Dada zetu acheni kuombaomba, mnajidhalilisha na jifunzeni kuficha njaa zenu

Dada zetu acheni kuombaomba, mnajidhalilisha na jifunzeni kuficha njaa zenu

Na kweli mwaya ila huenda ikawa ndio anapata ahueni labda. Japo na mie pia nimejikuta namsikitikia tu.

Nakazia Pole kwake. Maisha haya siku zote ukitaka yawe magumu au mepesi mtengenezaji ni we mwenyewe ila ndio hivyo wengi hatulijui hilo.
Kabisa Hajar....umeongea kitu kikubwa sana, usitarajie kupewa furaha na binadamu yeyote humu duniani hata mumeo/ mkeo, raha unajipa mwenyewe!

Wahenga wanakwambia " maisha yako" kujitambua na kujielewa ni kitu muhimu mnoo
 
Naona hamna watu wenye a/c za bank hapa mnamiliki za mitandao ya simu
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] unavyoandika kwa kumaanisha sasa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Kwenye pesa..!!! Pesa sabuni ya roho ujue

[emoji13]
 
Uwiiii ...wanaume kama ninyi mmebaki wawili tu Africa hii

Yani Mimi ni huyo apo kwa avatar..jina langu ni Iloilo..kila unachoona ni real hakuna kitu fake hapo


Naomba unifikirie tafadhali
Sasa nishauri tufanyeje
 
Uwiiii ...wanaume kama ninyi mmebaki wawili tu Africa hii

Yani Mimi ni huyo apo kwa avatar..jina langu ni Iloilo..kila unachoona ni real hakuna kitu fake hapo


Naomba unifikirie tafadhali
Haaahaaaa[emoji23] [emoji23] [emoji23] ...mbavu zangu
 
Hahahaa. Sijui kwa nini moyo wangu unakataa hii kauli.

Sababu naona pesa inapatikana kwa shida au Mtani kwako ni kinyume.

(Pia Mtani hizo pesa au wasemea zile buku buku za kujiunga vifurushi vya chuo) [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Mwanamke anaweza akawa na number 200 za wanaume kwenye simu yake.. na kila mmojae akamuomba buku ya vocha assume 50 wakasema hawana 150 wakakubali 150x1,000= 150,000 kwa siku assume anaomba mara tatu kwa week 150,00x3=450,000 kwa week...

Wanaume tuzinduke
Hicho nacho cha kujisifia?
 
Unakuta umekutana na mdada mtanashati mkabadikishana namba za simu, wengine hata siku haijaisha mmeanza kuchati kidogo tu utasikia.

#Baby mambo, naomba nitumie vocha ya buku jelo
#Baby nitumie buku tatu na mia nane nikanywe supu usingekutana na huyo mwanaume ungekunywa nini?
#Mwingine utamskia, baby nywele zangu zinaniwasha hatari,nitumie 30K niende saluni.

Jamani tunajua hali ni ngumu lakini mnavyojirahisisha sana ndo watu wanawa konki konki halafu mnakuja kulalama baadae.

Sasa umtongoze mwanachuo ndo hatari zaidi, bill zote zinahamia kwako, usipojielewa utajikuta unalipa ada ya chuo na kumgharamia kila kitu.

Wanaume wanapenda wanawake wasiopenda kuombaomba kuna wanaume wakishanza kupata bill zisizoeleweka ndo wanapata sababu ya kuwakimbia na wengine watawavumilia ila wakishakula papuchi hamuwaoni tena.

Tunaelewa njaa ni kali ila nendeni kwa step la sivyo nyeti zenu zitaumia sana.
akuuu wewe njaa kwiyo mambo ya kuchuna tut
 
Ahsante sana. Mie sijambo kabisa mdogo wangu namshukuru Allah niko poa?

Naona umevurugwa na kile kichambo. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hatari sana mdogo wangu.

Wazima huko?
[emoji23][emoji23][emoji23]

Dada angu we acha tu..Jf haichoshi ujue

Uku kwema Dada angu
 
Back
Top Bottom