HesabuKali
JF-Expert Member
- Jan 4, 2016
- 2,791
- 5,687
Namiliki akili zangu timamu ambazo haziwezi kunituma nikuambie namiliki nini kwenye vitu ambavyo ukivijua havitakusaidia na kabla sijaulizwa nataja.
Wenye navyo hawataji mpaka waulizwe tena sio hapa.
Wenye navyo hawataji mpaka waulizwe tena sio hapa.
Mkuu hapa mjini una miliki nn.mi namiliki daladala tano,nyumba 6 ,magari mawili ya kutembelea ya kuanzia milioni 70, na bajaji nane.