Dada zangu hii style ya mapenzi ni hatari, unaweza muua mpenzi/mumeo kwa raha

Hata wanawake wanafanye nini hatuwez kukimbia mvua ni lazima inyeshe kinachopaswa ni uaminifu na kulidhishana tuu
 
GuDume unafanya kazi gani ndugu yangu??????? tunaweza kuonana? kama hutojali nitumie namba yako pm brother.😀
 
mi nafanya kazi mbalimbali .... hamna shida namba ya simu ntakutumia tu ngoja ninunue simu maana kwa sasa sina simu.
GuDume unafanya kazi gani ndugu yangu??????? tunaweza kuonana? kama hutojali nitumie namba yako pm brother.😀
 
Reactions: MC7
mkuu
jf ina thread za ajabu sana muda mwingine,hahahahha
 
Mkuu mtakuja kuwa vilema bila sababu ya msingi.
 
Siku ukin'goka na hayo mapanga ndo utajua makinikia yana rangi gani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…