Jumamos iliyopita nlikua nko maskan nmetulia napiga stor na washkaj mara simu yngu ikaita, kuichek ni mrembo mmoja wa kitambo ambaye kwa bahat mbaya nlikua kwenye mahusiano nae ila ckula "ngumosi" anaitwa fety. Kupokea ananichangamkia kwa bashasha choupa za masiku nkamwambia poa, naweza kukuona leo nkamuuliza kuna nini akasema tu ana maongez fulani na mimi. Nkamwambia poa bas jion nkirud home njoo. Bas around saa 2 naskia sms kwamba nko nje ya geti bas kwenda kumchek ni yeye nkawa najiuliza huyu ana nini leo. Bas stor mbili tatu akaniambia ana shida ya laki 2 nkamwangaliaaaa halaf sikummaliza nkamwambia hii ni option ya ngap kunitafuta mimi akabak anajiuma uma tu pumbav zake. Nkamwambia sina hela labda uombe wengne. Ebo