Dada zetu acheni kuombaomba, mnajidhalilisha na jifunzeni kuficha njaa zenu

Hahahaha, mtani mie mvivu wa kuchangia,ila ktk usomaji kdg najitahidi

Hahahaha, Mama chanja Mzigo unaingia direct kwa akaunti yake toka kwangu ,sidhani km ana tatizo ktk hili suala
Kwa nini sasa Mtani mbona sisi tunachangia?

Changia bana sababu najua Mama Chanja hajawahi kuomba hela ila unampa mwenyewe. [emoji12][emoji12][emoji12]
 
Kama huna pesa kijana acha kutongoza tafuta hela
 
Sio huyo [emoji2][emoji2][emoji2]

Usiniangushe kumbuka vizuri!!
Asee ukuje PM basi twin[emoji8] [emoji8] umbea unaniwasha washa!...halafu nna udaku mpya[emoji23] [emoji125] [emoji125]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…