Chizi Maarifa
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 10,931
- 24,816
Kuna sister tupo naye ktk family inashangaza sana. Ni mzuri ana kazi na anaishi kwake. Si malaya ila nmemsoma anahitaji mwanaume mbabe na mwenye kujiamini. Aliwahi kuwa na mwanaume mmoja ambaye alimpenda sana after sometime akaja kuniambia yule mwanaume amepoa sana. Si mwanaume wa kiafrika. Cool mpaka anaboa akamwacha.
Nmeangalia angalia humu ndani mmeona kuna jamaa anaitwa GuDume nani anamfaha huyu jamaa? Ili nimuunganishe na sister ikiwezekana amzalishe tu ili dada aache dharau kwa wanaume.
Mwenye kufahamiana na gudume au mwenye kumfahami naomba details zake. Sitaki ajielezee yeye mwenyewe maana anaweza kuweka na masala kwenye chai yake. Naomba kwa anayemfahamu gudume anipe faili lake.
Lakini kama kuna mwanaume mwingine ngangari aweke hapa details zake na ushahidi. Huyu sister hapend love stories na utozi. Ni lidada lizuri ila amekua na sisi wanaume watano wa kike peke yake.
So anapenda ubabe flani hivi na anajiamini sana ila akichimbwa biti kali anaogopa. Mi mwaka jana tu nilimchapa kibao.
Nilishangaa alikuja kuniomba msamaha baadaye na kusema anajisikia raha amepata kaka wa nguvu. Dume hasa. Nikakumbuka stories za gudume.
Nmeangalia angalia humu ndani mmeona kuna jamaa anaitwa GuDume nani anamfaha huyu jamaa? Ili nimuunganishe na sister ikiwezekana amzalishe tu ili dada aache dharau kwa wanaume.
Mwenye kufahamiana na gudume au mwenye kumfahami naomba details zake. Sitaki ajielezee yeye mwenyewe maana anaweza kuweka na masala kwenye chai yake. Naomba kwa anayemfahamu gudume anipe faili lake.
Lakini kama kuna mwanaume mwingine ngangari aweke hapa details zake na ushahidi. Huyu sister hapend love stories na utozi. Ni lidada lizuri ila amekua na sisi wanaume watano wa kike peke yake.
So anapenda ubabe flani hivi na anajiamini sana ila akichimbwa biti kali anaogopa. Mi mwaka jana tu nilimchapa kibao.
Nilishangaa alikuja kuniomba msamaha baadaye na kusema anajisikia raha amepata kaka wa nguvu. Dume hasa. Nikakumbuka stories za gudume.