Dada zetu acheni kuombaomba, mnajidhalilisha na jifunzeni kuficha njaa zenu

[emoji23][emoji23]

Anawakati mgumu sana

Hadi stress ziishe atakua kavamia wengi humu

Atulize tu akili na kuandika vya maana labda wanaume wa jf wanaweza mstiri mwanamke mwezetu
Mmmh....atafute JF tena?[emoji15] [emoji15]

Humu kalamba joka tena jeusi tii

Atulie tu mtaani aweza kufanikiwa, yaani ukikosa mtaani usitarajie kupata in social networks
 
Mmmh....atafute JF tena?[emoji15] [emoji15]

Humu kalamba joka tena jeusi tii

Atulie tu mtaani aweza kufanikiwa, yaani ukikosa mtaani usitarajie kupata in social networks
[emoji23][emoji23][emoji23]

Si vile anavyotia huruma anaweza pata Mwenye kuendana nae humu


Maana nahisi mtaani kashindikana
 
Ndo wanawake wa sikuhizi na usipo mpa qkipata anae MPA jua ndo kwaheri...na kama unamkakua fresh kwenye bed basi jua atakua na danga kwajili ya pesa na wewe kwajiri ya kumfikisha kileleni
Mmmh ya kweli haya!
 
[emoji23][emoji23][emoji23]

Si vile anavyotia huruma anaweza pata Mwenye kuendana nae humu


Maana nahisi mtaani kashindikana
Haaahaaaa.....ngoja aje ule mgazeti wa The guardian[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…