Usijali Dada. Nilikutaja baada ya kuukumbuka huo uzi sikuwa na nia mbaya. πππ[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ilikuwa chit chat woiiii
Hilo jibu utakalosema jirani yangu anataka aliskie hhhhh.Hahahaaa. Naona unanibananisha nikose pa kutokea.
HahahahUsijali Dada. Nilikutaja baada ya kuukumbuka huo uzi sikuwa na nia mbaya. [emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] naona unabadilika saiv.Hapana rafiki. [emoji23][emoji23][emoji23]
Mwanamke unayejua huyu ni wako na unampenda sioni tatizo kumuhudumia mahitaji madogomadogo na hata makubwa kama unauwezo.Sina ugumu wowote.
Huwa ananunua mwenyewe. Sina utaalamu wa kuchagua chupi. Niulize perfumes.
Hujui kupuna hhhhh.Hahaha kukupuna ndio nn jamani vijana mna misemo yenu nyie mnaijua wenyewe nitakuwepo huko mpaka jumatatu
Uhudumiwe wewe hujiwezi? Huoni hata aibu kuomba uhudumiwe mahitaji madogomadogo? Kama madogo si ujihudumie.Mwanamke unayejua huyu ni wako na unampenda sioni tatizo kumuhudumia mahitaji madogomadogo na hata makubwa kama unauwezo.
Una undugu na katoto kazuri?kawnn
Abeep aone atakavyopigiwa na chenji atapewaHaaahaaaa....mbavu zangu!
Hiyo riwaya inayoandaliwa shigongo anasubiri[emoji23] [emoji23]
Ni ishala ya upendo tu...Hahahha alafu wewe unaonekana unajua kutunza sana ila....Uhudumiwe wewe hujiwezi? Huoni hata aibu kuomba uhudumiwe mahitaji madogomadogo? Kama madogo si ujihudumie.
Yaani kuitwa mdangaji JF ndio uhame nchi,kila kona duniani kuna wanga hasa utahama nchi ngapi mkuu,labda uhamie kwenye sayari ya pluto,hapa duniani wanga kila kona.Mnadharau sana ndio maana dah naona hata nimehairisha kuolewa humu ni kero .
Tu bora niolewe kwingine.
Naondoka jf nimechoka kuitwa malaya na kila mtu.
Dah hamnijui mnaniita mdangaji hadi wadada wahumu waniona mdangaji.
Ngoja nihame nchi hii niende mbali.
Abeeeeee
Huyo mim nilimyooshea mikono[emoji23] [emoji23] [emoji23] .Sijui kwa kweli huu uhenga unaniponza ngoja nimuulize ndg Hajar anisaidie
Ishara ya upendo au hongo?! Eti unajua kutunza...utunzwe wewe mtoto,hujiwezi au?Ni ishala ya upendo tu...Hahahha alafu wewe unaonekana unajua kutunza sana ila....
Naona Dada ameongezeka watanoEwaaaaa. Bora kama unalijua hilo Mtani na kwa huu ujumbe yabidi ile idadi niiongeze. Mmebakia watano tu wanaume wa hivyo.
Cc. yna2 .
Hahahaaa. Jamaaani. [emoji85][emoji85][emoji85] Vyote ninavyo mie hivyoo. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
KiruuuuuuuuuPeleka ujinga huko tena ww utaolewa kule namtumbo mwanamke gan unadharau hivii.... Aaaaarrrggghhh
KUOLEWA NINI WAPI HUMU BASI ZAMANI SASA NOPE ETI MIMI SIO WANAWAKE ZENU AMBAO WANANG'ANG'ANA HUMU HUWEZI TOA MWANAMME HUMU ETI MNAENDA KUFUNGA NDOA TAKATIFU SIJAONA BADO HUMU LABDA MCHEZEANE KIDALI MPO SISI WACHAGA BHANA TUMBO LAZIMA UTAJUAJE KAMA MTU ANAAFYA ILA WACHAGA WASIKUHIZI LAZIMA WAWE NA WEZERE HATUJAPIGWA PASI.
πππππ Mtani naona uzi umefukua makaburi lol.Mtani ile ratiba yetu ya kuangalia mpira pamoja bado ipo au ndio imefutwa rasmi?