Kabisa Hajar....umeongea kitu kikubwa sana, usitarajie kupewa furaha na binadamu yeyote humu duniani hata mumeo/ mkeo, raha unajipa mwenyewe!Na kweli mwaya ila huenda ikawa ndio anapata ahueni labda. Japo na mie pia nimejikuta namsikitikia tu.
Nakazia Pole kwake. Maisha haya siku zote ukitaka yawe magumu au mepesi mtengenezaji ni we mwenyewe ila ndio hivyo wengi hatulijui hilo.
Kwani na wewe mdogo wangu unaombaga eee? πππππwanapenda kulialia sanaa
[emoji23][emoji23]Haaahaaaa....akaribie tu!
Muagaji maarufu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] unavyoandika kwa kumaanisha sasa
Sasa nishauri tufanyejeUwiiii ...wanaume kama ninyi mmebaki wawili tu Africa hii
Yani Mimi ni huyo apo kwa avatar..jina langu ni Iloilo..kila unachoona ni real hakuna kitu fake hapo
Naomba unifikirie tafadhali
Haaahaaaa[emoji23] [emoji23] [emoji23] ...mbavu zanguUwiiii ...wanaume kama ninyi mmebaki wawili tu Africa hii
Yani Mimi ni huyo apo kwa avatar..jina langu ni Iloilo..kila unachoona ni real hakuna kitu fake hapo
Naomba unifikirie tafadhali
Haya banaSio vibaya kama sizijui hizo kona,,, nikizijua lazima nizifikie
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Hahahaa. Sijui kwa nini moyo wangu unakataa hii kauli.
Sababu naona pesa inapatikana kwa shida au Mtani kwako ni kinyume.
(Pia Mtani hizo pesa au wasemea zile buku buku za kujiunga vifurushi vya chuo) [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ahsante sana. Mie sijambo kabisa mdogo wangu namshukuru Allah niko poa?Ni wewe Dada angu
Mie mzima sijui weye
Mhh kanaonekana katoto hakaUnakajua!?...ukute ni lijimama la haja[emoji23] [emoji23] ...si unajua umdhaniye...
Haaha...uwii[emoji86][emoji23][emoji23]
Anataka abembelezwe
Hicho nacho cha kujisifia?Mwanamke anaweza akawa na number 200 za wanaume kwenye simu yake.. na kila mmojae akamuomba buku ya vocha assume 50 wakasema hawana 150 wakakubali 150x1,000= 150,000 kwa siku assume anaomba mara tatu kwa week 150,00x3=450,000 kwa week...
Wanaume tuzinduke
akuuu wewe njaa kwiyo mambo ya kuchuna tutUnakuta umekutana na mdada mtanashati mkabadikishana namba za simu, wengine hata siku haijaisha mmeanza kuchati kidogo tu utasikia.
#Baby mambo, naomba nitumie vocha ya buku jelo
#Baby nitumie buku tatu na mia nane nikanywe supu usingekutana na huyo mwanaume ungekunywa nini?
#Mwingine utamskia, baby nywele zangu zinaniwasha hatari,nitumie 30K niende saluni.
Jamani tunajua hali ni ngumu lakini mnavyojirahisisha sana ndo watu wanawa konki konki halafu mnakuja kulalama baadae.
Sasa umtongoze mwanachuo ndo hatari zaidi, bill zote zinahamia kwako, usipojielewa utajikuta unalipa ada ya chuo na kumgharamia kila kitu.
Wanaume wanapenda wanawake wasiopenda kuombaomba kuna wanaume wakishanza kupata bill zisizoeleweka ndo wanapata sababu ya kuwakimbia na wengine watawavumilia ila wakishakula papuchi hamuwaoni tena.
Tunaelewa njaa ni kali ila nendeni kwa step la sivyo nyeti zenu zitaumia sana.
Si ndio kama ivyo kama nilivyokuambia hakuna fekero hapoSasa nishauri tufanyeje
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Haaahaaaa[emoji23] [emoji23] [emoji23] ...mbavu zangu
Mimi siombagi Dada wanatoaga wenyewe ππ mzima jamani...?Kwani na wewe mdogo wangu unaombaga eee? ππππ
Maana hufananii hata. ππππ
Naona maana hajanijibu bado. ππππHaaahaaaa....itakuwa kakosea sio yako ile
[emoji23][emoji23][emoji23]Ahsante sana. Mie sijambo kabisa mdogo wangu namshukuru Allah niko poa?
Naona umevurugwa na kile kichambo. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hatari sana mdogo wangu.
Wazima huko?
Hamia Malawi tu.Ml 60 ni mmalawi kwa hali hii ya sasa akitokea mtu akatoa au kuahidi hiyo hela simtakufa