Dada yenu nawaomba sana ndugu zangu Msaada wenu kupata kazi Nje ya Nchi

Dada yenu nawaomba sana ndugu zangu Msaada wenu kupata kazi Nje ya Nchi

Utagharamia application fees mara nyingi ni $100.

Kutuma documents zako, kama wanataka original then itabidi utumie DHL au FEDEX.

Visa yenyewe sijui sasa ni shingapi.

Bank statement usiwaze zinachakachuliwa tu.

Na nauli. Ukifika kiwanja hamna kinachoshindikana, watu wanafika leo na asubuhi wanaamkia box hata njia bado hawaijui.

Kila la kheri.
Mkuu nipe muongozo kidogo hapo sijaelewa hapa ni kuhus nchi ya Canada? Na kupata chuo unapataje mkuu? Link Gani yenye vyuo ambavyo waweza kuomba na having mambo mengi mara English language certificate, mara DRE, mara ILETS sijui ..na mambo kama hayo maana hapa ndio mikwamo inaanzaga
 
Pole sana dada yangu, nchi za kiarabu ndio zingekufaa zaidi, na kutimiza malengo yako, na sio nchi za ulaya na amerika utaishia kubeba mabox, huko hapafai ni risk kwako piaa, na isitoshe nchi za kikafiri hizo na wewe ni binti wa kiislamu na huko uendapo hakuna ndugu ambae atakustiri kwake, utaishia kutangatanga mwisho wa siku wajomba wanapita na wewe,,, Allah atafanya wepesi ukhuti.

Kule uarabuni ndio pangekufaa zaidi endapo wasingezuia wadada wa kazi, mshahara wa housegirl laki 5-6 mpaka 9,,,, wakati hapa kwa kisomo chako sizani kama wangekulipa ata laki 3.

Ushauri wangu, peleka maombi kampuni yoyote hapa kwetu, especially kampuni ya azam, dangote, GSM or vituo vya mafuta,, na usichague kazi ukhuty. Kazi yoyote wewe fanya tu ilimradi iwe na masilahi na ya halali vilevile,, kwa uwezo wa Allaah utapata kazi.

Ushauri wangu,,kama ulaya huna ndugu wa kukupokea na kukuhifazi achananako, fanya hapahapa kalibu na ndugu.

🤣 🤣 🤣 waarabu wote ndoto zao ni kuishi kiwanja 🇺🇸 au Ulaya. Wakiwa kwao wanakandia ila wakipata nafasi wote wanakimbilia mbele, lini umesikia msomali kazamaia Saudia au arabuni akaacha kwende mbele? Wa Syria na wa Iraq wote wanataka kwenda mbele hawataki kabisa kusikia habari za kupelekwa nchi za ndugu zao that alone should tell you something.

Laki 9 kwa mwezi nayo unaona pesa wakati mbeba box kiwanja anaingiza hiyo kwa wk easily.

Hao unaoita makafiri ndo wanaongoza kwa kuzingatia haki za binadamu, mtu una uhuru wa kufanya chochote na kuwa yeyote kwa kujudi zako tu. Tuambie hata waislam walioenda arabuni wameishia wapi? Mbongo gani kaenda arabuni katoboa zaidi ya kuwa housemaid tu? Kiwanja wabongo kibao wanafanya kazi za maana hata kama walianzia kubeba box.

Aidha nadhani umesikia kilio cha human rights violations nchi za kiarabu. Uliza wadada waliorudi toka Oman na Dubai kama wanataka kurudi tena huko uwasikie.

Tofauti ya mbele na arabuni ni mbingu na ardhi.
 
🤣 🤣 🤣 waarabu wote ndoto zao ni kuishi kiwanja 🇺🇸 au Ulaya. Wakiwa kwao wanakandia ila wakipata nafasi wote wanakimbilia mbele, lini umesikia msomali kazamaia Saudia au arabuni akaacha kwende mbele? Wa Syria na wa Iraq wote wanataka kwenda mbele hawataki kabisa kusikia habari za kupelekwa nchi za ndugu zao that alone should tell you something.

Laki 9 kwa mwezi nayo unaona pesa wakati mbeba box kiwanja anaingiza hiyo kwa wk easily.

Hao unaoita makafiri ndo wanaongoza kwa kuzingatia haki za binadamu, mtu una uhuru wa kufanya chochote na kuwa yeyote kwa kujudi zako tu. Tuambie hata waislam walioenda arabuni wameishia wapi? Mbongo gani kaenda arabuni katoboa zaidi ya kuwa housemaid tu? Kiwanja wabongo kibao wanafanya kazi za maana hata kama walianzia kubeba box.

Aidha nadhani umesikia kilio cha human rights violations nchi za kiarabu. Uliza wadada waliorudi toka Oman na Dubai kama wanataka kurudi tena huko uwasikie.

Tofauti ya mbele na arabuni ni mbingu na ardhi.
Mkuu arabuni wengine waanatumia kama njia TU ya kutoboa mbele uko, Kuna watu wamefanya hivyo na wamefanikiwa.
 
waarabu wote ndoto zao ni kuishi kiwanja 🇺🇸 au Ulaya. Wakiwa kwao wanakandia ila wakipata nafasi wote wanakimbilia mbele, lini umesikia msomali kazamaia Saudia au arabuni akaacha kwende mbele? Wa Syria na wa Iraq wote wanataka kwenda mbele hawataki kabisa kusikia habari za kupelekwa nchi za ndugu zao that alone should tell you something.

Unadhani waarabu ni walee wamatumbi washamba washamba wakifika huko marekani wanajiona kama wapo peponi 😁 astaghfirullah

Saudia au arabuni, ni wapi huko tena? 😁 kumbe kuna nchi inaitwa arabuni!!😁 kwa taarifa yako tu huko uarabuni kuna kila aina ya makabila/jamii mbali mbali kutoka afrika, asia, amerika na ulaya wanapiga kazi katika makampuni, maduka n.k, hususani emirates, oman, Qatar, kuwait n.k. kazi za ndani zinafanywa na wadada tuu, wengine wametokea kenya wamesoma lakini wanapiga kazi za ndani na mshahara wanalipwa mkubwa.


Kuhusu haki za binadamu, unataka kusema nchi za kiarabu hakuna haki za binadamu!! Acha uongo kijana, hujaishi huko ndio maana. Kule wanafuata sheria usifikiri kama huku bongo n.k,,,kuhusu mauwaji ya kila mara ya black Americans, je! Ushawahi kusikia nchi za kiarabu watu kutoka mataifa mengine+ blacks wakishutiwa? Endelea kupotosha


Suala la kurudi kutoka hizo nchi, lazima kuna sababu kijana,, sio wajinga wawarudishe.

Tatizo lenu wagalatia wengi wenu mmewakalia kooni waarabu, kila upande mnawachukia, hata kwenye mpira mnaleta ubaguzi 😁 dah!!

Piga uwa garagaza waarabu wapo juu sana.mbali na hilo waarabu wengi wao wana utu, imani, roho nzuri na wakarimu.

Nawapenda sana waarabu, na jamii zote ulimwenguni.
 
Unadhani waarabu ni walee wamatumbi washamba washamba wakifika huko marekani wanajiona kama wapo peponi 😁 astaghfirullah

Saudia au arabuni, ni wapi huko tena? 😁 kumbe kuna nchi inaitwa arabuni!!😁 kwa taarifa yako tu huko uarabuni kuna kila aina ya makabila/jamii mbali mbali kutoka afrika, asia, amerika na ulaya wanapiga kazi katika makampuni, maduka n.k, hususani emirates, oman, Qatar, kuwait n.k. kazi za ndani zinafanywa na wadada tuu, wengine wametokea kenya wamesoma lakini wanapiga kazi za ndani na mshahara wanalipwa mkubwa.


Kuhusu haki za binadamu, unataka kusema nchi za kiarabu hakuna haki za binadamu!! Acha uongo kijana, hujaishi huko ndio maana. Kule wanafuata sheria usifikiri kama huku bongo n.k,,,kuhusu mauwaji ya kila mara ya black Americans, je! Ushawahi kusikia nchi za kiarabu watu kutoka mataifa mengine+ blacks wakishutiwa? Endelea kupotosha


Suala la kurudi kutoka hizo nchi, lazima kuna sababu kijana,, sio wajinga wawarudishe.

Tatizo lenu wagalatia wengi wenu mmewakalia kooni waarabu, kila upande mnawachukia, hata kwenye mpira mnaleta ubaguzi 😁 dah!!

Piga uwa garagaza waarabu wapo juu sana.mbali na hilo waarabu wengi wao wana utu, imani, roho nzuri na wakarimu.

Nawapenda sana waarabu, na jamii zote ulimwenguni.


🤣🤣🤣🤣 muulize mtu yeyote anataka kwenda mbele au uarabuni haijalishi anatokea wapi utapata jibu, case in point huyu dada hapa. We mwenyewe unataka kwenda kiwanja 😂
 
Mkuu arabuni wengine waanatumia kama njia TU ya kutoboa mbele uko, Kuna watu wamefanya hivyo na wamefanikiwa.

I agree and that was my point, kila mtu anataka kwenda mbele arabuni huwa ni stepping stone au plan B baada ya plan ya kufika mbele kufeli.
 
Mkuu nipe muongozo kidogo hapo sijaelewa hapa ni kuhus nchi ya Canada? Na kupata chuo unapataje mkuu? Link Gani yenye vyuo ambavyo waweza kuomba na having mambo mengi mara English language certificate, mara DRE, mara ILETS sijui ..na mambo kama hayo maana hapa ndio mikwamo inaanzaga


Mkuu vyuo vingi vinataka hizo certificates sio rahisi kukwepa hiyo requirement. Ukifanya hizo exams unajiongezea wanja wa kupata vyuo huwa ni rahisi tu. Kwa vyuo vichache hasa colleges havina kigezo cha hiyo mitihani huwa wanataka uandike essays unakuja kukuta bado ishu ipo pale pale. Sina orodha ya vyuo kichwani itabidi ufanye some research ila I'd say fanya hizo exams itafungua milango mingi.
 
🤣🤣🤣🤣 muulize mtu yeyote anataka kwenda mbele au uarabuni haijalishi anatokea wapi utapata jibu, case in point huyu dada hapa. We mwenyewe unataka kwenda kiwanja 😂

😁😁 mishahara wanayolipwa wafanyakazi katika makampuni ya mafuta uarabuni ni mkubwa sana ukilinganisha na marekani/ulaya. Mtu anapiga hadi USD 5000, 15000 na kwendelea per month, and kwa mwezi anafanya kazi 2 weeks, na mbili zingine anapumzika, so anajikuta kwa mwaka anaitumikia kampuni miezi 5. Je marekani wanafanya hivyo? wanawalipeni ngapi ninyi wabeba mabox huko? Mbali na hiyo kazi, je! Kuna kampuni yoyote inamlipa mgeni kiasi hicho cha pesa? Waarabu wana hela mzee, na hawana rasilimali nyingi kama kwetu lakini wanajua kuitumia,, na Mungu amewabariki sana hao watu, kwa ukarimu wao, roho zao, utu na ndio maana Mungu anawainua.
 
Mkuu arabuni wengine waanatumia kama njia TU ya kutoboa mbele uko, Kuna watu wamefanya hivyo na wamefanikiwa.

😁😁😁😁😁 mtu anafanya kazi kampuni ya mafuta anapiga per month Usd 5000 mpaka 15000 kwa wengine na anapata mapumziko marefu,, so atakie nini kwenda kwa makafiri huko 😁😁 wamatumbi walioenda marekani waulize wanalipwa ngapi salary, na wanaitumikia muda gani kampuni bila kupumzika?? Waarabu waheshimiwe, wana utu sana na wakarimu, na hawameneji makampuni yao kiswahili swahili.
 
😁😁 mishahara wanayolipwa wafanyakazi katika makampuni ya mafuta uarabuni ni mkubwa sana ukilinganisha na marekani/ulaya. Mtu anapiga hadi USD 5000, 15000 na kwendelea per month, and kwa mwezi anafanya kazi 2 weeks, na mbili zingine anapumzika, so anajikuta kwa mwaka anaitumikia kampuni miezi 5. Je marekani wanafanya hivyo? wanawalipeni ngapi ninyi wabeba mabox huko? Mbali na hiyo kazi, je! Kuna kampuni yoyote inamlipa mgeni kiasi hicho cha pesa? Waarabu wana hela mzee, na hawana rasilimali nyingi kama kwetu lakini wanajua kuitumia,, na Mungu amewabariki sana hao watu, kwa ukarimu wao, roho zao, utu na ndio maana Mungu anawainua.
5000$ kwa kupiga deki choo kwenye kampuni ya mafuta ama? Hiyo salary ya 5k-15k$ ni kwa position zipi?
 
Nashukuru sana kwa mawazo yako Kiongozi

Ninashida sana yaan saana mpaka kujitosa kuandika hapa Mtoto wakike sio jambo dogo, kutokana na tafiti ndogo nilizozifanya mitandaoni Asia wanasema Waarabu wanyanyasaji sana na malipo yao ni finyu kupita kiasi, hizo ni tafiti nilizoziona mitandaoni wakisema

Na kwa upande wa Americans opportunities ziko nyingi sana kikubwa ujitume tu na ustick kwenye malengo yako

Na kama ikiwa ngumu kwa America ntaenda ata huko Asia iwe kama starting point kwangu, naweza nikiwa huko nikapata connections za kwenda America na ikawa ni kama sehem ya kutimia kwa Ndoto zangu🙏

Naomba sana MWENYEZI MUNGU amguse mtu anisaidie kwahili na tuandikishiane nikishafika na kuanza kazi Pesa zake zote nimlipe kwa maandishi kabisa ili awe huru na apate amani ya kutodhulumiwa🙏
Nimekuelewa sana.kuna siku nilikuwa ninataka kuondoka kama wewe mpaka pass nikawa nayo. Kitu ambacho niligindua hakuna binadamu wa kukusaidia bure, anawaza anakusaidia na yeye atafaidika na nini?

Mtu ambae anaweza kukusaidia kama unavyosema, lazima atangulize ngono. Ukikubali ngono itakuwa rahisi sana.

Sasa uamue ku risk maisha yako au otherwise.

Kama huyo mtu ushampata basi hongera bila mwisho wa yote utamlipa ngono.

Kuna player mmoja namfahamu kupitia kusimuliwa na mtu hizo kazi anazifanya ila mpaka kwanza akutumieeeee na mwisho hawezi kukuoa wala nini. na safari hakuna.Na lazima uwe mzuri haswaaa.

Dada ni bora kuteseka ukiwa nchini kwako kuliko nchi za watu.ukiwa na shida unawaza ni rahisi kwenda ila shida zikipungua utaona bora bongo.

Kuna kampuni zinazofanya hizo connection , ila nazo sio za kuamini maana wakifika huko wanakuuza unakuwa wa ngono tu.

Kwa maelezo yako humu kuna watu wenye kampuni zao hapa bongo wana uwezo wa kukulipa hata laki 5. Hawa kwa sasa ndo wanakufa.

Sikukatishi tamaa ila mtu ambae anaweza kukusaidia ufike ulaya bila misukosuko ni ndugu yako tu.hawa wengine ngono inakuhusu.

Kama wewe ni ni kama mimi ambae nina uoga wa ngono na mijitu ya ajabu kisa ikusaidie, naona ulaya inakushinda.

Btw ushaondoka?
 
5000$ kwa kupiga deki choo kwenye kampuni ya mafuta ama? Hiyo salary ya 5k-15k$ ni kwa position zipi?

Achana na kupiga deki kijana, hapo namaanisha kwenye position za juu ,,, kupiga deki na kusafisha vyoo wahindi wanazifanya hizo kazi.
 
Achana na kupiga deki kijana, hapo namaanisha kwenye position za juu ,,, kupiga deki na kusafisha vyoo wahindi wanazifanya hizo kazi.
Salary ya kupiga deki ni sh ngapi? Fanya hivi mbeba box wa marakeni analipwa sh ngapi na mbeba box wa Uae analipwa sh ngapi? Pia hizo position za juu marekani wanalipwa sh ngapi ukifananisha na za Uae (5-15k$).
Nadhani hiyo itakuwa fare comparison.
 
Salary ya kupiga deki ni sh ngapi? Fanya hivi mbeba box wa marakeni analipwa sh ngapi na mbeba box wa Uae analipwa sh ngapi? Pia hizo position za juu marekani wanalipwa sh ngapi ukifananisha na za Uae (5-15k$).
Nadhani hiyo itakuwa fare comparison.

Hapo umeongea point
 
asalam alyekum fatma vp mbn ujatupa feed back kana umepata au
lah...kama umekosa kabsa ipo nafasi ya kuondoka kwenda ASIA ila kama tyr pasapport zako ziko
tyr...sihitaji chvhte kutoka kwako??
utanishukru baadae...!!
 
asalam alyekum fatma vp mbn ujatupa feed back kana umepata au
lah...kama umekosa kabsa ipo nafasi ya kuondoka kwenda ASIA ila kama tyr pasapport zako ziko
tyr...sihitaji chvhte kutoka kwako??
utanishukru baadae...!!
Towa ufafanuzi ni Asia sehemu gani na kifanya kazi gani na malipo yakoje ..usije enda muuza mdada wa watu akati bado yupo kwenye hustling.
 
Habari zenu naitwa emmanuel paul nina shahada ya kwanza ya ualim naomba msaada kama kuna mtu yoyote mwenye connection ya kwenda nchi za uarabuni anisaidie naitaji kwenda kuangalia fursa za kazi
 
asalam alyekum fatma vp mbn ujatupa feed back kana umepata au
lah...kama umekosa kabsa ipo nafasi ya kuondoka kwenda ASIA ila kama tyr pasapport zako ziko
tyr...sihitaji chvhte kutoka kwako??
utanishukru baadae...!!
Nipo tayr mkuu
 
Back
Top Bottom