[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mie naongeza wapo wanne tu mdogo wangu. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nimecheka hapo chini lol.
Hahahaaa. Hapo sawa mdogo wangu.Mimi siombagi Dada wanatoaga wenyewe 😀😀 mzima jamani...?
Absolutely, you are right....ukipata stress, utapata magonjwa ya moyo, yatakutesa mwisho utakufa, ....hayo maumivu yako hushei na mtu hivoo ni wewe mwenyewe! Sasa cha kujitesa?..hell no kwangu ntaitafuta furaha yangu popote hata chini ya bahari, lkn si kwa binadamu..Ahsante kwa kuliona hili mwaya. [emoji120][emoji120][emoji120]
Kweli kabisa na ndivyo ilivyo rafiki raha jipe mwenyewe na haipendezi kabisa kuzipa nafasi stress sababu mwisho wa siku zinazalisha magonjwa tu.
Yah. Exactly.
nipo poa kabisaHahahaaa. Hapo sawa mdogo wangu.
Mie mzima kabisa sijui kwako?
Mama boys?[emoji15] [emoji23] ....yupi huyo?Ha ha ha ha yule mama boys au?
Haichoshi hasaaa maana waeza panga uingie na kuchungulia ila utakayokutana nayo yabidi uweke kambi tu ili kuumung'unya ubuyu. 😂😂😂😂[emoji23][emoji23][emoji23]
Dada angu we acha tu..Jf haichoshi ujue
Uku kwema Dada angu
Haaahaaa[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] ...nimecheka mpaka mbavu zimeuma!Kuja siku aliwah kunipostia thread et mchague kati yake na mimi sjui vitu gani ule uzi mods wakautoa nikasema huyu mtoto iko shida mahali sio bure
Sikuuona huo ndugu yangu.Kuja siku aliwah kunipostia thread et mchague kati yake na mimi sjui vitu gani ule uzi mods wakautoa nikasema huyu mtoto iko shida mahali sio bure
Haha ha ha[emoji23] [emoji23] [emoji23] ...huo huo na Mimi nililambwa ban[emoji85]Huyo nimeshamkumbuka...nakumbuka ule Uzi watu wengi walikula ban
Sawa Dada anguHaichoshi hasaaa maana waeza panga uinge na kuchungulia ila utakayokutana nayo yabidi uweke kambi tu ili kuumung'unya ubuyu. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nimefurahi kusikia hivyo mdogo wangu. Acha tupoteze muda kwa kushangaa yanayoendelea jf kwetu.
[emoji23][emoji23]Haha ha ha[emoji23] [emoji23] [emoji23] ...huo huo na Mimi nililambwa ban[emoji85]
Weee apotee wapi?...ana ID mia kidogo![emoji23][emoji23]
Na amepotea siku hizi
Uwiiii ID 10!!!!??mbona anajiwezaWeee apotee wapi?...ana ID mia kidogo!
Mi nazijua zake kama 10 hivi na zote ziko active[emoji23] [emoji23]
Nachekaga what's up ananipaga madongo mpaka nakoma! Mi huwa mbavu sina
Hahahaaaaa. Huyo alikuwa anatuchangamsha tu mdogo wangu sababu hakuna mwanaume anaeza toa pesa kirahisi hivyo hasa kwa kipindi hiki ambacho pesa imekuwa ngumu sana kupatikana.[emoji23][emoji23]
Namimi nakazia wapo wanne tu
Ila na ukweli wote niliomwambia hadi sasa hajatuma eti
Mama boys?[emoji15] [emoji23] ....yupi huyo?
Haya mwaya mdogo wangu niseme tu nimefurahi kukuona leo.Nipo po
nipo poa kabisa