Dada zetu acheni kuombaomba, mnajidhalilisha na jifunzeni kuficha njaa zenu

Pole sana,nakuomba pm kabla hujatoka jf
 
Utakavyokua hapa JF post zako na comments zako hata ujibadilishe vipi basi nyuma ya keyboard utakua hvyo tu.

Sababu yoyote utakayoongea yanatoka akili mwako na maisha yako pia unayajenga na akili yako pia.
Oooh ok.... Nimekuelewa!

Yah inakuwa hivo mara nyingi but nasisitiza sio wote mkuu!

Binadamu kiumbe tofauti sana!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…