Dada zetu acheni kuombaomba, mnajidhalilisha na jifunzeni kuficha njaa zenu

Dada zetu acheni kuombaomba, mnajidhalilisha na jifunzeni kuficha njaa zenu

Yani demi hujanielewa kwenye huu uzi.. Ishu sio kupigwa mizinga shida inakuja pale mtu anakuona wewe boya umpe hela eti sababu anajua ana papuchi. Ila kwa wewe hata ukiniona boya sawa tu, hela ntakupa hata usiponipa papuchi. Ila ntaumia mana huo utamu sio wa nchi hii
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] ...hamnazo
 
Relax JF ni ulimwengu mwingine ukiingia huku wewe si wa kule. Take it easy and don't take the contributions too personal.
Co-worker hebu achana na huyo.....naandaa Uzi wa teja na gasho la kinondoni hapa...

Njoo tuupitie kabla sijausubmit maana we ni engine yangu[emoji12]

Kuja please fasta....nataka kumshusha mtu kende hapa mamaaae[emoji12] [emoji126]

Jason Statham2
 
Back
Top Bottom