: gari+ kumegana + liyumba = ????
Mwambie dadakoaendelee ru.....then unam-blackmail baadae.....atakuwa anakupa hela milele. Unakuwa kama sio mjasiriamali.
Mjini hapa! Mi hapo nshaona pesa wewe unaona nini? Biashara hiyo.....changamka.
Noted!I am sorry but I just like to keep it one hundred...if you don't like it skip it and keep it moving.
Msimkatishe tamaa bandugu. Hivi angaza si bado ipo? Aka do the needful pale aone kama hajaliyumbiwa. Manake: gari+ kumegana + liyumba = ????
Mmenifariji wana JF. Kumbe wanandoa wengi, hata kina mama mnachukia tabia za namna hii.
Huku maofisini wakware wengi hata sio mabosi peke yao, wengine vihela vya kuunga unga tu unakuta wanapelekesha wake za watu, inaniuma sana nahofia hata wangu anaweza kunaswa. Imekuwa kama normal life style, loh!!
huyo bosi sio **** wa kutoa gari kabla hajapewa mambo, kuna possibility kubwa sana alishatoa vyote ila hawezi kukwambia kwamba kashatoa. uila tu inawezekana sasa hivi anafeel guilt tu. sorry, ndo nionavyo mie.
sorry jina ni Ngonzi sio Ngozi majibu nitayaleta baada ya kumshauri hapa hapa ili mjue ushuri wenu umefanya kazi kiasi gani ahsanteni pia kwa ushuri yoote nimyazingatia nitamueleza kama wengi mliyvoshauriNgozi tuletee majibu ya dadaako!
Nadhani, asikubali kabisaa, maana yawezekana ndiyo mwisho wa maisha yake na wala siyo ya ndoa tu. Kwani bosi amemwona yeye tu? Ameshawaona wengi na ukweli ni kwamba ameshawamega kihivyo hivyo. Cha muhimu ni kwamba dada yako atoe angalizo kwenye kituo cha polisi na kwa lawyer wake, incase huyo bosi atamfanyia ubaya wowote yeye au mume wake wapate pa kuanzia, lakini ni vizuri amwambie bosi wake kuwa kwa sasa hayupo tayari kumegwa naye. Time will always tell, she will uncover something fishy not in a long run!!!!!!
Umeonaaaeeee!!
Anywayz......kama ingekuwa mwanaume ndo anahongwa na boss mwanamke ingekuwaje? Tehe tehe
Mi gari ningechukua, safari ningekwenda na shughuli nampa ya maana Tu......then naomba TiGo au nalazimishia. Akigoma namwambia basi bana....mi huko ndo napapenda zaidi coz huku mbele hata my wifey anayo na nitamu sana Tu.
Ni jana tu kanisimulia alianza kwa kumpa safari za kila mara, akamuongezea bonus zake, short cause kwake hazikauki dada akawa haelewi kuna nini. Mwisho wa yote akamtamkia live na akamwambia anampenda na wala acwe na haraka yakujibu aende akafikiri akiwa tayari atamuambia jana akanunuliwa gari na amekabidhiwa ufunguo na kadi yake, dada yangu ameolewa na ana familia nzuri ya watoto 2 na mume wake anafanya kazi ya kwaida tu ya kuajiliwa ktk kampuni binafsi, ila kwa muda mfupi maisha yamependeza. wana JF nisaidie nimshauri vp? huyu dada yangu? yuko njia panda ndoa anaipenda na anampenda mume wake ila boss anawawezesha