Dada zetu acheni kuombaomba, mnajidhalilisha na jifunzeni kuficha njaa zenu

Dada zetu acheni kuombaomba, mnajidhalilisha na jifunzeni kuficha njaa zenu

Mnadharau sana ndio maana dah naona hata nimehairisha kuolewa humu ni kero .
Tu bora niolewe kwingine.
Naondoka jf nimechoka kuitwa malaya na kila mtu.
Dah hamnijui mnaniita mdangaji hadi wadada wahumu waniona mdangaji.
Ngoja nihame nchi hii niende mbali.
Yaani kuitwa mdangaji JF ndio uhame nchi,kila kona duniani kuna wanga hasa utahama nchi ngapi mkuu,labda uhamie kwenye sayari ya pluto,hapa duniani wanga kila kona.
 
Peleka ujinga huko tena ww utaolewa kule namtumbo mwanamke gan unadharau hivii.... Aaaaarrrggghhh
KUOLEWA NINI WAPI HUMU BASI ZAMANI SASA NOPE ETI MIMI SIO WANAWAKE ZENU AMBAO WANANG'ANG'ANA HUMU HUWEZI TOA MWANAMME HUMU ETI MNAENDA KUFUNGA NDOA TAKATIFU SIJAONA BADO HUMU LABDA MCHEZEANE KIDALI MPO SISI WACHAGA BHANA TUMBO LAZIMA UTAJUAJE KAMA MTU ANAAFYA ILA WACHAGA WASIKUHIZI LAZIMA WAWE NA WEZERE HATUJAPIGWA PASI.
Kiruuuuuuuuu
 
Back
Top Bottom