Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
hahaahaaa. itakuwa mdigo huyoHivi vidada ni vipumbavu sana ona hiki
View attachment 3125859
Mkuu mm hapa npo Nawaza hlo gari ni la udongo au Yale ya mabox, siamin km Dunia imefika hatua ya kunichekesha kias hiki...Eti ninunue gari kwa ajili ya mwanamke kisa uchi!,
uchi wenye kwenda service kila mwezi!-HAIWEZEKANI KUBABAKE
Sasa unashangaa nini kudeti na wazaramooo ....kwani ujui wazaramo ndiyo uzaa na miaka 13 au 14 hivyo huyo bibi yake anaweza kuwa na miaka 38 au 45 tuHivi vidada ni vipumbavu sana ona hiki
View attachment 3125859
Eti jamani, chai pilipili afu ya motoAaah! Acheni kutuchota. Yaani kati ya wapenzi wako usijue kabisaaa ni yupi anaweza kutoa zawadi hizo!!!!!
Chai ina pilipili.
Kwani unao wangapi mama, mbona unanipandisha pressure.Aaah! Acheni kutuchota. Yaani kati ya wapenzi wako usijue kabisaaa ni yupi anaweza kutoa zawadi hizo!!!!!
Chai ina pilipili.
Una hoja. Uzingatiwe.Aaah! Acheni kutuchota. Yaani kati ya wapenzi wako usijue kabisaaa ni yupi anaweza kutoa zawadi hizo!!!!!
Chai ina pilipili.
Inaingia kwa taabu na itatoka kwa taabuπEti jamani, chai pilipili afu ya moto
KabisaπUna hoja. Uzingatiwe.
π π π πKichwa chako kama kichwa cha chini ya miguuπ€£
Ulikuwa mfano tu babe, mimi ni wewe tu.Kwani unao wangapi mama, mbona unanipandisha pressure.
Unajua kabisa na upare wangu siwezi hata kukopa laki nikakupa, hivi naanzaje kuwaza CX-5!!π π π π Wewe wapa hutajiuliza, utasema ni yule jamaa yako mwingine, ila nimeshangaa sana bado unatupanga, kweli????Sasa kweli kwa mfano tu zawadi za hivyo zije halafu nimtaje yule mpare ERoni kweli!!! Si hata shetani atanishangaaπ€£π€£π€£π€£
Vipo kadhaa, kua uyaoneππ π π π
Weeeh kumbe vichwa vipo vingiπββοΈπββοΈπ€ͺ
Yaani hata ingekuwa afuhamsini ningehisi tu imetoka kwa baba yangu sio weweπ€£π€£π€£Unajua kabisa na upare wangu siwezi hata kukopa laki nikakupa, hivi naanzaje kuwaza CX-5!!π π π π
Wewe hapa hutajiuliza, utasema ni yule jamaa yako mwingine, ila nimeshangaa sana bado unatupanga, kweli????
Anataka? aliweka?Hivi vidada ni vipumbavu sana ona hiki
View attachment 3125859
Hahaha, inabidi nitume walau ya supu kesho uamkie restaurant. Nongwq zimezidiπ πYaani hata ingekuwa afuhamsini ningehisi tu imetoka kwa baba yangu sio weweπ€£π€£π€£
Babe hakuna jamaaa mwingine, ni wewe tu wangu wa moyoniπππ
xaxa xi unijibu π πEbu andika tena hapa nione