Dada zetu acheni kuombaomba, mnajidhalilisha na jifunzeni kuficha njaa zenu

Ukala kona kaliii[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji125] [emoji125]
 
Mkuuu wanaume ni PAYABLE in nature while wanawake ni RECEIVABLE in nature haijalishi ana hela au hana.. Akijisikia atafanya hivyo. So kwasisi wanaume ni shurti kupambana kujaza videbe vyetu ili mwisho wa siku tuweze kuwaservice hawa viumbe. Ukiona bado pagumu labda upambane huku ukiamini kuna zali la mentali[emoji23].
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…