Dada zetu acheni kuombaomba, mnajidhalilisha na jifunzeni kuficha njaa zenu

Dada zetu acheni kuombaomba, mnajidhalilisha na jifunzeni kuficha njaa zenu

Leo ndio mwisho wakuwa jamii forum napenda kuwaaga wote kupitia uzii huu ngoja nijitoe humu kabisa siku moja kunamtu atatoa picha zangu kwania mbaya akisema huyu ni katoto kazuri nikadangaji nahuku mimi nimtu najiheshimu familia yetu niwatu wa maadili na wameshika dini.
Watu wakikudis sio poa tena ambao hawakujui so kwa herini this time it's for real.
Pole sana,nakuomba pm kabla hujatoka jf
 
Utakavyokua hapa JF post zako na comments zako hata ujibadilishe vipi basi nyuma ya keyboard utakua hvyo tu.

Sababu yoyote utakayoongea yanatoka akili mwako na maisha yako pia unayajenga na akili yako pia.
Oooh ok.... Nimekuelewa!

Yah inakuwa hivo mara nyingi but nasisitiza sio wote mkuu!

Binadamu kiumbe tofauti sana!
 
Back
Top Bottom