Dada zetu acheni kuombaomba, mnajidhalilisha na jifunzeni kuficha njaa zenu

Nyinyi si haba mmejaaliwa na sifa nyingi[emoji23] [emoji23] .

Ila nyinyi mnatofautiana kuna wengine hata hela hawana shida nazo wengine wanatafta mapenzi tu.
Very true....eti na wewe hutoagi hela best ake?[emoji23] [emoji23]
 
Kwahiyo tuwe tunaomba ngapi? kwanza tunaombaga kutokana na uwezo wenu. Unataka nikuombe million 3 ya kodi utanipa?
Mara utasikia baby naomba elfu 6 nijiunge ya wiki kabisa,
 
Nimerudi shoo si wajua tena tunapunguza kazi kisha tunachungulia vioja vya jf. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ndo maana ake kazi na dawa!
Tumia simu kama mimi inakuwa rahisi hustukiwi kwenye lap inanipa kazi sana....[emoji23] [emoji23]
 
Hauna haja yakusema sana ili kujitambulisha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…