Hahahaaaaa. Huyo alikuwa anatuchangamsha tu mdogo wangu sababu hakuna mwanaume anaeza toa pesa kirahisi hivyo hasa kwa kipindi hiki ambacho pesa imekuwa ngumu sana kupatikana.
Ila akikutumia nitag dada yako nije nidhihirishe kauli yake.
Teacher huyo kapagawa balaa.....Uwiiii ID 10!!!!??mbona anajiweza
Pole kwa kupigwa madongo [emoji23][emoji23]
Jamani
Yabidi tuje tuanzishe uzi wa TOKOMEZA STRESS 😂😂😂😂Absolutely, you are right....ukipata stress, utapata magonjwa ya moyo, yatakutesa mwisho utakufa, ....hayo maumivu yako hushei na mtu hivoo ni wewe mwenyewe! Sasa cha kujitesa?..hell no kwangu ntaitafuta furaha yangu popote hata chini ya bahari, lkn si kwa binadamu..
[emoji23] [emoji23] [emoji23] bora angekukopa!Jumamos iliyopita nlikua nko maskan nmetulia napiga stor na washkaj mara simu yngu ikaita, kuichek ni mrembo mmoja wa kitambo ambaye kwa bahat mbaya nlikua kwenye mahusiano nae ila ckula "ngumosi" anaitwa fety. Kupokea ananichangamkia kwa bashasha choupa za masiku nkamwambia poa, naweza kukuona leo nkamuuliza kuna nini akasema tu ana maongez fulani na mimi. Nkamwambia poa bas jion nkirud home njoo. Bas around saa 2 naskia sms kwamba nko nje ya geti bas kwenda kumchek ni yeye nkawa najiuliza huyu ana nini leo. Bas stor mbili tatu akaniambia ana shida ya laki 2 nkamwangaliaaaa halaf sikummaliza nkamwambia hii ni option ya ngap kunitafuta mimi akabak anajiuma uma tu pumbav zake. Nkamwambia sina hela labda uombe wengne. Ebo
Ewaaaaaaa.[emoji23][emoji23][emoji23]
Nitakutag Dada angu shaka ondoa
Hata km nina kaz mwanamke kupewa hera inaleta taste konki....ndo unataka nimalize miez sita bila kula hela ya mr?Kazi anafanya lakini MTU hachoki kuomba omba sijui akili zao zina matatizo gani..
Hivi wewe unajiona unanini kahaba tu jf unajisikia kama unaprivate jet kumbe hata gari hunaUsikariri ndugu....labda inawezekana pia, coz hata jinsi ya kuhandle, analyse, judgment ya vitu imekaa kushoto!
Kuna mmoja yule aliyepata galasa humu tulikuwa tunamchukulia nae ni mtoto, kumbe ni mmama huko 35 na kitu, Ila mambo yake humu, utasema form IV hajamaliza[emoji15]
Teacher huyo kapagawa balaa.....
Ila humu jf kuna watu wana story nyingi sana za uwongo yaan sana, mi simuamini mtu, kitu/ mada inayoletwa hapa jamvini na mtaani tofauti na uhalisia ..ngoja niishie hapa mmmh!
Hivi wewe unajiona unanini kahaba tu jf unajisikia kama unaprivate jet kumbe hata gari huna
Haaahaaaa...twin mbona unazingua? Hebu ngoja nikupe codeMama boys unamjua bana ingawa nimeona sie unaemuongelea
# Tokomeza #stress#...uendembinguniYabidi tuje tuanzishe uzi wa TOKOMEZA STRESS [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Katoto kamekuqote umeona?Haaahaaaa...twin mbona unazingua? Hebu ngoja nikupe code
Yule niliyekuhadithia anajipendekeza kwa jamaa mtaani halafu jamaa anamkwepa? Ndo huyo?
Anapenda kujisifia yy ni mzuri?? Ni huyo?
Kwamba wanaume wanampenda lkn yy hawataki ni huyo??
Kama sio huyu basi simjui twin[emoji23] [emoji23]
[emoji125] [emoji125] [emoji125]
Nakazia# Tokomeza #stress#...uendembinguni
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Haaahaaaa....umefura shost[emoji23] [emoji23]Hata km nina kaz mwanamke kupewa hera inaleta taste konki....ndo unataka nimalize miez sita bila kula hela ya mr?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Hivi wewe unajiona unanini kahaba tu jf unajisikia kama unaprivate jet kumbe hata gari huna
Haaahaaa[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] ...nimecheka mpaka mbavu zimeuma!
Yaan tuchague Madam S vs Katoto kazuri?
Ili iweje sasa?
Sana[emoji23] [emoji23] [emoji23] ...kuna ID yake moja ni maarufu, yaan ni kungwi kabisa jinsi ya kumhandle mwanaume, kumjali , kumthamini, na kwamba ameolewa, mume wake anampenda sana...akapata comments kama 500 hivi, wanaume wanamsifia kwamba atufundishe sisi tusio tii wanaume[emoji23] [emoji23] [emoji23] ...kila nikikumbuka mbavu sina haahaaa[emoji23][emoji23]
Hapo kwenye kupagawa nimemkumbuka Mke mwenzie yule aliyempora bwana
[emoji23][emoji23] yaliyopita yanasikitisha sana
Na kweli humu uongo ni mwingi mno
Sikuuona huo ndugu yangu.
Msamehe bure tu.
Haaahaaaa...kuna kitu ananitafuta huyu, anataka nilimwe ban fala huyoKumekucha