Dada zetu acheni kuombaomba, mnajidhalilisha na jifunzeni kuficha njaa zenu

Haaahaaaa.....katoto kazuri kakataza haya mambo[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji79] [emoji125] [emoji125]
Katoto kazuri anaandika vitu ambavyo yeye mwenyewe havielewi.. Naamini hata kama amekataza inawezekana hakuelewa kama kakataza, sisi tuendelee na yetu
 
Nikukanushe hapo kwenye mchumba...sina mchumba humu my dear..na kama unahisi nimekuambia hamnazo sababu nahisi unanichukulia mchumba humu...umechemka
Eheee....umeona anachokiwaza huyu bidada sasa?

Unajua toka kanyang'anywa lile galasa lake kila demu humu anamchukia!

KWA KATOTO KAZURI:

Jamani katoto kazuri humu sisi hatuna wachumba kuwa na amani tu, na aliyekuchukulia hebu tupe codes zake tumtemeshe bwanaako asikupe stress bure ( najua utasoma hapa)
 
Tulia acha uchakubanga tunawato.. Mba na buku mbili sembuse buku kumi
Siku mkijielewa Ndiyo tutaacha kununua K zenu
 
Eh ila wala sijajali couze unayatoa motoni yasikupe presha ila mimi sipendi watu wanaosema watu vibaya ndio maana nawajibu vibaya siku zote ukimjibu mtu vyema utajibiwa vyema.
Unaona sasa?[emoji15] ....eti nayatoa motoni[emoji23] [emoji23]

Sikio la kufa.....
 
Yani huyu jamani...hana tofauti na debe lenye kokoto

Asituchukie bana..apambane tu na mwizi wa galasa lake


[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ushauri mzuri jamani
 
Peleka ujinga huko tena ww utaolewa kule namtumbo mwanamke gan unadharau hivii.... Aaaaarrrggghhh
 
Hakuna kitu kinafikirisha kama mwanaume akuombe hela. Yani unajiuliza huyu ananionaje? Kwamba mimi nina hela au? Mwanaume wangu siku akajiroga kuniomba hela wakati zake sijala ajue anakula buroku la maisha
Acha ubinafsi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…