Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 40,905
- 86,203
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Mtani naona uzi umefukua makaburi lol.
[emoji2088][emoji2088][emoji2088][emoji2088]
Upendo tu...mwanamke hata awe na pesa vipi bado atahitaji kidogo chako ...😀alafu wanawake hatupendi vitu vikubwa kidogo tu unaonekana bonge LA bwana..😛😀Ishara ya upendo au hongo?! Eti unajua kutunza...utunzwe wewe mtoto,hujiwezi au?
Ivi Wanaume wa hivi bado wapo?Hahahahaha.. Yani mtu anakusaidia bila conditions wala nini anakugharamia jamani na haoneshi hata uchu wa papuchi yako he takes his time kushughulikia mambo yako jamani mkaka mwenyewe bosi bosi fulani hivi afu kwao wana hela chafuuu... mimi ndo kipindi hiko nimeanza kazi natoa toa macho tu ndokwanza Mshahara wa kwanza sikupataga 2 months nalala kwenye kigodoro cha kupewa tu tena chinii lol ... haaaaaaaa automatic nikajikuta natamani anikule tu make nilijikuta nimemzoea sana sana na he cared about me.... make mtu anakusaidia afu hakuombi hata kwakweli mungu ambariki mno mno
cc Smart911
Duh, safsanaHahahahaha... umenikumbusha mkaka mmoja humu miaka hiyoooo alinifanyia vitu afu mwenyewe hana hata habari... badae mimi mwenyewe kiroho safiii
cc Smart911
Kuna tofauti ya zawadi na kuwa ombaomba. Hapa wasiotakiwa ni omba omba. Mara nina njaa,naomba vocha,naomba hela ya luku,naomba hela ya mafuta,naomba hela ya saluni na takataka kama hizo.Upendo tu...mwanamke hata awe na pesa vipi bado atahitaji kidogo chako ...😀alafu wanawake hatupendi vitu vikubwa kidogo tu unaonekana bonge LA bwana..😛😀
Kuna tofauti ya zawadi na kuwa ombaomba. Hapa wasiotakiwa ni omba omba. Mara nina njaa,naomba vocha,naomba hela ya luku,naomba hela ya mafuta,naomba hela ya saluni na takataka kama hizo.
Hizi ni tips.Upendo tu...mwanamke hata awe na pesa vipi bado atahitaji kidogo chako ...😀alafu wanawake hatupendi vitu vikubwa kidogo tu unaonekana bonge LA bwana..😛😀
Tulishazeeka[emoji23] [emoji23] [emoji23]Ivi Wanaume wa hivi bado wapo?
Ndioo.Mnapanga kunipa mda[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Unajua unapoona mchongo kwa sisi vijana sio mbaya kushtuana.. Si unajua ndo umri wa kutafuta huuAchangamkie dili gani...wakati ni wake wa ubani huyo[emoji23] [emoji28] ..umedata wewe
Ombaomba wanasikitisha. Na ukiwa ombaomba kuacha kazi hata uwe na 100m luku ikiisha utaanza kupiga simu kuomba 20,000/- ya luku!Hahahaha, Mkuu hapa umeua rasmi
hapo sawa. .Kuna tofauti ya zawadi na kuwa ombaomba. Hapa wasiotakiwa ni omba omba. Mara nina njaa,naomba vocha,naomba hela ya luku,naomba hela ya mafuta,naomba hela ya saluni na takataka kama hizo.
Ombaomba wanasikitisha. Na ukiwa ombaomba kuacha kazi hata uwe na 100m luku ikiisha utaanza kupiga simu kuomba 20,000/- ya luku!
Hiyo sauti tu mimi huku hoi..Najua wakati unaniambia "Toka hapa" ulikua umerembua macho kama umekula kungu vileToka hapa[emoji23] [emoji23]
Ijumaa leo njoo nikupe raha karibu natoka gengeni kwangu mauzo si haba!hapo sawa. .
Umeona eee beba ujuzi hapa..😀Hizi ni tips.
Ahsante.