Dada zetu acheni kuombaomba, mnajidhalilisha na jifunzeni kuficha njaa zenu

Dada zetu acheni kuombaomba, mnajidhalilisha na jifunzeni kuficha njaa zenu

Kama hilo siji na achana nalo kavurugwa yule msamehe. Hana tofauti na Huyo aliye kuatack
Aaaaagh! Tayari nishaundaa bana njoo... Uko fresh kabisa!

Nimeuchambua kwa kina sipati ban labda lilete shobo kwenye uzi wangu!

Unajua jitu ukilinyamazia linaona sijui unaliogopa? Kumbe ni ile unalidharau to extent na ni ile hutaki mazoea tu!

Ila sishangai uwe teja hapohapo choko lazima akili ikuruke daaadeki[emoji49] [emoji49] [emoji49]

Njoo niko floor ya pili ( kwa Mba.la...z
 
Aaaaagh! Tayari nishaundaa bana njoo... Uko fresh kabisa!

Nimeuchambua kwa kina sipati ban labda lilete shobo kwenye uzi wangu!

Unajua jitu ukilinyamazia linaona sijui unaliogopa? Kumbe ni ile unalidharau to extent na ni ile hutaki mazoea tu!

Ila sishangai uwe teja hapohapo choko lazima akili ikuruke daaadeki[emoji49] [emoji49] [emoji49]

Njoo niko floor ya pili ( kwa Mba.la...z
Haaaahaaaa nakaribia but I know you please lipotezee FBI in action hakujui Huyo . Huu si muda muafaka achana nae mi nakuja KWA ile ishu ... Today is Friday
 
Mie wananikera wanavyojifanya kuwa wao ndio wenye hela, wao ndio wanaojua kutafuta hela, wao ndio wanaoombwa hela...
Wengine hata hela hawana wamening'iniza ma.ke.nde tu. mxeweuuuu. (si kwa povu hili)
Naona aibu mimi.
 
Haaaahaaaa nakaribia but I know you please lipotezee FBI in action hakujui Huyo . Huu si muda muafaka achana nae mi nakuja KWA ile ishu ... Today is Friday
Aaaah wapi kwa hili sikusikilizi engine......nataka nilionjeshe pinch kidogo full kunifata fata while mi sinaga time nalo kabisa, we shahidi![emoji34] [emoji34] ....tatizo huyu chokoo anahisi namuogopa hilo ndo tatizo!
 
Aaaah wapi kwa hili sikusikilizi engine......nataka nilionjeshe pinch kidogo full kunifata fata while mi sinaga time nalo kabisa, we shahidi![emoji34] [emoji34] ....tatizo huyu chokoo anahisi namuogopa hilo ndo tatizo!
OK naona umekasirika sana I coming tutayajenga tukiwa pamoja ngoja nifike
 
Hata kama wapo either ni wa dar, au niwachache mno tena wale legelege. Lakin kwa mwanaume kamili ni aib kuomba omba kwa mwanamke. Mm hata nikiwa niko vibaya vip siombi kabisa. Napambana had natoboa.
Halafu mambo yalivyo badilika siku hizi wanaume ndio mmekua ombaomba matonya asubiri. Mkija huku mnabadilisha maneno
 
Linajidai mafia humu...kumbe mavi mavi na ushuzi mtupu mxchiewwww[emoji57] [emoji57] [emoji57]....we tulia namuweza mwenyewe, yaan chokoo anisumbue mimi? Thubutuuu yake
Kama namuona vile alivyotulia .... Hii dunia nayo... Imetosha BAN BAN
 
Back
Top Bottom