Unao waongelea ni kama wale wanaokaa stand na mimi sijaongelea haoKuna binadamu wanashida wewe,hasa wewe ni sistaduu simu kubwa,handbag Gucci,msela mavi anakuomba jero,huo siyo mzinga,Masela nao ni part of our community,unamwambia jero sina kakangu chukua mia mbili yaani hata mimi vyuma vimekaza braza.
[emoji23][emoji23][emoji23] Haya bana Mtani.
Tuendelee
Kweli mamaKumenoga humu jamani
Kwenda kwa my wife na si kwingine Mkuu
Poa poa. Jioni njema.Hahahaha, tuko pamoja mtani
Hahahaha, we utakua na transfer nyingi sana za hela ktk account yakoNa mimi naomba rafiki
Hio mwanaume yeyote anafanya...ila kwa vicheche....labda itokee tu.
Poa poa. Jioni njema.
Msalimie Mama Chanja
Duh taratibu dada sio kwa kufoka huko ungekuwa karibu nahis ungepiga mtuTujiuze wapi kwanani mnadhani kila mtu anawaza kuliwa na malala haoi kanyie kunawadada kama sisi tunajituma nakila tulichonacho wanaume hawawezi kutununua hata waje na nini so usituweke pamoja nahao mnao wapa elfu kumi halafu mnajiona nikwakila mdada .
Dhamani yangu ndio maisha yangu.
Umenielewa naukome nahao magroup ya wenzio kunichanganya na vimada vyenu .
Mmenielewa maisha ni mwangu sijawahi uza k yangu kwamaana nasubiria mwanaume aje anioe kistaarabu so kama humu ndani kuna list ya wapumbavu wanaona wanawake ni wakujiuza kisa vihela vya mikopo mtukome na vinguo vya misaada na vigari vya mikopo na uchokaji wa maisha wenu.
Msituletee sisi .
Kazoeni hadhi zenu.
sasa unakuta jitu la hovyo hovyo nalo lina-demand lipewe hela!
Hahaaa. Mie mwenyewe kwa leo jf imetosha aisee Mtani.Hahahaha, mtani umeanza uchokozi wako eeeh ,sawa salam zimefika
Jioni njema na wewe,ngoja niingie ktk vikao vya ijumaa jioni
Hahaaa. Mie mwenyewe kwa leo jf imetosha aisee Mtani.
[emoji113][emoji113] Bye.
Yeah mamen[emoji484] [emoji484]Ukiniona usisite kupunga tafadhali[emoji2257]
Hajar hataki haraka[emoji23]Mnapanga kunipa mda[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Hahaaa. Mie mwenyewe kwa leo jf imetosha aisee Mtani.
[emoji113][emoji113] Bye.
Haahaa[emoji85] [emoji85]Hhhhh[emoji23] [emoji23] [emoji23] mnifyekelee sio
Duuh[emoji23]Hhhhhh asikimbieee unsfkiri[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Haahaaa[emoji23] [emoji23] [emoji126] [emoji126]Mkuu wanatuskia hpa na kutujadili[emoji23] [emoji23] tunajadiliwa kufyekelwa mbali.
Mmmh[emoji15] [emoji15].. ..eti jasho la sisimizi!wee nyonyo ndio nini kutoweka totally kama jasho la sisimizi !!?