Dada zetu acheni kuombaomba, mnajidhalilisha na jifunzeni kuficha njaa zenu

Dada zetu acheni kuombaomba, mnajidhalilisha na jifunzeni kuficha njaa zenu

Hahaaa..Ila napenda unavyotukana,yani ukitukana na mzuka unazidi
Kwani hapa nimetukana?[emoji23] [emoji23] [emoji23] ....hii ni fact mkuu!

Nikitukana unaweza chizika asee!

That's y sipendi, lkn unakuta jitu linakufatilia weee hata huna time nalo! Unalipotezea aaah wapi liko na wewe tu, mpaka unashtuliwa na watu oyaa mbona huyu boya anakuchukulia poa? Na mwisho linaona unaliogopa kumbe unalichora tu na unalivutia pumzi!


Ngoja nishushe uzi mavi yasukume chupi sasa!
 
Kwani hapa nimetukana?[emoji23] [emoji23] [emoji23] ....hii ni fact mkuu!

Nikitukana unaweza chizika asee!

That's y sipendi, lkn unakuta jitu linakufatilia weee hata huna time nalo! Unalipotezea aaah wapi liko na wewe tu, mpaka unashutuliwa na watu oyaa mbona huyu boya anakuchukulia poa? Na mwisho linaona unaliogopa kumbe unalichora tu na unalivutia pumzi!


Ngoja nishushe uzi mavi yasukume chupi sasa!
Viumbe kama hao wapo duniani..Cha msingi ni kuwapotezea tu la sivyo watasabisha unuuune halafu sisi wengine tushindwe kuona hilo tamasamu lako mwanana..Unajua ukismile tu hata kama nna hasira zinaisha zoteeee
 
Viumbe kama hao wapo duniani..Cha msingi ni kuwapotezea tu la sivyo watasabisha unuuune halafu sisi wengine tushindwe kuona hilo tamasamu lako mwanana..Unajua ukismile tu hata kama nna hasira zinaisha zoteeee
Siwezi nunishwa na teja mimi....akajidunge misindano halafu ndo apate stimu za kutukana![emoji15] [emoji15] [emoji86] ...

Kijitu chenyewe ukikiona sasa kituko kitupu lkn humu full mbwembwe na kutukana wanawake as if yy wa maana ptuuu!...ntamchambua kama karanga huyu teja wait....
 
Tujiuze wapi kwanani mnadhani kila mtu anawaza kuliwa na malala haoi kanyie kunawadada kama sisi tunajituma nakila tulichonacho wanaume hawawezi kutununua hata waje na nini so usituweke pamoja nahao mnao wapa elfu kumi halafu mnajiona nikwakila mdada .
Dhamani yangu ndio maisha yangu.
Umenielewa naukome nahao magroup ya wenzio kunichanganya na vimada vyenu .
Mmenielewa maisha ni mwangu sijawahi uza k yangu kwamaana nasubiria mwanaume aje anioe kistaarabu so kama humu ndani kuna list ya wapumbavu wanaona wanawake ni wakujiuza kisa vihela vya mikopo mtukome na vinguo vya misaada na vigari vya mikopo na uchokaji wa maisha wenu.
Msituletee sisi .
Kazoeni hadhi zenu.
Mkuu mbona povu sana kulikoni?
 
Siwezi nunishwa na teja mimi....akajidunge misindano halafu ndo apate stimu za kutukana![emoji15] [emoji15] [emoji86] ...

Kijitu chenyewe ukikiona sasa kituko kitupu lkn humu full mbwembwe na kutukana wanawake as if yy wa maana ptuuu!...ntamchambua kama karanga huyu teja wait....
Msamehe wala asikuumize kicwa upoteze MB zako
 
Back
Top Bottom