Dada zangu mnavyojichubua ngozi, Mungu anawaona

Dada zangu mnavyojichubua ngozi, Mungu anawaona

hii ni kweli kwamba kama watu wawili wana uzuri sawa, mmoja mweusi na mwingine mweupe mara nyingi mweupe ataonekana mzuri zaidi. Ni kweli kwamba weupe unaficha madhaifu mengi. Na ukimuona msichana mweusi na kila mmoja anamuona mzuri basi ujue huyo ni mzuri haswa. Angekuwa mweupe anakuwa moto wa kuotea mbali.
PARADIGM Hata kama, eti kwa sababu tu ya kuonekana ndiyo ulazimishe uonekane?
 
Ivi wakuu na kule makuni kupo kweupe au usoni tu,namna hii unaoa anakuzalia watoto weusi unazani umechapiwa kumbe interior genes zake ni mweusi
 
Mwenye Enzi Mungu ametupa hekima kwenye kila kitu. ...FUNGUKA!
 
Ww demu/mkeo hajajichubua? km jb ni hapana bhas tuma pcha yake ya ss na ya miaka 3 iliyopta ila kama ni ndio bhas kausha nayo...tuanzie hapo
katika picha nilizoambatanisha hapo juu...mmoja wao ni shemeji yako, akiwa katika muonekano tofauti 6years back and now
 
template_1473344191557.jpg
Danny Litembo 20160908_125011.jpg
Mmmh mi hapo acha nimpende tu baada ya kuingia kwenye machine ya kukoboa!Hamna namna
Danny Litembo 20160908_125011.jpg

Shikamoo mchina!
 
Back
Top Bottom