Dada zetu acheni kuombaomba, mnajidhalilisha na jifunzeni kuficha njaa zenu

Dada zetu acheni kuombaomba, mnajidhalilisha na jifunzeni kuficha njaa zenu

Namiliki akili zangu timamu ambazo haziwezi kunituma nikuambie namiliki nini kwenye vitu ambavyo ukivijua havitakusaidia na kabla sijaulizwa nataja.
Wenye navyo hawataji mpaka waulizwe tena sio hapa.
Mkuu hapa mjini una miliki nn.mi namiliki daladala tano,nyumba 6 ,magari mawili ya kutembelea ya kuanzia milioni 70, na bajaji nane.
 
Mkuu hapa mjini una miliki nn.mi namiliki daladala tano,nyumba 6 ,magari mawili ya kutembelea ya kuanzia milioni 70, na bajaji nane.
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
 
Hahahaa. Wacha na mie nikusaidie kucheka Ma.
Yaani ni kanichekesha mpaka bandama zinaniuma![emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Yaaan mpaka hapa bado nacheka kifala, hadi watu wananishangaa[emoji23] [emoji23] [emoji23]

JF oooh no!
 
Namiliki akili zangu timamu ambazo haziwezi kunituma nikuambie namiliki nini kwenye vitu ambavyo ukivijua havitakusaidia na kabla sijaulizwa nataja.
Wenye navyo hawataji mpaka waulizwe tena sio hapa.
Kwa hiyo usijifanye kidume,ela zetu tumetafuta kwa maumivu makubwa sana ,alafu ww unakuja kichwa kichwa humu,napenda ela zangu na ndo maana nazieshimu sana.
 
Back
Top Bottom