Demi
JF-Expert Member
- Nov 22, 2016
- 40,466
- 88,695
Mweh kichwa kimevurugika hikiMm nikichati na ww tu najua jinsi ulivyo mrembo..Halafu kichwani upo vizuri balaa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mweh kichwa kimevurugika hikiMm nikichati na ww tu najua jinsi ulivyo mrembo..Halafu kichwani upo vizuri balaa.
Haaahaaaa[emoji23] [emoji23] [emoji23] ...hivi comments zako unazisomaje kinyume nyume na kimbelembele or? Maana sikuelewi!Wity wity wity wewe..Eti kifala, inaonekana ukiwa umekunjwa unatukuna balaaaaa,halafu ukitukana ndo unanipa mzuka balaa
Kichwa kiko poa hicho..Una maakili balaaMweh kichwa kimevurugika hiki
Hajui tuu[emoji23] [emoji23]Mweh kichwa kimevurugika hiki
Nakutafuta popote ulipo comment..Mbele,nyumba,katikati na juu..Ila nafurahi sana unavyotukana, hembu rushia tusi jingineHaaahaaaa[emoji23] [emoji23] [emoji23] ...hivi comments zako unazisomaje kinyume nyume na kimbelembele or? Maana sikuelewi!
Usikae na watoto wahuni mpenzi..Watakuharibu, hawachelewi kuku konki masterMtoto wa mjini huyu...muhuni haswa[emoji23] [emoji23] [emoji126] [emoji126]
Nafurahi umewagundua hao..Wa fyekelee mbali, kuwa na mstaarabu kama mimiKuna watu wasaniii kweli wakiona mbunye
We ndo walewale.Nafurahi umewagundua hao..Wa fyekelee mbali, kuwa na mstaarabu kama mimi
Aisee eti mamaeee.. witnessj una matusi mazuri wewe. Sipatii picha unavyoyatoa ule mda unakaribia mlima kilimanjaroCo-worker hebu achana na huyo.....naandaa Uzi wa teja na gasho la kinondoni hapa...
Njoo tuupitie kabla sijausubmit maana we ni engine yangu[emoji12]
Kuja please fasta....nataka kumshusha mtu kende hapa mamaaae[emoji12] [emoji126]
Jason Statham2
Duuuh afadhali.....kunywa maji mengi upumzike sasa!Sasa hivi afadhali my dear...
Ahsante sana
Nimekunywa mpenziDuuuh afadhali.....kunywa maji mengi upumzike sasa!
Unaumwa na ubuyu unautaka[emoji23] [emoji23] [emoji23]....nimekunyooshea mikono!Nimekunywa mpenzi
Mamy nipumzike na ubuyu niukose..aaahh jamani
Najiskia vibaya sana unavyonifananisha na hao wengine..We ndo walewale.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Unaumwa na ubuyu unautaka[emoji23] [emoji23] [emoji23]....nimekunyooshea mikono!
Hahaaa..Ila napenda unavyotukana,yani ukitukana na mzuka unazidiAfuu wewe...una vituko sana[emoji23] [emoji23]
Najiskia vibaya sana unavyonifananisha na hao wengine..
Hembu kuwa serious sasa..Unapatikana wapi??Pole bana
Hembu kuwa serious sasa..Unapatikana wapi??