Ukala kona kaliii[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji125] [emoji125]Wallahi vile sikuchangia. Kuna muda Shunie alinitag ila nikamute kama uzi sijauona.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] zile huwa naziita nyuzi chonganishi hazikawii kuchonganisha watu mwisho wa siku wewe uliyedandia ndio unaangukiwa na jumba bovu. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Itabidi nikutafute offlineMmmh[emoji13] [emoji13] [emoji12] wewe wasema
Kabisa lazima tufurahie uwepo wa wakuu wetu hapa.Safi sana. [emoji120][emoji120]
Hahaaaaa. Zimerudi bana ninachozipendea huwa zinafurahisha sana kwani huwa zinafanya nijue kwamba jf tupo watu wa sampuli mbali mbali.
😂😂😂😂 Kabisaaaaa.Ukala kona kaliii[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji125] [emoji125]
Hapana best sio kwa Wit... Achana na wit wa jf in reality niko tofauti sana mkuu!Naweza kushangaa nakuja kuchezea mipasho noma sana[emoji23] [emoji23] [emoji23] . nyinyi hamuwezekani.
Hhhhh naelewa hayo.Yeees! Umeona eeh?
Zawadi bora na tamu ni ya yule umpendae!
Unitafutie nini sasa?.. Sioni cha kutafutwa hapa!Itabidi nikutafute offline
Jazakallah dada angu[emoji120][emoji120][emoji120].Ahsante Kaka. Usijali nilijikuta tu natamani uandike kitu.
Amiin Insha Allah na kwako pia.
😂😂😂😂Kabisa lazima tufurahie uwepo wa wakuu wetu hapa.
🙏🙏🙏🙏🙏Jazakallah dada angu[emoji120][emoji120][emoji120].
Kabisa hii different perceptions ya humu inakujenga sana mtu...[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Kabisaaaaa.
Ila narudia kusema Jf idumu Shoo.
Usijal nakuaminia.Hapana best sio kwa Wit... Achana na wit wa jf in reality niko tofauti sana mkuu!
Haahaaa kabisa!Hhhhh naelewa hayo.
Sikuachwa nyuma kiivo[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Naweza kushangaa nakuja kuchezea mipasho noma sana[emoji23] [emoji23] [emoji23] . nyinyi hamuwezekani.
Hahaaaaaa...Unakua mkali??Mtakosaga waume nyieUnitafutie nini sasa?.. Sioni cha kutafutwa hapa!
Hii nayo sampuli ya mkoa gani?