhī 2260

Grade: Sahih (authentic) according to Al-Albani
 
Yaani kijana kasoma mpaka kafikia kuwa Mganga mfawidhi halafu eti mnamuita mjinga kisa kaamua kushikamana na dini yake kama Mtume alivyoifundisha. Sijui mna akili sawasawa enyi watu?!

Yaani kufuga ndevu,kuvaa kofia na kutokuburuza nguo( isbaal) ndio kuna mfanya mumuone chizi? Mngemuona Mtume na maswahaba zake si mngesema ni wendawazimu tu?!
 
Ogopa sana hao vijana wakifundishwa hayo mambo yao ya Dini za itikadi kalii hata Mama yake anaweza Kumchinjaaaa...!
 
Nani
Acha avune alichokipanda kama kunyoa ndevu hataki wacha hadi m@vuzz asinyoe si anataka kuwa kama Osama?
Nani kakwambia kuwa ukifuga ndevu hutakiwi kunyoa mavuzi?

Kwa taarifa yako Mtume kafundisha wanaume wa kiislam wafuge ndevu na wanyoe masharubu, wanyoe nywele za makwapani, wanyoe mavuzi na wakate kucha pia kuoga baada ya kufanya mapenzi ili kuondoa janaba.

Uislam ni dini ya usafi kiasi kwamba hata ukienda kukojoa unatakiwa utawadhe kwa maji kuondoa mkojo na pia uhakikishe cheche na mikojo hazikurudii kwenye nguo.

Soma uelimike sio kuongea vitu usivyo na elimu navyo
 
Ogopa sana hao vijana wakifundishwa hayo mambo yao ya Dini za itikadi kalii hata Mama yake anaweza Kumchinjaaaa...!
Wapi umeona mtoto wa kiislam kamchinja mama yake
Yaani mtoto wa kiislam akiamua kusoma na kuifata dini yake inakuwa tatizo ila mtoto wa kikiristo akisoma na kuwa mchungaji anaonekana ana akili na mjanja!. Mbona hamuwatukani mapadre na wachungaji
 
Angemfungulia msikiti au madrasa tu.
Mimi mwanangu nikiwa simuelewi namfungulia kanisa awe kama yule mchungaji wa Kenya McKenzie
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…