Dada yangu na boss wake

Huyo Dada kwa kweli anatudanganya sisi kama watoto wadogo. Kwanza atakuwa ameshaliwa zamaniiii!!!!
We mpaka boss wako akupe gari, na yeye anapokea...ni hatua ambayo ilishaanza mbali sana huko nyuma.... Asidanganye wana JF.

Kwa kumsadia tu, na kama anataka kweli kuwa huru na usumbufu wa huyo boss wake, arudishe gari...
 


Isije ikawa ni wewe mwenyewe ila unaogomba kuitwa mchimba madini humu???
 

Nimegonga kabatani kabisa kwa vyointi vilivyomwagwa hapa na hapo kwenye bold umenikumbusha mbali sana 1986! :becky::becky:
 

kitakacho fuata ni yule mume akijifanya kufuatilia , atapigwa sumu au kutegeshewa majambazi/ajali. Hivi vipo sana bongo hii believe it or not!
 
sorry jina ni Ngonzi sio Ngozi majibu nitayaleta baada ya kumshauri hapa hapa ili mjue ushuri wenu umefanya kazi kiasi gani ahsanteni pia kwa ushuri yoote nimyazingatia nitamueleza kama wengi mliyvoshauri


Kale kabatani kwako wamekafuta but hia yu a seknyuuu veri mach
 
kitakacho fuata ni yule mume akijifanya kufuatilia , atapigwa sumu au kutegeshewa majambazi/ajali. Hivi vipo sana bongo hii believe it or not!

Tupe kisa cha mfano!

Ndo maana huko juu mie nilisikitika sana kuhusu hali ya semegi; HAJUI? ANAJUA? Kama anajua anajisikiaje anaishije! aah yaani maswali millioni!

Wale wakristo wanamamombi tuwaweke wanandoa hawa kwenye uso wa Mungu awarehemu dhahama iliyowafika; but sijaua ndoa yao ilifungwa wapi Ngonzi?
 

sawaaaaaaaaaaaaaaaaa!!!!!

Ngonzi huyo dada huyo taratibu tu atakwambia uchafu wake wooooooooooooooooote alofanya n ahuyo firauni mwenzie!!!! hapo kaficha kitu kikubwa tu ndani ya maelezo yake kwako.......
 
jamani jamani shangazi maji yamemfika rohoni ndio anasema :yuck:
 
kabisa kabisa, coz nina uwezo wa kuwa na langu bac hilo lingine clihitaji, pili bado naipenda sana ndoa yangu so nipo tayari kuiharibu/ipoteza....umenimanya?

aah wapi, kakumanya ndili ayu!
 
dunia ya sasa ilivyo utashangaa kukuta mume nae anajua ila kauchuna anatamani hilo gari....
hii dunia hiii..................
 
Na TIGO katoa........

kweli Ngonzi ni mdogo ndo maana kadanganywa!!!

haingii akilini eti boss (most probably ni mume wa mtu) akupe tu gari anakutongoza....aaah wapi, atakuwa kaliwa vingi dadaake mtu!!!

''nothing goes for nothing''...........
ampe tu afu ajifikirie jibu atatoa siku nyingine...............my foot!!
 
umasikini ugonjwa mbaya saaaana......
ufakiri ni kama ukafiri.....vitabu vya dini vinasema........
 

una mapepo wewe!
 
umasikini ugonjwa mbaya saaaana......
ufakiri ni kama ukafiri.....vitabu vya dini vinasema........

It is expensive to be poor...nasikia ni Maneno ya Mwalimu; hebu ona umasikini umemfanya aiuze furaha ya kweli na matumaini yake ya baadaye kwa kagari si ajabu ka-nadia ambako hata kule ukweni Kimanzichana hakafiki; kweli akili ni nywele na hizi mnazobandika ndo zinawapa maruhani kabisaaaaaaa; ivi ni gari gani kahongwa? Isije kuwa Vogue............
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…