Dada zetu acheni kuombaomba, mnajidhalilisha na jifunzeni kuficha njaa zenu

Dada zetu acheni kuombaomba, mnajidhalilisha na jifunzeni kuficha njaa zenu

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mie naongeza wapo wanne tu mdogo wangu. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Nimecheka hapo chini lol.
[emoji23][emoji23]

Namimi nakazia wapo wanne tu


Ila na ukweli wote niliomwambia hadi sasa hajatuma eti
 
Ahsante kwa kuliona hili mwaya. [emoji120][emoji120][emoji120]

Kweli kabisa na ndivyo ilivyo rafiki raha jipe mwenyewe na haipendezi kabisa kuzipa nafasi stress sababu mwisho wa siku zinazalisha magonjwa tu.

Yah. Exactly.
Absolutely, you are right....ukipata stress, utapata magonjwa ya moyo, yatakutesa mwisho utakufa, ....hayo maumivu yako hushei na mtu hivoo ni wewe mwenyewe! Sasa cha kujitesa?..hell no kwangu ntaitafuta furaha yangu popote hata chini ya bahari, lkn si kwa binadamu..
 
[emoji23][emoji23][emoji23]

Dada angu we acha tu..Jf haichoshi ujue

Uku kwema Dada angu
Haichoshi hasaaa maana waeza panga uingie na kuchungulia ila utakayokutana nayo yabidi uweke kambi tu ili kuumung'unya ubuyu. 😂😂😂😂

Nimefurahi kusikia hivyo mdogo wangu. Acha tupoteze muda kwa kushangaa yanayoendelea jf kwetu.
 
Haichoshi hasaaa maana waeza panga uinge na kuchungulia ila utakayokutana nayo yabidi uweke kambi tu ili kuumung'unya ubuyu. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Nimefurahi kusikia hivyo mdogo wangu. Acha tupoteze muda kwa kushangaa yanayoendelea jf kwetu.
Sawa Dada angu

Tuendelea kushangaa yanayojiri humu
 
[emoji23][emoji23]

Na amepotea siku hizi
Weee apotee wapi?...ana ID mia kidogo!

Mi nazijua zake kama 10 hivi na zote ziko active[emoji23] [emoji23]

Nachekaga what's up ananipaga madongo mpaka nakoma! Mi huwa mbavu sina
 
Jumamos iliyopita nlikua nko maskan nmetulia napiga stor na washkaj mara simu yngu ikaita, kuichek ni mrembo mmoja wa kitambo ambaye kwa bahat mbaya nlikua kwenye mahusiano nae ila ckula "ngumosi" anaitwa fety. Kupokea ananichangamkia kwa bashasha choupa za masiku nkamwambia poa, naweza kukuona leo nkamuuliza kuna nini akasema tu ana maongez fulani na mimi. Nkamwambia poa bas jion nkirud home njoo. Bas around saa 2 naskia sms kwamba nko nje ya geti bas kwenda kumchek ni yeye nkawa najiuliza huyu ana nini leo. Bas stor mbili tatu akaniambia ana shida ya laki 2 nkamwangaliaaaa halaf sikummaliza nkamwambia hii ni option ya ngap kunitafuta mimi akabak anajiuma uma tu pumbav zake. Nkamwambia sina hela labda uombe wengne. Ebo
 
Weee apotee wapi?...ana ID mia kidogo!

Mi nazijua zake kama 10 hivi na zote ziko active[emoji23] [emoji23]

Nachekaga what's up ananipaga madongo mpaka nakoma! Mi huwa mbavu sina
Uwiiii ID 10!!!!??mbona anajiweza


Pole kwa kupigwa madongo [emoji23][emoji23]
Jamani
 
[emoji23][emoji23]

Namimi nakazia wapo wanne tu


Ila na ukweli wote niliomwambia hadi sasa hajatuma eti
Hahahaaaaa. Huyo alikuwa anatuchangamsha tu mdogo wangu sababu hakuna mwanaume anaeza toa pesa kirahisi hivyo hasa kwa kipindi hiki ambacho pesa imekuwa ngumu sana kupatikana.

Ila akikutumia nitag dada yako nije nidhihirishe kauli yake.
 
Back
Top Bottom