Kyawanjubu
JF-Expert Member
- May 13, 2017
- 2,452
- 2,197
Kwanini umtaftie yy hawaoni anaowataka?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna kaka anayependa dadaake ateseke. Kama umeona gudume anafaa, basi sawaKuna sister tupo naye ktk family inashangaza sana. Ni mzuri ana kazi na anaishi kwake. Si malaya ila nmemsoma anahitaj mwanaume mbabe na mwenye kujiamini. Aliwah kuwa na mwanaume mmoja ambaye alimpenda sana after sometime akaja kunambia yule mwanaume amepoa sana. Si mwanaume wa kiafrika. Cool mpaka anaboa.akamwacha.
Nmeangalia angalia humu ndan mmeona kuna jamaa anaitwa GuDume nani anamfaha huyu jamaa? Ili nimuunganishe na sister ikiwezekana amzalishe tu ili dada aache dharau kwa wanaume.
Mwenye kufahamiana na gudume au mwenye kumfaham naomba details zake. Sitak ajielezee yeye mwenyewe maana anaweza kuweka na masala kwenye chai yake. Naomba kwa anayemfaham gudume anipe fail lake.
Lakini kama kuna mwanaume mwngine ngangari aweke hapa details zake na ushahidi. Huyu sister hapend love stories na utozi. Ni lidada lizuri ila amekua na sisi wanaume watano wa kile peke yake. So anapenda ubabe flan hivi na anajiamini sana.ila akichimbwa bit kali anaogopa. Mi mwaka jana tu nlimchapa kibao. Nlishangaa alikuja kuniomba msamaha baadaye na kusema anajisikia raha amepata kaka wa nguvu. Dume hasa. Nikakumbuka stories za gudume.
Hongera kwa kuonekana una sifa za kumtuliza dada wa mtunimetajwa sana huku. Mimi sidhan kama ndo nayaweza manungayembe. kama lidada lako limetulia haina shida ila isiwe nalo halina utulivu. mimi mbona mpole sana.. chizi nadhan ukiaanza kutumia dawa utapata maarifa kuwa mimi si mkorofi. ni mtu wa dini sana.. mlete dada yako nihangaike naye hata kwa mwezi mmoja tu. haina shida. na kama kuna mwingine pia ana dada yake amlete tu NASEMAAJE HAPA NIHANGAIKE NAYE.
Hakuna anae kuchukia mkuu; watu wameona hauko kolifaid, maan huwa ukipigwa ushuzi kule ofisini unakimbilia huku. Tehe tehe teh.KUNA WATU WANANICHUKIA SANA HUMU JAMIIFORUMS. NAWAONA TU
Vipi wale wanaopigwa ushuzi?MURA SASA UNAINGIA MUSOMA/MARA" JIHADHARI. huyo dada aletwe tu... unajua baadhi ya wanaume dar wanatuangusha sana. mimi kila baada ya miezi miwili narudi musoma wazaz wanataka wakanikague kama nimeacha asili au vipi so naenda kunoa makali. nisiwe kama wale wanaume ambao wananyanyaswa na wake zao.
Si ajabu wewe ndio GuDume mwenyewe
Hivi yule Jamaa anaejiita General Galadudu yupo humu??
Hakuna anae kuchukia mkuu; watu wameona hauko kolifaid, maan huwa ukipigwa ushuzi kule ofisini unakimbilia huku. Tehe tehe teh.
Vipi leo bidada hajaja kukupiga ushuzi?
Mkuu ninikuheshimu lugha uliyo tumia sio sahihi nadhani tukiheshimiana inaleta undugu zaidi kuliko kuandika maneno makali kiasi hiki