Dada zangu hii style ya mapenzi ni hatari, unaweza muua mpenzi/mumeo kwa raha

Dada zangu hii style ya mapenzi ni hatari, unaweza muua mpenzi/mumeo kwa raha

Hata wanawake wanafanye nini hatuwez kukimbia mvua ni lazima inyeshe kinachopaswa ni uaminifu na kulidhishana tuu
 
GuDume unafanya kazi gani ndugu yangu??????? tunaweza kuonana? kama hutojali nitumie namba yako pm brother.😀
 
mi nafanya kazi mbalimbali .... hamna shida namba ya simu ntakutumia tu ngoja ninunue simu maana kwa sasa sina simu.
GuDume unafanya kazi gani ndugu yangu??????? tunaweza kuonana? kama hutojali nitumie namba yako pm brother.😀
 
  • Thanks
Reactions: MC7
mkuu
Hio kitu labda demu kama vanessa mdee ndio itamfaa.

Wale wa mizigo iliojazika ne'ema za Allah mnaweza kujikuta mmechanwa chanwa na hilo pangaboi baada ya lenyewe kuwashukia kitandani.

Naamini huwezi ning'iniza zaidi ya kilo 40 kwa feni lisidondoke chini...maishaa!!!
jf ina thread za ajabu sana muda mwingine,hahahahha
 
Siku ukin'goka na hayo mapanga ndo utajua makinikia yana rangi gani
 
Back
Top Bottom