shiumiti
JF-Expert Member
- Jun 4, 2009
- 435
- 19
Huyo Dada kwa kweli anatudanganya sisi kama watoto wadogo. Kwanza atakuwa ameshaliwa zamaniiii!!!!
We mpaka boss wako akupe gari, na yeye anapokea...ni hatua ambayo ilishaanza mbali sana huko nyuma.... Asidanganye wana JF.
Kwa kumsadia tu, na kama anataka kweli kuwa huru na usumbufu wa huyo boss wake, arudishe gari...
We mpaka boss wako akupe gari, na yeye anapokea...ni hatua ambayo ilishaanza mbali sana huko nyuma.... Asidanganye wana JF.
Kwa kumsadia tu, na kama anataka kweli kuwa huru na usumbufu wa huyo boss wake, arudishe gari...