Dada zangu mnavyojichubua ngozi, Mungu anawaona

Dada zangu mnavyojichubua ngozi, Mungu anawaona

bampami

JF-Expert Member
Joined
Nov 5, 2011
Posts
5,699
Reaction score
4,117
Ki ukweli, kwangu mimi hakuna kitu kibaya kwa dada menye ngozi ya kiafrica akajichubua....

Najua Mtanichukia, na kunitukana ILA MUNGU ANAWAONA....


ACHENI KUJIHARIBU SURA

1473107341693.jpg
 
Aise yaani hiyo image hapo ni ya MTU mmoja? Mbona tifauti kabisa? Akienda kwao atajukikana tena? Cream za kujichubua ni iligal kwangu. UK in I chub us sitakuangalia Mara mbili. Ninashikwa kinyaa kabisa.Mbaya ukute ana mabaka usoni ya mkorogo ya wekundu na weusi. Stimu inakata mille.
 
Hahahaa weupe itokee tuu sheikh.

In sheikh kipozeo's voice.


[emoji13]
[emoji13]
[emoji13]
[emoji13]
[emoji13]
Ahhaahahahahahahah haya bana basi nimekukosa maana nikitaka nianze kukufukuzia
 
Ahhaahahahahahahah haya bana basi nimekukosa maana nikitaka nianze kukufukuzia

Hahahaaa, weupe hawakataliwi yakhee. Maombi yao pia yanapokelewa na miye atiii. Nipo tayari kwa kupokea maombi yako. Haswaaa wale wenye neema za allah.

Dah, long live sheikh kipoozeo.
[emoji12]
[emoji12]
[emoji12]
 
Hahahaaa, weupe hawakataliwi yakhee. Maombi yao pia yanapokelewa na miye atiii. Nipo tayari kwa kupokea maombi yako. Haswaaa wale wenye neema za allah.

Dah, long live sheikh kipoozeo.
[emoji12]
[emoji12]
[emoji12]
Nakuachia vyeusi mangalaaa
 
Hahahaaa, weupe hawakataliwi yakhee. Maombi yao pia yanapokelewa na miye atiii. Nipo tayari kwa kupokea maombi yako. Haswaaa wale wenye neema za allah.

Dah, long live sheikh kipoozeo.
[emoji12]
[emoji12]
[emoji12]
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
 
Nakuachia vyeusi mangalaaa

Ila jokes pembeni. Ukiongozana na mpodo barabarani somehow kwa jamii ya waatz heshima inakuwa kubwa.

Pia weupe unaficha mengi, yaani mwanamke akiwa mweupe ubaya wa sura unafichika somehow. ( hapa nazungumzia individual perception ya mtu )
 
Ila jokes pembeni. Ukiongozana na mpodo barabarani somehow kwa jamii ya waatz heshima inakuwa kubwa.

Pia weupe unaficha mengi, yaani mwanamke akiwa mweupe ubaya wa sura unafichika somehow. ( hapa nazungumzia individual perception ya mtu )
Ahahahahahahah ni kweli eeee
 
Back
Top Bottom