Beeb
JF-Expert Member
- Aug 18, 2018
- 29,394
- 59,069
[emoji23][emoji23][emoji23]
Nitakutag Dada angu shaka ondoa
Nitakutag Dada angu shaka ondoa
Hahahaaaaa. Huyo alikuwa anatuchangamsha tu mdogo wangu sababu hakuna mwanaume anaeza toa pesa kirahisi hivyo hasa kwa kipindi hiki ambacho pesa imekuwa ngumu sana kupatikana.
Ila akikutumia nitag dada yako nije nidhihirishe kauli yake.