Dada zangu, mtatoboa kweli?

Dada zangu, mtatoboa kweli?

Engager

JF-Expert Member
Joined
Jan 12, 2011
Posts
1,522
Reaction score
3,255
Ukiachilia mbali kwamba idadi ya wanaume duniani inazidi kuporomoka, na kwamba katika hiyo hiyo idadi ndogo iliyopo bado kunawengine wengi wameamua kujikataa na kujifanya wanawake, Lakini bado yanamwagwa haya maroboti. Tena yametengenezwa special kabisa kuwa mke. 'Robot wife' .

Huko mbeleni, wenye ndoto za kuolewa mtatoboa kweli?🙂

20230528_140742.jpg
 
Ukiachilia mbali kwamba idadi ya wanaume duniani inazidi kuporomoka, na kwamba katika...
Je kuna namna gani naweza kufanya ili nipate hi robot wife, pia napenda kujua gharama yake kwasasa, na je lina warrant ya muda gani?

Kwasababu ukiwa na hii kitu utakula papuchi muda wote, utaepuka stress, utaepuka magonjwa, utasave pesa ya kununua mbususu, na hutazeeka mapema, na hutokuwa na muda wa kusaka madawa ya kuongeza nguvu za mkuyunge.

Naombeni msaada kupata robot wife niepukane na punyeto kama dronedrake.
 
Back
Top Bottom